Kitenge: Rais Samia, Mawaziri wanautaka urais 2025 waweke kando kabla ya Oktoba 30, 2022

Kitenge: Rais Samia, Mawaziri wanautaka urais 2025 waweke kando kabla ya Oktoba 30, 2022

Kwani si tulikubaliana tunaendelea na Samia hadi 2030 hayo mambo ya Mawaziri kutaka kugombea 2025 yanatoka wapi tena
 
Bro. Na mimi nimesema Tanzania ni rahisi sana mtu kuwa maarufu kwa sababu ya jambo la kijinga kabisa. BTW Hili halitakiwi kwani sifa mbaya haitakiwi kutengeneza umaarufu. Sifa nzuri za kufanya mambo mazuri ndizo zinazotakiwa kuleta umaarufu.
Tangu mwanzo watu wawili pekee ndio hujulikana na kuwa maarufu.
Anayefanya vizuri zaidi au muovu zaidi
 
Sasa si ndio umaarufu wenyewe?
Wewe umejibu vema kabisa, U-Star wa Bongo ni kuonesha mapaja, kutaja hadharani umetembea na nani, kusema kuwe wewe ni mzuri na vitu kama hivyo...Kupayuka etc etc.
 
Umaarufu ni kufahamika na watu wengi kwa sababu nzuri. Sasa mtu kama huyu anapata umaarufu kwa sababu za kijinga kabisa i.e. society yetu inafanya watu wawe maarufu pasipostahili.
Unataka mtu maarufu awe na vigezo gani?
 
Wewe umejibu vema kabisa, U-Star wa Bongo ni kuonesha mapaja, kutaja hadharani umetembea na nani, kusema kuwe wewe ni mzuri na vitu kama hivyo...Kupayuka etc etc.
ila ustar wa marekani upoje? Hivi kweli umewahi kutoka nje ya mipaka ya tanzania kweli?
 
Kwani mtu kutaka kuongoza ni kosa? Si kila mwenye uwezo anaruhusiwa. Acha watu wagombee wananchi wataamua.
 
Usimwamini, alituambia uncle anaendelea vzr baada ya kuongea nae kwenye cm kumbe alishatutoka kitamboooo!!!!

Kuna mkeka Unakuja, sababu za kuwatimua zimepatikana!!!
Tusibiri mkuu
 
Mwigulu mnamuonea Sana ,Mwigulu anapiga hesabu za 2030 kwa Kua ni zamu ya wakristo

Wenye kutaka kumpindua Mh Raisi ni mawaziri waislam ambao wanajua wakimuacha mama apite 2025 Basi Uraisi kwao ni ndoto kwa maana 2030 ni zamu ya Christian’s
Urais wa nchi hii hatuutoi kwa kuangalia ukristo na uislamu.
 
Afririka bhana😋😋😋😋kwo kuutaka uraisi ni dhambi? Mbona mwenyewe nitagombea japo Nina wasiwasi huenda hata shemeji yenu nae hata nipa kura kwa sababu za wivu akiogopa nikiingia waiti hausi naweza kumpiga matukio yakindoige
 
KASHFA ya kwenda kutafuta pesa nje ya nchi iliyoibuliwa na Chalalami ingawa haijathibitishwa ni sababu kuu ya kuondolewa mawaziri vijana ambao tumekuwa tulitaka wafukuzwe muda sasa.
Chalalami ndo nani?
 
Back
Top Bottom