BakiliMuluzi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2022
- 1,578
- 2,353
Hao asihangaike nao awaache tu atuachie sisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwigulu & Makamba
Mwigulu nchembaSasa hao mawaziri wenyewe ni kina nani? Rais angesaidiwa kuambiwa ili aone itakavyofaa
Hajui hata lugha ya malkiaEXACTLY, NCHI YA WAJINGA KAMA HII ETI HUYU NI MTANGAZAJI MASHUHRI./..
Kwani umaarufu mpaka ufanyeje? Acha wivu weweANA UMAARUFU GANI? WA KUPAYUKA?
Kwani nini maana ya umaarufu?Hana lolote. Ni Bongo tu nchi ya mahoka ndiyo mtu kama huyu mchumia tumbo eti anaitwa mtangazaji maarafu
Kwahiyo lugha ya malkia ndio kipimo hicho? Kuna kazi kweliHajui hata lugha ya malkia
Una bifu na mnyambo wa watuBashungwa
Ili tueleweshane kwani wewe ni elimu gani? Maana nataka tueleweshane kama wasomi.Kwani umaarufu mpaka ufanyeje? Acha wivu wewe
ANA UMAARUFU GANI? WA KUPAYUKA?
kama baba yako asivyojulikana kwenye kata yake, hivyo kwangu si ajabu.Wewe na kitenge nani maarufu zaidi????
Ukute hata kwenye kata yako hawakujui.
Sioni faida ya kuanza kufanya utoto wa eti nina elimu fulani kwasababu umaarufu hautokani na hiyo elimu unayojisifia nayo, mtu kama diamond platinum,harmonizer,zuchu ni maarufu na wana usawishi mkubwa sana katika jamii kuliko wewe hapo unayejisifia eti umesomaIli tueleweshane kwani wewe ni elimu gani? Maana nataka tueleweshane kama wasomi.
Philosophers wanasema and I concur with them, "The position of a person in a society is determined by three aspects in a society:
Zitaje:
1. ...................
2........................
3..........................
Ukishindwa wewe siyo ize yangu.....
Kweli dunia haiishi vituko yaani eti mtu kama wewe unaubeza umaarufu wa maulidi wakitenge wakati una njaa kibao,angalia makampuni makubwa yanawatumia watu kama hao wenye usawishi kwa jamiiIli tueleweshane kwani wewe ni elimu gani? Maana nataka tueleweshane kama wasomi.
Philosophers wanasema and I concur with them, "The position of a person in a society is determined by three aspects in a society:
Zitaje:
1. ...................
2........................
3..........................
Ukishindwa wewe siyo ize yangu.....
kwa vile huna elimu inayotosha kujadili mambo utasema hivyo. Kwaheri nimepata kichwani ukoje inatosha. KWAHERI! I CLOSE THIS CONVERSATION!..THE SENDER DOES NOT SUPPORT REPLIES😀😀😀😀😀Sioni faida ya kuanza kufanya utoto wa eti nina elimu fulani kwasababu umaarufu hautokani na hiyo elimu unayojisifia nayo, mtu kama diamond platinum,harmonizer,zuchu ni maarufu na wana usawishi mkubwa sana katika jamii kuliko wewe hapo unayejisifia eti umesoma
Dunia haiishi vituko eti mtu kama huyo anambeza kitenge kisa ana elimuWewe na kitenge nani maarufu zaidi????
Ukute hata kwenye kata yako hawakujui.
1.Wewe na kitenge nani maarufu? 2.wewe na kitenge nani ana njaa?kwa vile huna elimu inayotosha kujadili mambo utasema hivyo. Kwaheri nimepata kichwani ukoje inatosha. KWAHERI! I CLOSE THIS CONVERSATION!..THE SENDER DOES NOT SUPPORT REPLIES😀😀😀😀😀
Unanijua? You have no base to say that. Two, Makampuni unajua yanamlipa nini? Ndiyo hiyo majibu/andiko la akili ya shule ndogo!una njaa kibao,