Kitenge: Rais Samia, Mawaziri wanautaka urais 2025 waweke kando kabla ya Oktoba 30, 2022

Kitenge: Rais Samia, Mawaziri wanautaka urais 2025 waweke kando kabla ya Oktoba 30, 2022

Mwambie aache umbea Mama alishawaondoa wanaoutaka urais ambao ni Kabudi,Lukuvi,Mwambe na Kitila.Acheni kuwasingizia wana wa ufalme wa Msoga Prince January na Prince Mwigulu 🤣🤣🤣🤣🏃🏃🏃
 
Mwigulu & Makamba


Mwigulu mnamuonea Sana ,Mwigulu anapiga hesabu za 2030 kwa Kua ni zamu ya wakristo

Wenye kutaka kumpindua Mh Raisi ni mawaziri waislam ambao wanajua wakimuacha mama apite 2025 Basi Uraisi kwao ni ndoto kwa maana 2030 ni zamu ya Christian’s
 
Na alivyo na inferiority complex!

Ni suala la muda tu.
 
Kwani umaarufu mpaka ufanyeje? Acha wivu wewe
Ili tueleweshane kwani wewe ni elimu gani? Maana nataka tueleweshane kama wasomi.
Philosophers wanasema and I concur with them, "The position of a person in a society is determined by three aspects in a society:
Zitaje:
1. ...................
2........................
3..........................

Ukishindwa wewe siyo ize yangu.....
 
Novemba kesho mikutano ya hadhara inaanza 🤗🤗
 
Ili tueleweshane kwani wewe ni elimu gani? Maana nataka tueleweshane kama wasomi.
Philosophers wanasema and I concur with them, "The position of a person in a society is determined by three aspects in a society:
Zitaje:
1. ...................
2........................
3..........................

Ukishindwa wewe siyo ize yangu.....
Sioni faida ya kuanza kufanya utoto wa eti nina elimu fulani kwasababu umaarufu hautokani na hiyo elimu unayojisifia nayo, mtu kama diamond platinum,harmonizer,zuchu ni maarufu na wana usawishi mkubwa sana katika jamii kuliko wewe hapo unayejisifia eti umesoma
 
Ili tueleweshane kwani wewe ni elimu gani? Maana nataka tueleweshane kama wasomi.
Philosophers wanasema and I concur with them, "The position of a person in a society is determined by three aspects in a society:
Zitaje:
1. ...................
2........................
3..........................

Ukishindwa wewe siyo ize yangu.....
Kweli dunia haiishi vituko yaani eti mtu kama wewe unaubeza umaarufu wa maulidi wakitenge wakati una njaa kibao,angalia makampuni makubwa yanawatumia watu kama hao wenye usawishi kwa jamii
 
Sioni faida ya kuanza kufanya utoto wa eti nina elimu fulani kwasababu umaarufu hautokani na hiyo elimu unayojisifia nayo, mtu kama diamond platinum,harmonizer,zuchu ni maarufu na wana usawishi mkubwa sana katika jamii kuliko wewe hapo unayejisifia eti umesoma
kwa vile huna elimu inayotosha kujadili mambo utasema hivyo. Kwaheri nimepata kichwani ukoje inatosha. KWAHERI! I CLOSE THIS CONVERSATION!..THE SENDER DOES NOT SUPPORT REPLIES😀😀😀😀😀
 
kwa vile huna elimu inayotosha kujadili mambo utasema hivyo. Kwaheri nimepata kichwani ukoje inatosha. KWAHERI! I CLOSE THIS CONVERSATION!..THE SENDER DOES NOT SUPPORT REPLIES😀😀😀😀😀
1.Wewe na kitenge nani maarufu? 2.wewe na kitenge nani ana njaa?
 
Back
Top Bottom