CLOSED!1.Wewe na kitenge nani maarufu? 2.wewe na kitenge nani ana njaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CLOSED!1.Wewe na kitenge nani maarufu? 2.wewe na kitenge nani ana njaa?
Tuchukulie Mo dewj ambae kasoma elimu bora na isiyo na viraka kama ilivyo yako tuchukulie kaleta bidhaa mpya sokoni je ili bidhaa yake ikubalike katika jamii unadhani kati yako wewe msomi wa kukariri kama kasuku na maulid wakitenge nani atamtumia kwenye kuitangaza bidhaa yake?kwa vile huna elimu inayotosha kujadili mambo utasema hivyo. Kwaheri nimepata kichwani ukoje inatosha. KWAHERI! I CLOSE THIS CONVERSATION!..THE SENDER DOES NOT SUPPORT REPLIES😀😀😀😀😀
Pasco poti kazidi kwa nyota iliyofifia.Huyu dogo akumbukwe hata UDC. Anajua sana kujipendekeza ila hama nyota kali kama Pasco tuu.
Hayati Magufuli alifanyaje mpaka hatukuwa na mgawo, haiwezekani kufuata hata alama za nyayo zake?...Mwigulu & Makamba
Kwani wenye hilo jukumu hawapo?Sasa hao mawaziri wenyewe ni kina nani? Rais angesaidiwa kuambiwa ili aone itakavyofaa
Mama alisemaje akiwa Tabora? Au umesahauMwigulu & Makamba
Tukumbushe!Mama alisemaje akiwa Tabora? Au umesahau
Usilaumu TV ....Rimoti anayo nani!!??Mh, mbona unanitisha... hawezi waondoa? akiwaondoa watafanya nini ambacho kwa kutumia majeshi/polisi hawezi kukizima (kwa Imperial presidents wa Africa)
Sasa si ndio umaarufu wenyewe?ANA UMAARUFU GANI? WA KUPAYUKA?
Bro.Hana lolote. Ni Bongo tu nchi ya mahoka ndiyo mtu kama huyu mchumia tumbo eti anaitwa mtangazaji maarafu
Kawaambia waendelee kuchapa kaziTukumbushe!
Ina maana hadi aambiwe na media?Sasa hao mawaziri wenyewe ni kina nani? Rais angesaidiwa kuambiwa ili aone itakavyofaa
Usimwamini, alituambia uncle anaendelea vzr baada ya kuongea nae kwenye cm kumbe alishatutoka kitamboooo!!!!Kawaambia waendelee kuchapa kazi
Kila mtanzania anawajibu kwenye nchi yakeIna maana hadi aambiwe na media?
Bro. Na mimi nimesema Tanzania ni rahisi sana mtu kuwa maarufu kwa sababu ya jambo la kijinga kabisa. BTW Hili halitakiwi kwani sifa mbaya haitakiwi kutengeneza umaarufu. Sifa nzuri za kufanya mambo mazuri ndizo zinazotakiwa kuleta umaarufu.Bro.
Tunaposema mtu maarufu ni mtu anayefahamika na wengi eidha kwa kazi mbaya au nzuri huyo ni maarufu
Umaarufu ni kufahamika na watu wengi kwa sababu nzuri. Sasa mtu kama huyu anapata umaarufu kwa sababu za kijinga kabisa i.e. society yetu inafanya watu wawe maarufu pasipostahili.Kwani nini maana ya umaarufu?