Kitila Mkumbo acha kuchukia juu ya ukweli anaousema Lissu, hayati JPM asingefanya huu uozo. Muache aende Chato kueleza ukweli

Kitila Mkumbo acha kuchukia juu ya ukweli anaousema Lissu, hayati JPM asingefanya huu uozo. Muache aende Chato kueleza ukweli

Conclusively unamaanisha utiaji saini wa mkataba huu mmoja,kwasasa upewe baraka,huku tukishughulikia kuweka mfumo imara?
Wapi nimemaanisha hivyo?

Unaweza kunipa nukuu hiyo?

Unajua kusoma kwa ufahamu?

Watanzania wengi wana tatizo la kufikiri kwa style ya one track mind.

Yani kwao, ukimshambulia Magufuli, basi lazima wewe ni Chawa wa Mama. Ukimshambulia Mama, basi wewe ni Sukuma Gang.

Ndiyo maana wewe unauliza hilo swali la false dichotomy.

Mimi sioni tofauti kubwa kati ya Magufuli na Samia.

Nakwambia hivi, hata huyo Samia aliyesaini mkataba huu, ni product ya Magufuli.

Magufuli angekuwa kiongozi mzuri hivyo mnavyotaka kutuaminisha, Makamu wake asingesaini mkataba mbaya kama huu.

Magufuli angekuwa kiongozi mzuri hivyo, hao mawaziri wake wengi waliopo mpaka leo wasingekubali kuwa sehemu ya serikali iliyokubali mkataba huu.

Magufuli angekuwa kiongozi mzuri hivyo, bunge alilolipitisha mwenyewe kwa kukata watu, kununua wapinzani na vituko vingine vyote lisingepitisha mkataba huu.

Magufuli angekuwa kiongozi mzuri hivyo mnavyomsema, angepeleka bungeni miswada iwe sheria za kushurutisha uwazi katika mikataba ya serikali. That is systemic change. Magufuki alikuwa anapiga kelele za maigizo tu, hakufanya systemuc change.

Na Watanzania wanavyopenda maigizo wamemkubali. Bika ya kujiukiza, hivi, huyu akifa leo, haya maigizo yake yatatufikisha wapi?

Leo kafa, tunaona yale maigizo yake yote hayatupeleki popote.

Uwazi ni tatizo kubwa sana.

Nikiandika makala mwaka 2011 kuhusu uwazi.

Hii hapa.


Magufuli hata hakufanya lolote kuleta uwazi. Zaidi, kafanya the opposite. Kaleta sheria za kubana uhuru wa habari na uwazi. Mpaka majadiliano ya bunge tu hatukuweza kuyaona live.

Kwa nini mna mu whitewash huyu mtu aliyetuletea systemic failure kwa sababu mnafikiri tu asingesaini mkataba huu?

Why are you people so narrow minded?

Hivi mnaelewa kwamba kuna mikataba mingi sana hamjaiona na mmeona huu mmoja kwa kuvuja tu?

Hivi mnaelewa Magufuli alikuwa na nafasi ya kuondoa usiri huu, na hajaondoa?

Hivi mnaelewa usiri huu ni chaka kubwa sana la rushwa na madudu mengine mengi ambayo hata hatujaanza kuyajua?

Sasa hapo mnamsifia vipi Magufuli?
 
Anaenda kuongea na maiti iliyo kaburini?

Ndo la kujiuliza hilo. Waafrika tuna mila za kuabudu makaburi. Na lissu anaenda tu kuabudu na kumwambia aliyelala umo kua aliyofanya yote na kuyaacha yemegeuka kua mwiba kwa nchi.
 
Watanganyika ni wajinga ndio maana miaka 62 ya uhuru bado hatuna katiba unaotokana mawazo na maono yetu wala tume huru ya uchaguzi

Mnataka Lissu afanye nini? Ni kweli Magufuli alitaka kumfuta sasa wewe unataka Lissu afanye nini? Lissu amesamehe miacheni Lissu aise

Ww kama inakuuma Lissu kimsamehe Pombe jitu tapeli na muongo, basi jiondoe uhai wako, watu kama Lissu ndio taifa linawahitaji sio wewe

Tatizo kuna watu wakishanywesha maji ya kijana wanakuwa mazezeta, hata uwezo wa kufikiria unapungua, kitu ambacho kinawafanya wapoteze heshima yao kwa jamii
 
Hapa tunaona upinzani ambao uko inconsistent na opportunist.

I am sorry.

Magufuli ndiye katuletea haya madudu ya kuwa na bunge la upande mmoja, la kununua wapinzani, la kukata majina ya watu machachari.

Yeye ndiye aliyefanya bunge dhaifu lisilo na upinzani liwepo na kupitisha IGA.

Sasa leo CHADEMA wanaenda Chato kujipendekeza nini?

Do they want to ride on the coattails of Magufuli's popularity and a simple narrative?

I am sorry, I never thought I would side with Dr. Mkumbo.

Mimi simkubali Samia, siikubali CCM.

Lakini kwenye kuanika unafiki huu, Dr. Mkumbo is right.

CHADEMA wamekosa msimamo.

Halafu, tuondokeni kwenye hizi siasa za kuangalia watu jamani, tujikite kwenye sera.

Kila siku the same bullshit ya kuangalia majina ya watu tu na kutafuta kiki mpaka lini?

CHADEMA hapa wanatafuta kiki ya Magufuli tu.
Una shida kwenye dish wewe,nafikiri litakua limetikisika.
 
Ndo la kujiuliza hilo. Waafrika tuna mila za kuabudu makaburi. Na lissu anaenda tu kuabudu na kumwambia aliyelala umo kua aliyofanya yote na kuyaacha yemegeuka kua mwiba kwa nchi.
Ujinga mtupu.
 
Mwambieji Lissu aende Chato akamfufue. Ila ajuwe akimfufua siku ya pili anarudi Ubelgiji.

Magufuli alitaka kumfuta Lissu kabisa mara ya 2 baada ya uchaguzi wa 2020 ndipo TISS wakamtonya akakimbilia ubalozi wa Germany.

Kama leo anatoa kauli hizi kwa Samia basi naamini kwa [emoji817] % wale wanaosema Lissu ni mwezi mchanga. Akili siyo zake
Shauri yenu nyie majizi.nilikuwa simpendi lissu,lkn toka alipomkubali jpm,niko naye lissu kwa mvua na jua.
 
Shauri yenu nyie majizi.nilikuwa simpendi lissu,lkn toka alipomkubali jpm,niko naye lissu kwa mvua na jua.
Na hiki ndicho Lissu anachotafuta.

Anatafuta kiki kwa wapenzi wa Magufuli.

Anatafuta kusafiria "nyota ya Magufuli".

Anatumia political expediency badala ya principled politics.

Na Watanzania wanachezewa kama watoto, kuanzia na Magufuli, mpaka sasa Lissu naye anawachezea maigizo vilevile.

Na Watanzania wengi hawawezi kuona michezo hii.

Kwa sababu hawaongozwi na logic, wanaongozwa na emotion.
 
Msiompenda Lissu mna agenda zenu.Lissu amesema licha uovu wote wa Magufuli lakini yule mzee hajawahi husika na uingiaji wa mikataba hiyo nyonya damu ila kutokana na maujinga yake yaliyochochewa kutaka kuonyesha kwamba anaipenda sana Tanzania alivunja mikataba mingi locally hali iliyopelekea mpaka sasa nchi yetu kuwa na kesi kibao ambazo tutalazimika kulipa mabilioni kibao .Uongo wa Lissu ni upi hapo?
 
Msiompenda Lissu mna agenda zenu.Lissu amesema licha uovu wote wa Magufuli lakini yule mzee hajawahi husika na uingiaji wa mikataba hiyo nyonya damu ila kutokana na maujinga yake yaliyochochewa kutaka kuonyesha kwamba anaipenda sana Tanzania alivunja mikataba mingi locally hali iliyopelekea mpaka sasa nchi yetu kuwa na kesi kibao ambazo tutalazimika kulipa mabilioni kibao .Uongo wa Lissu ni upi hapo?
Matatizo ya siasa za Africa, mnaangalia sana watu na matukio.

Hamuangalii hoja, sera endelevu, mifumo, etc.

Na kwa mtaji huu, mtabaki kuwa masikini, malofa, wajinga wenye matatizo mengi kwa muda mrefu sana tu.
 
Hilo Bunge lisilo na upinzani lililopitisha IGA bila kuijadili kwa kina aliyeliweka hapo nani?

Au mshasahu mlivyokuwa mnalalamika uchaguzi haukuwa fair?

Aliyenunua wapinzani na kukata majina ya wana CCM machachari nani?

Acheni kujimbonjisha. Magufuli ana lawama katika madudu yanayoendelea leo, na mkianza kumsafisha wapinzani, kwa sababu za kisiasa mpate kiki, nitawaona ovyo sana.

Hapa una point ya msingi. Nafikiri wapinzani wangeachana na siasa za kumtaja taja magufuli, wajikite kwenye hoja za msingi katiba mpya na mkataba wa bandari.

By the way Ccm ni ile ile, iwe ya magufuli ama samia.
 
Shida ninayoiona hapo kuna watu wangependa Lissu awe anamsema vibaya Magu ili wafuasi wa sera za Magu wamchukie Lissu .Lissu yuko vizuri upstairs hawezi kufanya hivyo kwa sababu anajua fika marehemu ana ufuasi mkubwa na mawazo yake kuhusu kupinga uwekezaji katika bandari zetu bado yanaishi na mzee Magu kwa hilo nampongeza sana licha ya maukatili yake .
 
Hapa una point ya msingi. Nafikiri wapinzani wangeachana na siasa za kumtaja taja magufuli, wajikite kwenye hoja za msingi katiba mpya na mkataba wa bandari.

By the way Ccm ni ile ile, iwe ya magufuli ama samia.
Lissu anajua, kashasema sana CCM ni ile ile.

Ila naona kapiga mahesabu ya kisiasa, political expediency, kaona atawachota Watanzania wengi walio wapenzi wa Magufuli kwa hii movie.

Yani anakuwa kama mtu ambaye anajiona yeye hawezi kusimama mwenyewe, mpaka apate kiki ya maigizo ya kumkubali Magufuli.

Lissu ka disappoint sana.
 
Si mumuache na uchizi wake..Mnaumia nini sasa?

Mngetaka si mngekaa majumbani mwenu msiongoze nchi..watu hamtaki kusemwa wala kukosolewa.

Shit
 
Kuna mstari wa moja kwa moja kati ya utawala wa Magufuli kuharibu chaguzi za bunge, kukata watu, kununua wapinzani, kutupa bunge dhaifu, na mkataba wa IGA kupita kirahisi bungeni.

Magufuli hata baada ya kufa madhara yake bado yanaonekana.

Magufuli ana lawama kubwa sana katika mkataba huu kupita, hata kama kafa.

Kwa nini mnalifungia macho hili?
Wewe Kiranga una hoja ila bado Lissu ana hoja yake hebu tuliza munkari wa vurumai za Magu afu fikiri kama mtu huru palipo kweli iwe kweli tuu na si vinginevyo
 
Wewe Kiranga una hoja ila bado Lissu ana hoja yake hebu tuliza munkari wa vurumai za Magu afu fikiri kama mtu huru palipo kweli iwe kweli tuu na si vinginevyo
Nakwambia hivii.

Waafrica wengi hatuwezi siasa za systenic thinking.

Hatuwezi siasa za sera, mifumo endelevu, frameworks za kisheria, big picture governance discussions.

Tumezoea Magufuli kampiga nani leo, Tundu Lissu kamchamba nani leo.

Ndiyo maana unaona mazungumzo yetu yanazunguka watu, hayazungukii sera, mifumo, etc.

Kwa maneno mengine tunaweza siasa za maigizo zaidi ya tackling substantive governance issues.

Ndiyo maana Magufuli kashindwa ku address suala la uwazi wa mikataba, na hata sasa hatuongelei hili suala nyeti sana.

Tunakwenda kutambika kwenye makaburi ili kupata kiki za kisiasa.
 
Sasa kama Samia hataki kuzuru kaburi la magufuli kuna ubaya gani lissu akienda na kuweka maua
 
Alisema lakini "TUTAMKUMBUKA" Nani alijua TUTAMKUMBUKA kwa lipi? Aliongeza hakutuacha gizani "KWA MEMA NA SI MABAYA" alifahamu kitu ndani yake ndani ya chama chake na wanaomzunguka kuwa akiondoka watakuwa na kiu ya matendo yao nao watatugeuza asusa nasi TUTAMKUMBUKA!
Alikuwa mpinzani ndani ya ccm. Falsafa yake hata wapinzani wa upinzani hawakuielewa.

Waliishia kumnanga badala ya kushirikiana nae..uzuri hakuwajali sababu alikuwa anawajua. Ye alipiga kazi tu.
 
Back
Top Bottom