Huwezi kunadi sera Bila kueleza mapungufu ya mshindani wakoWatu wanafurika kusikiliza sera yeye hatumii hiyo opportunity kunadi sera anapoteza opportunity ok sio issue Shauri yake yake tukutane October 28 sanduku la kura
Sera hutegemei kwa mapungufu ya mwingine kuelezea sababu sera zako zaweza kuwepo ambazo ni mpya kabisa ambazo haziko kwa mwingine Sasa utaongeleaje mapungufu kwa kitu kipya ambacho kwa mwingine hakipo? Inabidi ujikite kufafanua hicho kipya chako watu wakieleweHuwezi kunadi sera Bila kueleza mapungufu ya mshindani wako
Mkuu atanadi sera zipi? CHADEMA hawana sera ! Sera zao ni kulilia tuu na kuomba mataifa ya nje kuingilia uchaguzi wetu. Pia kuyaahidi mataifa hayo zawadi ya kuwapa rasilimali zetu kwa njia ya rehani !Vyombo vingi vya habari viliacha kabisa kuandika au kutangaza habari za mikutano ya kampeni ya Tundu Lissu baada ya kuona hawaoni waandike nini kwani hanadi sera
Sasa Kitengo cha habari cha CHADEMA pia wamenyoosha mikono juu wanaeleza tu sana mafuriko ya wanampokea Lissu sio alichosema sababu hawaoni waeleze nini
Kelele zote za kumtaka anadi sera zimeshindikana yeye kuzikubali
Nilikuwa naambiwa Lissu mbishi huwa hasikii la mtu sasa nimeamini kagoma katakata kunadi sera za Chadema kakigomea chama chake na wananchi wanaokwenda kumsikiliza
Umeelewa nilichoandika?Ni kwasababu akili yako ni fupi.
Kwanza hotuba za lisu kwenye mikutano yake yote zimejaa kama utitili utitili uko youtube. Na views ni mara 5 ya wanaoview za magufuli. Watu wenye chanel zao youtube wanakimbizana kupost hotuba za lissu ili wapate views wengi.
Pili hii ndyo mbinu inayomfanya lissu apate nyomi ya wapiga kura kwenye mikutano yake. Sababu vyombo vya habari vimeminywa. Sera zake hazioneshwi kwenye vyombo vya habari, watu wameamua kutumia nafasi ya mikutano yake kuhakikisha wanafika bila kukosa ili wasikilize hituba za lissu mubashara kabisa.
Endeleeni kujipiga dole alafu mnanusa.
Na ndivyo itakavyokua. CCM daima dumu !Tusipomchagua Tundu Lissu mwaka huu tutazeeka katika utawala wa ki Sultan wa CCM.
lissu shikilia hapo hapo babaaa, sera zako tunazisikia na RPG zako tunazisikia. ila hawa mataga wanasikia kwenye uchungu zaidiWatu wanafurika kusikiliza sera yeye hatumii hiyo opportunity kunadi sera anapoteza opportunity ok sio issue Shauri yake yake tukutane October 28 sanduku la kura
Mmekubali kuwa mwenyekiti ana mapungufu mengi. Kuyaongelea ni kuwafahamisha wananchi hali halisi kabla hawajafanya maamuzi sahihi October.Sera hutegemei kwa mapungufu ya mwingine kuelezea sababu sera zako zaweza kuwepo ambazo ni mpya kabisa ambazo haziko kwa mwingine Sasa utaongeleaje mapungufu kwa kitu kipya ambacho kwa mwingine hakipo? Inabidi ujikite kufafanua hicho kipya chako watu wakielewe
Hiyo ni kweli na nimegundua kila akitaja mapungufu ya mshindani wake watu wanashangilia Kweli kweli na yeye anaendelea kutaja moja baada ya pungufu jingine na mkutano unalipuka Kwa furaha ya kuona MTU anayethubutu kumkemea Rais bila hofu..na watanzania walio wengi ukianza kuwaambia solutions zenye Mambo magumu ili kuachana na mapungufu ya Rais aliyepo..wanaanza kuwa bored na as a main speaker ktk mkutano Lissu lazima aseme vitu watu wanapenda kusikiliza na si kweli kwamba Hana Sera au chama hakina Sera, the ultimate goal hapa ni kuwashawishi wapiga Kura ili yeye na chama chake washinde uchaguzi ili akayabadili yote mabaya yaliyofanywa na Tawala zilizopita especially ya awamu ya tano..HOW!? Itajulikana wakishaingia Ikulu na kupewa Account balance pale hazina na kupatiwa report ya makusanyo kutoka TRA.Huwezi kunadi sera Bila kueleza mapungufu ya mshindani wako
Hapo Ndipo CCM tunapowapiga bao .Tukifika kampeni hatuelezi mapungufu ya mpinzani Sababu Ni maneno matupu tukienda tunawaambia mhlihitaji barabara ya lami hiyo hapo mnaiona?Hiyo ni kweli na nimegundua kila akitaja mapungufu ya mshindani wake watu wanashangilia Kweli kweli na yeye anaendelea kutaja moja baada ya pungufu jingine na mkutano unalipuka Kwa furaha
Nitolee mfano wa nchi yoyote ya Africa iliyo badili utawala wake wa vyama na kupata mafanikio makubwa katika nyanja zote ulizo ainisha hapo juu ! Ngoja nikurahisishie orodha,Mambo 3 aliyotueleza wana kigoma ni
*Uhuru
*Haki
*Maendeleo ya watu
Amechambua vizuri sana sera hizo jana!Sema mnachochukia anaeleza sera huku akipiga na spana juu ya sera!
Mfano hapo kwenye uhuru anasema atapanua wigo wa uhuru kwa wananchi kufanya mambo yao bila kuingiliwa!Akasema serikali ya miaka 5 mtu akienda nayo tofauti basi ataanza kuhojiwa cheti cha kuzaliwa cha babu na bibi wakati hata Magufuli mwenyewe hana cheti cha kuzaliwa!
This is typical African bad politics! Sema uongo uingie ikulu ! Magufuli anasema ukweli hata kama watu hawaupendi !Hiyo ni kweli na nimegundua kila akitaja mapungufu ya mshindani wake watu wanashangilia Kweli kweli na yeye anaendelea kutaja moja baada ya pungufu jingine na mkutano unalipuka Kwa furaha ya kuona MTU anayethubutu kumkemea Rais bila hofu..na watanzania walio wengi ukianza kuwaambia solutions zenye Mambo magumu ili kuachana na mapungufu ya Rais aliyepo..wanaanza kuwa bored na as a main speaker ktk mkutano Lissu lazima aseme vitu watu wanapenda kusikiliza na si kweli kwamba Hana Sera au chama hakina Sera, the ultimate goal hapa ni kuwashawishi wapiga Kura ili yeye na chama chake washinde uchaguzi ili akayabadili yote mabaya yaliyofanywa na Tawala zilizopita especially ya awamu ya tano..HOW!? Itajulikana wakishaingia Ikulu na kupewa Account balance pale hazina na kupatiwa report ya makusanyo kutoka TRA.