Uchaguzi 2020 Kitengo cha habari cha CHADEMA wanyoosha mikono juu, waeleza tu mafuriko ya wanampokea Lissu si alichosema sababu hakipo

Uchaguzi 2020 Kitengo cha habari cha CHADEMA wanyoosha mikono juu, waeleza tu mafuriko ya wanampokea Lissu si alichosema sababu hakipo

Nitolee mfano wa nchi yoyote ya Africa iliyo badili utawala wake wa vyama na kupata mafanikio makubwa katika nyanja zote ulizo ainisha hapo juu ! Ngoja nikurahisishie orodha,

1.Zambia ?
2. Malawi?
3. Kenya?
4. Libya?
5. Comoro?
6. Sudani kusini ?
7. Ivory coast ?
8. .......

Acheni kupumbazwa na political rhetoric za wapinzani, hakuna namna wanaweza kufanya lolote la tofauti zaidi ya ulaghai na kurudisha nyuma nchi ! Mara waseme CCM haijafanya lolote kwa miaka 60 ! Mara hao hao tena majukwaani wanaorodhesha mafanikio makubwa yaliyofanywa na tawala za awamu ya kwanza hadi ya nne 😳 wakionesha kua haya mambo makubwa anayofanya rais Magufili hakuyaanza yeye bali hata Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na wakoloni wa ujerumani na waingereza pia walifanya makubwa sana kwa nchi hii! Sijui hua wanajitoa ufahamu ? Mara waseme wanataka maendeleo ya watu na sio vitu ilhali vitu hivyo hivyo ndio wanatumia pia kama ndege zetu, barabara zetu, hospitali zetu, shule zetu na vinginevyo! Hao hao pia wameanza kuwaahidi wananchi kule Mufindi, Rukwa, kigoma kuwajengea barabara na miundo mbinu mingine wakisahau hayo ni maendeleo ya vitu! Jamani !

Very inconsistent assertions! Worse enough their arguments are embbed in hatred and deep sense of division among social fabric ! Very bad, kwa mfano kuwaita wana CCM eti maCCM ! Sowing very dangerous seeds of hate in our mother land !
By the way.. Malawi wamekirudisha madarakani chama kongwe kilichotawala muda mrefu Chini ya Banda baada ya kuwajaribu wapinzani Kwa muda bila kupata positive impact walizoahidiwa
 
Nitolee mfano wa nchi yoyote ya Africa iliyo badili utawala wake wa vyama na kupata mafanikio makubwa katika nyanja zote ulizo ainisha hapo juu ! Ngoja nikurahisishie orodha,

1.Zambia ?
2. Malawi?
3. Kenya?
4. Libya?
5. Comoro?
6. Sudani kusini ?
7. Ivory coast ?
8. .......

Acheni kupumbazwa na political rhetoric za wapinzani, hakuna namna wanaweza kufanya lolote la tofauti zaidi ya ulaghai na kurudisha nyuma nchi ! Mara waseme CCM haijafanya lolote kwa miaka 60 ! Mara hao hao tena majukwaani wanaorodhesha mafanikio makubwa yaliyofanywa na tawala za awamu ya kwanza hadi ya nne 😳 wakionesha kua haya mambo makubwa anayofanya rais Magufili hakuyaanza yeye bali hata Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na wakoloni wa ujerumani na waingereza pia walifanya makubwa sana kwa nchi hii! Sijui hua wanajitoa ufahamu ? Mara waseme wanataka maendeleo ya watu na sio vitu ilhali vitu hivyo hivyo ndio wanatumia pia kama ndege zetu, barabara zetu, hospitali zetu, shule zetu na vinginevyo! Hao hao pia wameanza kuwaahidi wananchi kule Mufindi, Rukwa, kigoma kuwajengea barabara na miundo mbinu mingine wakisahau hayo ni maendeleo ya vitu! Jamani !

Very inconsistent assertions! Worse enough their arguments are embbed in hatred and deep sense of division among social fabric ! Very bad, kwa mfano kuwaita wana CCM eti maCCM ! Sowing very dangerous seeds of hate in our mother land !
By the way.. Malawi wamekirudisha madarakani chama kongwe kilichotawala muda mrefu Chini ya Banda baada ya kuwajaribu wapinzani Kwa muda bila kupata positive impact walizoahidiwa
 
Vyombo vingi vya habari viliacha kabisa kuandika au kutangaza habari za mikutano ya kampeni ya Tundu Lissu baada ya kuona hawaoni waandike nini kwani hanadi sera

Sasa Kitengo cha habari cha CHADEMA pia wamenyoosha mikono juu wanaeleza tu sana mafuriko ya wanampokea Lissu sio alichosema sababu hawaoni waeleze nini

Kelele zote za kumtaka anadi sera zimeshindikana yeye kuzikubali

Nilikuwa naambiwa Lissu mbishi huwa hasikii la mtu sasa nimeamini kagoma katakata kunadi sera za Chadema kakigomea chama chake na wananchi wanaokwenda kumsikiliza

Umeandika ukiwa na wanzuki kichwani?
 
Nitolee mfano wa nchi yoyote ya Africa iliyo badili utawala wake wa vyama na kupata mafanikio makubwa katika nyanja zote ulizo ainisha hapo juu ! Ngoja nikurahisishie orodha,

1.Zambia ?
2. Malawi?
3. Kenya?
4. Libya?
5. Comoro?
6. Sudani kusini ?
7. Ivory coast ?
8. .......

Acheni kupumbazwa na political rhetoric za wapinzani, hakuna namna wanaweza kufanya lolote la tofauti zaidi ya ulaghai na kurudisha nyuma nchi ! Mara waseme CCM haijafanya lolote kwa miaka 60 ! Mara hao hao tena majukwaani wanaorodhesha mafanikio makubwa yaliyofanywa na tawala za awamu ya kwanza hadi ya nne 😳 wakionesha kua haya mambo makubwa anayofanya rais Magufili hakuyaanza yeye bali hata Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete na wakoloni wa ujerumani na waingereza pia walifanya makubwa sana kwa nchi hii! Sijui hua wanajitoa ufahamu ? Mara waseme wanataka maendeleo ya watu na sio vitu ilhali vitu hivyo hivyo ndio wanatumia pia kama ndege zetu, barabara zetu, hospitali zetu, shule zetu na vinginevyo! Hao hao pia wameanza kuwaahidi wananchi kule Mufindi, Rukwa, kigoma kuwajengea barabara na miundo mbinu mingine wakisahau hayo ni maendeleo ya vitu! Jamani !

Very inconsistent assertions! Worse enough their arguments are embbed in hatred and deep sense of division among social fabric ! Very bad, kwa mfano kuwaita wana CCM eti maCCM ! Sowing very dangerous seeds of hate in our mother land !
Kwaio kwa akili yako unataka kutuambia ccm itawale milele
 
Sera hatutaki sisi,tunachotaka ni alichambe li jiwe linajionaga lenyewe Lina akili Sana eti kwa sababu tu limewateka ccm akili
 
Vyombo vingi vya habari viliacha kabisa kuandika au kutangaza habari za mikutano ya kampeni ya Tundu Lissu baada ya kuona hawaoni waandike nini kwani hanadi sera

Sasa Kitengo cha habari cha CHADEMA pia wamenyoosha mikono juu wanaeleza tu sana mafuriko ya wanampokea Lissu sio alichosema sababu hawaoni waeleze nini

Kelele zote za kumtaka anadi sera zimeshindikana yeye kuzikubali

Nilikuwa naambiwa Lissu mbishi huwa hasikii la mtu sasa nimeamini kagoma katakata kunadi sera za Chadema kakigomea chama chake na wananchi wanaokwenda kumsikiliza
Na ndio chanzo cha Mbowe kulala mbele!
 
Vyombo vingi vya habari viliacha kabisa kuandika au kutangaza habari za mikutano ya kampeni ya Tundu Lissu baada ya kuona hawaoni waandike nini kwani hanadi sera

Sasa Kitengo cha habari cha CHADEMA pia wamenyoosha mikono juu wanaeleza tu sana mafuriko ya wanampokea Lissu sio alichosema sababu hawaoni waeleze nini

Kelele zote za kumtaka anadi sera zimeshindikana yeye kuzikubali

Nilikuwa naambiwa Lissu mbishi huwa hasikii la mtu sasa nimeamini kagoma katakata kunadi sera za Chadema kakigomea chama chake na wananchi wanaokwenda kumsikiliza
Mbona ni kazi rahisi tu?
Kama wao wanaelezea habari za mafuriko ya kumpokea Lissu, basi nyie wengine waelezeeniwatu anachokisema.
 
Vyombo vingi vya habari viliacha kabisa kuandika au kutangaza habari za mikutano ya kampeni ya Tundu Lissu baada ya kuona hawaoni waandike nini kwani hanadi sera

Sasa Kitengo cha habari cha CHADEMA pia wamenyoosha mikono juu wanaeleza tu sana mafuriko ya wanampokea Lissu sio alichosema sababu hawaoni waeleze nini

Kelele zote za kumtaka anadi sera zimeshindikana yeye kuzikubali

Nilikuwa naambiwa Lissu mbishi huwa hasikii la mtu sasa nimeamini kagoma katakata kunadi sera za Chadema kakigomea chama chake na wananchi wanaokwenda kumsikiliza
Sera za CHADEMA zinazoelezwa na Lissu kwenye jukwaa kwa msingi wa Uhuru, Haki, na Maendeleo ya Watu zineleweka vizuri sana kwangu na kwa mwananchi yeyote asiye na mawazo mgando kama wewe. Kama anachoeleza unaona siyo sera basi hujui maana ya sera au unaimani kuwa sera ni kitu chochote kinachotamkwa na CCM. Pole sana. Endelea kuamini hivyo. Siyo tatizo lako ila ni unazi ndiyo unaokusumbua.
 
Ni kwasababu akili yako ni fupi.
Kwanza hotuba za lisu kwenye mikutano yake yote zimejaa kama utitili utitili uko youtube. Na views ni mara 5 ya wanaoview za magufuli. Watu wenye chanel zao youtube wanakimbizana kupost hotuba za lissu ili wapate views wengi.

Pili hii ndyo mbinu inayomfanya lissu apate nyomi ya wapiga kura kwenye mikutano yake. Sababu vyombo vya habari vimeminywa. Sera zake hazioneshwi kwenye vyombo vya habari, watu wameamua kutumia nafasi ya mikutano yake kuhakikisha wanafika bila kukosa ili wasikilize hituba za lissu mubashara kabisa.

Endeleeni kujipiga dole alafu mnanusa.
CCM imenadi sera tangu kuanzwa kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1995 Hadi Sasa hakuna jipya umaskini imezidi kuongezewa. CCM wanaongea kila neno Ila neno "Haki" hawadhubutu kuliongea.
 
By the way.. Malawi wamekirudisha madarakani chama kongwe kilichotawala muda mrefu Chini ya Banda baada ya kuwajaribu wapinzani Kwa muda bila kupata positive impact walizoahidiwa
hawajui hilo CHADEMA
 
Vyombo vingi vya habari viliacha kabisa kuandika au kutangaza habari za mikutano ya kampeni ya Tundu Lissu baada ya kuona hawaoni waandike nini kwani hanadi sera

Sasa Kitengo cha habari cha CHADEMA pia wamenyoosha mikono juu wanaeleza tu sana mafuriko ya wanampokea Lissu sio alichosema sababu hawaoni waeleze nini

Kelele zote za kumtaka anadi sera zimeshindikana yeye kuzikubali

Nilikuwa naambiwa Lissu mbishi huwa hasikii la mtu sasa nimeamini kagoma katakata kunadi sera za Chadema kakigomea chama chake na wananchi wanaokwenda kumsikiliza
Samahani je una watoto na kila siku unasisitiza wasome kwa bidii? Mungu kakosea sana kukupa watoto ambao wanalelewa na mzazi kama wewe.
 
Kwa hiyo Lisu kampeni kageuza kijiwe cha kuelezea machungu yake binafsi badala ya sera za chama Chadema ?

Ka personalise issue zake Lisu binafsi na kuzifanya political campain agenda ya CHADEMA kwa kutumia platform ya ugombea uraisi!!!!!

Ila wakati wa kujieleza kuteuliwa ugombea mkutano mkuu hata hakuwa na hoja alitumia tu machungu yake binafsi kujieleza wajumbe wakaangua kilio wakampa pole ya kura!!!! Lakini hata kule hakujieleza vizuri kiasi kuwa apewe ugombea hiyo nafasi .Wajumbe tu walikuwa emotional tofauti na kamati kuu ambao walipiga kura bila kuwa emotional wakampiga chini .Nyalandu akaongoza

Chadema mtu wenu hadi sasa hajajenga hoja nzito za sera zenu sio siri ni kitu cha wazi kabisa
1.Uhuru
2.Haki
3.Maendeleo ya watu!

Hizo ndio sera kuu zinazobeba sera ndogo ndogo kibao na anazielezea vizuri kwa mifano hai na kupiga spana!
Na spana zimekubali kweli kweli!
 
Vyombo vingi vya habari viliacha kabisa kuandika au kutangaza habari za mikutano ya kampeni ya Tundu Lissu baada ya kuona hawaoni waandike nini kwani hanadi sera

Sasa Kitengo cha habari cha CHADEMA pia wamenyoosha mikono juu wanaeleza tu sana mafuriko ya wanampokea Lissu sio alichosema sababu hawaoni waeleze nini

Kelele zote za kumtaka anadi sera zimeshindikana yeye kuzikubali

Nilikuwa naambiwa Lissu mbishi huwa hasikii la mtu sasa nimeamini kagoma katakata kunadi sera za Chadema kakigomea chama chake na wananchi wanaokwenda kumsikiliza
Mtaongea kila kitu Lissu kaza kamba baba,mafisi hoi
 
1.Uhuru
2.Haki
3.Maendeleo ya watu!

Hizo ndio sera kuu zinazobeba sera ndogo ndogo kibao na anazielezea vizuri kwa mifano hai na kupiga spana!
Na spana zimekubali kweli kweli!
Hata hujui sera Ni Nini ndio maana hata Lisu hajui anadhani hivyo vitu vitatu Ni sera!!! Hiyo sio sera ni kauli mbiu ya Chadema!!!

Mgombea wenu hamkumwandaa kunadi sera kabeba kauli mbiu anadhani ndio sera!!!
 
Watu wanafurika kusikiliza sera yeye hatumii hiyo opportunity kunadi sera anapoteza opportunity ok sio issue Shauri yake yake tukutane October 28 sanduku la kura
Watu hawazihitaji TV,redio na magazeti kupata taarifa kwa sababu wamezibwa midomo,waongee habari za upande mmoja,vinginevyo,faini,vifungo vinawahusu,na wakiongea no kwa maelekezo Nini kionekane na namna gani.
 
Back
Top Bottom