Kitila Mkumbo acha kuchukia juu ya ukweli anaousema Lissu, hayati JPM asingefanya huu uozo. Muache aende Chato kueleza ukweli

Kitila Mkumbo acha kuchukia juu ya ukweli anaousema Lissu, hayati JPM asingefanya huu uozo. Muache aende Chato kueleza ukweli

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Hii nini unaropoka kama mtoto bhana
👇
Screenshot_20230730-182835.jpg
 
Alisema lakini "TUTAMKUMBUKA" Nani alijua TUTAMKUMBUKA kwa lipi? Aliongeza hakutuacha gizani "KWA MEMA NA SI MABAYA" alifahamu kitu ndani yake ndani ya chama chake na wanaomzunguka kuwa akiondoka watakuwa na kiu ya matendo yao nao watatugeuza asusa nasi TUTAMKUMBUKA!
 
KM CCM Kitila Yule DG wa TCCIA wote wana kitengo lakini wamejitoa akili kuuza nchi tofauti na kiapo chao aibu sanaa....kwa kiapo kile bora ukose cheo ubakie na heshima kulinda kiapo chako
 
Hii nini unaropoka kama mtoto bhana
[emoji116]View attachment 2703156
Hapa tunaona upinzani ambao uko inconsistent na opportunist.

I am sorry.

Magufuli ndiye katuletea haya madudu ya kuwa na bunge la upande mmoja, la kununua wapinzani, la kukata majina ya watu machachari.

Yeye ndiye aliyefanya bunge dhaifu lisilo na upinzani liwepo na kupitisha IGA.

Sasa leo CHADEMA wanaenda Chato kujipendekeza nini?

Do they want to ride on the coattails of Magufuli's popularity and a simple narrative?

I am sorry, I never thought I would side with Dr. Mkumbo.

Mimi simkubali Samia, siikubali CCM.

Lakini kwenye kuanika unafiki huu, Dr. Mkumbo is right.

CHADEMA wamekosa msimamo.

Halafu, tuondokeni kwenye hizi siasa za kuangalia watu jamani, tujikite kwenye sera.

Kila siku the same bullshit ya kuangalia majina ya watu tu na kutafuta kiki mpaka lini?

CHADEMA hapa wanatafuta kiki ya Magufuli tu.
 
Hii nini unaropoka kama mtoto bhana
👇View attachment 2703156
Mwambieji Lissu aende Chato akamfufue. Ila ajuwe akimfufua siku ya pili anarudi Ubelgiji.

Magufuli alitaka kumfuta Lissu kabisa mara ya 2 baada ya uchaguzi wa 2020 ndipo TISS wakamtonya akakimbilia ubalozi wa Germany.

Kama leo anatoa kauli hizi kwa Samia basi naamini kwa đź’Ż % wale wanaosema Lissu ni mwezi mchanga. Akili siyo zake
 
Hapa tunaona upinzani ambao uko inconsistent na opportunist.

I am sorry.

Magufuli ndiye katuletea haya madudu ya kuwa na bunge la upande mmoja, la kununua wapinzani, la kukata majina ya watu machachari.

Yeye ndiye aliyefanya bunge dhaifu lisilo na upinzani liwepo na kupitisha IGA.

Sasa leo CHADEMA wanaenda Chato kujipendekeza nini?

Do they want to ride on the coattails of Magufulis popularity and a simple narrative?

I am sorry, I never thought I would side with Dr. Mkumbo.

Lakini kwenye unafiki huu, Dr. Mkumbo is right.

CHADEMA wamekosa msimamo.

Halafu, tuondokeni kwenye hizi siasa za kuangalia watu jamani, tujikite kwenye sera.

Kioa siku the same bullshit ya kuangalia majina ya watu tu na kutafuta kiki mpaka lini?

CHADEMA hapa wanatafuta kiki ya Magufuli tu.
Pointi ya Kwenda Chati naona hukumwelewa Lissu au unakurupuka tu.

Chato Lissu alienda kufanya Kampeni na akapokelewa kwa kishindo. Nini kinamzuia leo asiende?
 
Pamoja na ukatili wake kwa wanaompinga kwa hoja wakati wa utawala wake, JPM asingethubutu kutuingiza kwenye uchafu huu, aliipenda Tanganyika vibaya mno na ndiyo sababu alivunja mikataba ya hovyo hovyo na ndiyo maana tuna makesi kibao mahakama za kimataifa.

Lissu upo sahihi, nenda kawajuze na zwanachato kwamba JPM hahusiki na uchafu huu wa kuuzwaji wa Bandari zetu kwa mwarabu afu kwa mkataba wa milele.
 
Mwambieji Lissu aende Chato akamfufue. Ila ajuwe akimfufua siku ya pili anarudi Ubelgiji.

Magufuli alitaka kumfuta Lissu kabisa mara ya 2 baada ya uchaguzi wa 2020 ndipo TISS wakamtonya akakimbilia ubalozi wa Germany.

Kama leo anatoa kauli hizi kwa Samia basi naamini kwa đź’Ż % wale wanaosema Lissu ni mwezi mchanga. Akili siyo zake
Lissu Mtu wa Mungu hana kinyongo.

Lissu yuko wazi kuwa Magufuli alikuwa Mwovu sawa ila kwa hili la Bandari hahusikim

Nini ambacho hamwelewi?
 
Pamoja na ukatili wake kwa wanaompinga kwa hoja wakati wa utawala wake, JPM asingethubutu kutuingiza kwenye uchafu huu, aliipenda Tanganyika vibaya mno na ndiyo sababu alivunja mikataba ya hovyo hovyo na ndiyo maana tuna makesi kibao mahakama za kimataifa.

Lissu upo sahihi, nenda kawajuze na wanachato kwamba JPM hahusiki na uchafu huu wa kuuzwaji wa Bandari zetu kwa mkataba wa milele.
Ila magu alikuwa haeleweki. Kama ni kitu kinampa maslahi yake au chama chake angefanya
 
Lissu Mtu wa Mungu hana kinyongo.

Lissu yuko wazi kuwa Magufuli alikuwa Mwovu sawa ila kwa hili la Bandari hahusikim

Nini ambacho hamwelewi?
Hilo Bunge lisilo na upinzani lililopitisha IGA bila kuijadili kwa kina aliyeliweka hapo nani?

Au mshasahu mlivyokuwa mnalalamika uchaguzi haukuwa fair?

Aliyenunua wapinzani na kukata majina ya wana CCM machachari nani?

Acheni kujimbonjisha. Magufuli ana lawama katika madudu yanayoendelea leo, na mkianza kumsafisha wapinzani, kwa sababu za kisiasa mpate kiki, nitawaona ovyo sana.
 
Ila magu alikuwa haeleweki. Kama ni kitu kinampa maslahi yake au chama chake angefanya
ni kweli alikuwa na mapungufu kibao, hata uchafuzi wa chaguzi zote wakati wa utawala wake aliibuka kinara, ila kwenye masuala ya maslahi ya kitaifa hasa kwenye mikataba aliwabana vilivyo wawekezaji - nakumbuka neno la win win situation.
 
Back
Top Bottom