Kitenge: Rais Samia, Mawaziri wanautaka urais 2025 waweke kando kabla ya Oktoba 30, 2022

Kitenge: Rais Samia, Mawaziri wanautaka urais 2025 waweke kando kabla ya Oktoba 30, 2022

kwani kuna sheria au katiba inawazuia kutaka urais au kosa lao ni kuwa mawaziri na kutaka kuwa rais?
 
kwa vile huna elimu inayotosha kujadili mambo utasema hivyo. Kwaheri nimepata kichwani ukoje inatosha. KWAHERI! I CLOSE THIS CONVERSATION!..THE SENDER DOES NOT SUPPORT REPLIES😀😀😀😀😀
Tuchukulie Mo dewj ambae kasoma elimu bora na isiyo na viraka kama ilivyo yako tuchukulie kaleta bidhaa mpya sokoni je ili bidhaa yake ikubalike katika jamii unadhani kati yako wewe msomi wa kukariri kama kasuku na maulid wakitenge nani atamtumia kwenye kuitangaza bidhaa yake?
 
KASHFA ya kwenda kutafuta pesa nje ya nchi iliyoibuliwa na Chalalami ingawa haijathibitishwa ni sababu kuu ya kuondolewa mawaziri vijana ambao tumekuwa tulitaka wafukuzwe muda sasa.
 
Hana lolote. Ni Bongo tu nchi ya mahoka ndiyo mtu kama huyu mchumia tumbo eti anaitwa mtangazaji maarafu
Bro.
Tunaposema mtu maarufu ni mtu anayefahamika na wengi eidha kwa kazi mbaya au nzuri huyo ni maarufu
 
Kawaambia waendelee kuchapa kazi
Usimwamini, alituambia uncle anaendelea vzr baada ya kuongea nae kwenye cm kumbe alishatutoka kitamboooo!!!!

Kuna mkeka Unakuja, sababu za kuwatimua zimepatikana!!!
 
Watu wanakwenda na "beat" kujipendekeza ndio vijana wa siku wanachokiangalia, Hassan Ngoma ndio roll model.
Lazima ujifanye unamshauri Rais kumbe una lako moyoni.
Humu pia wamo, mfano anayejiita Lucas Mwashamba.
 
Bro.
Tunaposema mtu maarufu ni mtu anayefahamika na wengi eidha kwa kazi mbaya au nzuri huyo ni maarufu
Bro. Na mimi nimesema Tanzania ni rahisi sana mtu kuwa maarufu kwa sababu ya jambo la kijinga kabisa. BTW Hili halitakiwi kwani sifa mbaya haitakiwi kutengeneza umaarufu. Sifa nzuri za kufanya mambo mazuri ndizo zinazotakiwa kuleta umaarufu.
 
Kwani nini maana ya umaarufu?
Umaarufu ni kufahamika na watu wengi kwa sababu nzuri. Sasa mtu kama huyu anapata umaarufu kwa sababu za kijinga kabisa i.e. society yetu inafanya watu wawe maarufu pasipostahili.
 
Back
Top Bottom