Kitenge: Rais Samia, Mawaziri wanautaka urais 2025 waweke kando kabla ya Oktoba 30, 2022

Kitenge: Rais Samia, Mawaziri wanautaka urais 2025 waweke kando kabla ya Oktoba 30, 2022

Tuangalie Sana tusitolewe kwenye agenda tuangazie kwenye Wizi na ubadhilifu wa Mali za Umma.
Je ni KWELI Ufisadi na kujipatia Mali Kwa njia utumishi wa Umma vimeongezeka?
Ni kweli upendeleo ubabe wa vyombo vya dola umeanza?
Ni kweli mabeberu na wazamiaji wameiteka Serikali?
Nimepita sehemu wahamiaji wamezuiwa siku nne na mawakala wao wametumwa wakatafute rushwa.
Mahakama imewaachia wahamiaji haramu Kwa kuwapa kifungo cha nje ili waendelee kutumikia ADHABU Yao Kwa kuendelea kuishi Nchini bila kibali. Mambo ni mengi muda mchache.
Mapenzi mema Kwa nchi yaanzie utotoni vinginevyo wazalendo tutawatafuta Kwa tochi.
 
NAPENDA KUKUJULISHA YA KWAMBA CHAMA CHETU CHA MAPINDUZI HAKINA MPANGO WA KUTOA FOMU KWA AJILI YA NGAZI YA URAIS (2025), ISPOKUWA KWA NGAZI YA UBUNGE PEKEE, PIA WABUNGE WAGOMBEAJI WATACHUJWA NA KUWA SCREENED VIZURI JUU YA MISIMAMO YAO YA KIITIKADI, UCHAPA KAZI, UZALENDO WAO, WALE WENYE VIASILIA VYA UNDUMILAKUWILI WATAWEKWA PEMBENI MAPEMA ASUBUHI.
-KILA LA KHERI.
-WASALAAM.
cc/walafi wote wa madaraka.

Kwani si tulikubaliana tunaendelea na Samia hadi 2030 hayo mambo ya Mawaziri kutaka kugombea 2025 yanatoka wapi tena
 
NAPENDA KUKUJULISHA YA KWAMBA CHAMA CHETU CHA MAPINDUZI HAKINA MPANGO WA KUTOA FOMU KWA AJILI YA NGAZI YA URAIS (2025), ISPOKUWA KWA NGAZI YA UBUNGE PEKEE, PIA WABUNGE WAGOMBEAJI WATACHUJWA NA KUWA SCREENED VIZURI JUU YA MISIMAMO YAO YA KIITIKADI, UCHAPA KAZI, UZALENDO WAO, WALE WENYE VIASILIA VYA UNDUMILAKUWILI WATAWEKWA PEMBENI MAPEMA ASUBUHI.
-KILA LA KHERI.
-WASALAAM.
cc/walafi wote wa madaraka.
Ngoja Tusubiri!!
 
Mtangazaji maarufu nchini, Maulid Baraka Kitenge amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kama ikimpendeza kuwaondoa haraka kwenye Baraza la Mawaziri mawaziri waliotajwa kwenda nje ya nchi kusaka fedha kutaka kumuondoa 2025.


CHANZO: EFM uchambuzi wa Magazeti Oktoba 26,2022
Kwa kifupi fomu za Urais ziwekwe hapi mezani na ziuzwe Tsh 1,000,000 anayetaka akalipia , ajaze na waombe kura kwa wajumbe.
Mshindi jina kiende kwa wananchi kupigiwa Kura ya Ndio au Hapana
 
Kwa kifupi fomu za Urais ziwekwe hapi mezani na ziuzwe Tsh 1,000,000 anayetaka akalipia , ajaze na waombe kura kwa wajumbe.
Mshindi jina kiende kwa wananchi kupigiwa Kura ya Ndio au Hapana
Yote hayo ya nini Baba wa taifa mzee Kikwete ameshalibainisha hili na halina tena mjadala kwani limeshaafikiwa na wana ccm wote. Hatuwezi kuichezea tunu na lulu yetu katika tundu la choo.
 
Kwa kifupi fomu za Urais ziwekwe hapi mezani na ziuzwe Tsh 1,000,000 anayetaka akalipia , ajaze na waombe kura kwa wajumbe.
Mshindi jina kiende kwa wananchi kupigiwa Kura ya Ndio au Hapana
Iko kazi !! Wanasema sio utamaduni wa Ccm kumshindanisha Rais aliyeko madarakani na watu wengine kwenye Chama !
 
Iko kazi !! Wanasema sio utamaduni wa Ccm kumshindanisha Rais aliyeko madarakani na watu wengine kwenye Chama !
Tatizo la ccm ambalo hawalijui ni hili , hawajui na hawajawahi kuambiwa kuwaRAIS SIO WA CCM NI WAWANANCHI.
RAIS NI MALI YA WANANCHI NA SIO MALI YA CCM.
 
Back
Top Bottom