Kitila Mkumbo acha kuchukia juu ya ukweli anaousema Lissu, hayati JPM asingefanya huu uozo. Muache aende Chato kueleza ukweli

Kitila Mkumbo acha kuchukia juu ya ukweli anaousema Lissu, hayati JPM asingefanya huu uozo. Muache aende Chato kueleza ukweli

Hilo Bunge lisilo na upinzani lililopitisha IGA bila kuijadili kwa kina aliyeliweka hapo nani?

Au mshasahu mlivyokuwa mnalalamika uchaguzi haukuwa fair?

Aliyenunua wapinzani na kukata majina ya wana CCM machachari nani?

Acheni kujimbonjisha. Magufuli ana lawama katika madudu yanayoendelea leo, na mkianza kumsafisha wapinzani, kwa sababu za kisiasa mpate kiki, nitawaona ovyo sana.
Magufuli ana madudu yake mengi sana ikiwemo kuharibu maswala mazima ya utawala wa Sheria.
Kwa Tanzania hii ambayo hata wapinzani wakiwemo Bungeni hamna impact yoyote maana idadi yao inakuwa ndogo kuliko wa CCM na mwishowe mambo yanapitishwa.Kwenye hali kam hiyo ni utashi tu wa kiongozi aliyopo ndio unaokoa.
Chukulia mfano mikataba ya Madini baada ya timbwili la Magufuli at least kwenye Madini sasa hivi tunapata atleast tunapata 800-900 Billion kutoka kwenye 250B.
 
I have noticed Mr Kitila Mkumbo has the tendency to foam at the sides of his mouth whenever he speaks, which is not only disgusting but worse still, no one pays any serious attention to whatever comes out of his mouth despite all the frothing coming out of his beak.
 
Hilo Bunge lisilo na upinzani lililopitisha IGA bila kuijadili kwa kina aliyeliweka hapo nani?

Au mshasahu mlivyokuwa mnalalamika uchaguzi haukuwa fair?

Aliyenunua wapinzani na kukata majina ya wana CCM machachari nani?

Acheni kujimbonjisha. Magufuli ana lawama katika madudu yanayoendelea leo, na mkianza kumsafisha wapinzani, kwa sababu za kisiasa mpate kiki, nitawaona ovyo sana.
Binafsi wewe ulivyokua unamjua MAGUFULI,unawaza angekubali kusaini huo mkataba?
Kua tu mkweli.Achana na mabaya yake yoote,sema kutoka moyoni,kama kweli angethubutu.
 
Magufuli ana madudu yake mengi sana ikiwemo kuharibu maswala mazima ya utawala wa Sheria.
Kwa Tanzania hii ambayo hata wapinzani wakiwemo Bungeni hamna impact yoyote maana idadi yao inakuwa ndogo kuliko wa CCM na mwishowe mambo yanapitishwa.Kwenye hali kam hiyo ni utashi tu wa kiongozi aliyopo ndio unaokoa.
Chukulia mfano mikataba ya Madini baada ya timbwili la Magufuli at least kwenye Madini sasa hivi tunapata atleast tunapata 800-900 Billion kutoka kwenye 250B.
Idadi ya wapinzani ilikuwa ndogo, na kwenda kamankufutika kabisa, kwa sababu kina Magufuli waneiba chaguzi na kutumia dola vibaya ku influence chaguzi.

Huyu mwizi ndiye leo tunaenda kumsafisha? Tundu Lissu ndiyo anamsafisha Magufuki leo kweli?

Kwa nini hatuoni hili?

CHADEMA wamekosa kiki kiasi hiki? Leo wanataka kumtumia Magufuki mtesi wao kupata kiki?
 
Binafsi wewe ulivyokua unamjua MAGUFULI,unawaza angekubali kusaini huo mkataba?
Kua tu mkweli.Achana na mabaya yake yoote,sema kutoka moyoni,kama kweli angethubutu.
Tatizo letu Watanzania wengi tunaangalia watu, hatuangalii sera, hatuangalii mfumo.

Kwa nini mnapenda kumuangalia mtu wakati mtu anakufa?

Kwa nini hamuangalii mifumo?

Magufuli alijenga mfumo gani?

Alijenga mfumo wa bunge lenye demokrasia na upinzani litakaloweza kupinga mikataba mibovu?

Au alijenga bunge la kukata watu machachari, kununua wapinzani, kufubaza uhuru, mpaka leo amefariki lakini mifumo aliyotuachia ndiyo hiyo imepitisha IGA bila mjadala mpana?

Unawezaje kumtoa Magufuli kwenye madudu yanayoendelea leo wakati yeye ndiye alikuwa architect wa kutupa bunge dhaifu, kuiba chaguzi, kutumia dola kushinda chaguzi?
 
Hilo Bunge lisilo na upinzani lililopitisha IGA bila kuijadili kwa kina aliyeliweka hapo nani?

Au mshasahu mlivyokuwa mnalalamika uchaguzi haukuwa fair?

Aliyenunua wapinzani na kukata majina ya wana CCM machachari nani?

Acheni kujimbonjisha. Magufuli ana lawama katika madudu yanayoendelea leo, na mkianza kumsafisha wapinzani, kwa sababu za kisiasa mpate kiki, nitawaona ovyo sana.

Na ndo lisu anaenda kumwambia kua alikosea hayo yote uliyoolozesha ata kumchagua bikidude kua mgombea mwenza pia alikosea
 
Tatizo letu Watanzania wengi tunaangalia watu, hatuangalii sera, hatuangalii mfumo.

Kwa nini mnapenda kumuangalia mtu wakati mtu anakufa?

Kwa nini hamuangalii mifumo?

Magufuli alijenga mfumo gani?

Alijenga mfumo wa bunge lenye demokrasia na upinzani litakaloweza kupinga mikataba mibovu?

Au alijenga bunge la kukata watu machachari, kununua wapinzani, kufubaza uhuru, mpaka keo amefariki lakini mifumo aliyotuachia ndiyo hiyo imepitisha IGA bila mjadala mpana?

Unawezaje kumtoa Magufuli kwenye madudu yanayoendelea leo wakati yeye ndiye alikuwa architect wa kutupa bunge dhaifu, kuiba chaguzi, kutumia dola kushinda chaguzi?
Pamoja na madhaifu yake yote,je,unafikiri angeweza kusaini huo mkataba in the name of makubaliano?
Be frank.
 
Na ndo lisu anaenda kumwambia kua alikosea hayo yote uliyoolozesha ata kumchagua bikidude kua mgombea mwenza pia alikosea
Anaenda kuongea na maiti iliyo kaburini?
 
Pamoja na madhaifu yake yote,je,unafikiri angeweza kusaini huo mkataba in the name of makubaliano?
Be frank.
Magufuli kaharibu uongozi wa nchi nzima.

Uharibifu huu nao umepelekea mkataba huu kupita.

Kwa nini unataka kulilinganisha hili kubwa, ambalo pia limebeba mkataba huu, na mkataba mmoja?
 
Magufuli kaharibu uongozi wa nchi nzima.

Uharibifu huu nao umepelekea mkataba huu kupita.

Kwa nini unataka kulilinganisha hili kubwa, ambalo pia limebeba mkataba huu, na mkataba mmoja?
Nina uhakika angekuwepo,pamoja na kwamba mfumo ni mbovu,asingekubali hata kuujadili huo mkataba,ulio katika vazi la makubaliano.Alisema atakumbukwa kwa MAZURI,uzuri wake ndo huo.
 
Hilo Bunge lisilo na upinzani lililopitisha IGA bila kuijadili kwa kina aliyeliweka hapo nani?

Au mshasahu mlivyokuwa mnalalamika uchaguzi haukuwa fair?

Aliyenunua wapinzani na kukata majina ya wana CCM machachari nani?

Acheni kujimbonjisha. Magufuli ana lawama katika madudu yanayoendelea leo, na mkianza kumsafisha wapinzani, kwa sababu za kisiasa mpate kiki, nitawaona ovyo sana.
Pamoja na yote, angekuwepo angeruhusu mkataba wa aina hii ufanyike???
 
Nina uhakika angekuwepo,pamoja na kwamba mfumo ni mbovu,asingekubali hata kuujadili huo mkataba,ulio katika vazi la makubaliano.Alisema atakumbukwa kwa MAZURI,uzuri wake ndo huo.
Lakini hapo unaangalia mambo kwa ntazamo finyu sana.

Unaona mkataba mmoja ni kitu muhimu kuliko muelekeo mzima wa kisiasa wa taifa.

Magufuli amechangia mkataba huu kupita, hamuelewi wapi?
 
Pamoja na yote, angekuwepo angeruhusu mkataba wa aina hii ufanyike???
Lakini hapo unaangalia mambo kwa ntazamo finyu sana.

Unaona mkataba mmoja ni kitu muhimu kuliko muelekeo mzima wa kisiasa wa taifa.

Magufuli amechangia mkataba huu kupita, hamuelewi wapi?
 
Lakini hapo unaangalia mambo kwa ntazamo finyu sana.

Unaona mkataba mmoja ni kitu muhimu kuliko muelekeo mzima wa kisiasa wa taifa.

Magufuli amechangia mkataba huu kupita, hamuelewi wapi?
Kwahiyo kwa mtazamo wako,tuache huu mkataba mmoja upite,huku tukipambana kujenga mfumo,au twende na hayo mambo kwa pamoja?
Japo haujajibu kama JPM angekuwepo,na mfumo ukiwa hivihivi mbovu,kama angekubali kupitisha huu mkataba au angeutupilia mbali.
 
Lakini hapo unaangalia mambo kwa ntazamo finyu sana.

Unaona mkataba mmoja ni kitu muhimu kuliko muelekeo mzima wa kisiasa wa taifa.

Magufuli amechangia mkataba huu kupita, hamuelewi wapi?
Sikukatalii hoja yako, labda kachangia kwa kitendo cha kwendazake, ila angekuwepo asingekubari yeye kama yeye. Akitakacho rais nchi hii ndicho kinachokjwa kwa katiba yetu hii ya sasa.
Sa100 ameutaka huu si unaona sarakasi zinavyobinuka.
Pia nakubaliana na hoja kuwa Magufuri kachafua sana uchaguzi na kuingiza ccm wote bungeni, ila kwa hili la mkataba asingekubali kifanyike hiki.
 
Kwahiyo kwa mtazamo wako,tuache huu mkataba mmoja upite,huku tukipambana kujenga mfumo,au twende na hayo mambo kwa pamoja?
Japo haujajibu kama JPM angekuwepo,na mfumo ukiwa hivihivi mbovu,kama angekubali kupitisha huu mkataba au angeutupilia mbali.
Logical non sequitur.

Hatuwezi kuelewana.

Mimi nafanya big picture thinking ya mifumo, sera, hoja.

Wewe unaangalia watu. Unamuangalia Magufuli na kujiuliza Magufuli angekuwapo angefanyaje.

Huoni kwamba Magufuli kufa bila kuweza kuweka mfumo ambao ungezuia mikataba mibovu, hususan bungeni, ni kushindwa kwa Magufuli, mtu mmoja, na hutakiwi kumuangalia mtu mmoja zaidi ya unavyouangalia mfumo.

Hapo ndipo tunaposhindwa.

Tunapenda kuangalia watu na matukio.

Badala ya kuangalia mfumo, sera, hoja.

Mara hii tushasahau kuwa Magufuli hata alipotaka kuvunja mikataba alivunja kienyeji na katuingiza kwenye kesi nyingi tunalipa hela ndefu mpaka kesho.

Tunajimbonjisha kwamba angekuwepo Magufuli asingesaini mkataba huu.

Kutosaini mkataba huu mmoja kuna maana gani wakati muelekeo wa nchi nzima ulikuwa unaenda jalalani?
 
Sikukatalii hoja yako, labda kachangia kwa kitendo cha kwendazake, ila angekuwepo asingekubari yeye kama yeye. Akitakacho rais nchi hii ndicho kinachokjwa kwa katiba yetu hii ya sasa.
Sa100 ameutaka huu si unaona sarakasi zinavyobinuka.
Pia nakubaliana na hoja kuwa Magufuri kachafua sana uchaguzi na kuingiza ccm wote bungeni, ila kwa hili la mkataba asingekubali kifanyike hiki.
Hatuwezi kuelewana.

Wewe unaangalia mtu mmoja, kama vile hafi, mimi naangalia mfumo, sera endelevu, hoja.

Hatuwezi kuelewana.

Na kwa mawazo kama yako lazima tupigwe sana.
 
Logical non sequitur.

Hatuwezi kuelewana.

Mimi nafanya big picture thinking ya mifumo, sera, hoja.

Wewe unaangalia watu. Unamuangalia Magufuli na kujiuliza Magufuli angekuwapo angefanyaje.

Huoni kwamba Magufuli kufa bila kuweza kuweka mfumo ambao ungezuia mikataba mibovu, hususan bungeni, ni kushindwa kwa Magufuli, mtu mmoja, na hutakiwi kumuangalia mtu mmoja zaidi ya unavyouangalia mfumo.

Hapo ndipo tunaposhindwa.

Tunapenda kuangalia watu na matukio.

Badala ya kuangalia mfumo, sera, hoja.

Mara hii tushasahau kuwa Magufuli hata alipotaka kuvunja mikataba alivunja kienyeji na katuingiza kwenye kesi nyingi tunalipa hela ndefu mpaka kesho.

Tunajimbonjisha kwamba angekuwepo Magufuli asingesaini mkataba huu.

Kutosaini mkataba huu mmoja kuna maana gani wakati muelekeo wa nchi nzima ulikuwa unaenda jalalani?
Conclusively unamaanisha utiaji saini wa mkataba huu mmoja,kwasasa upewe baraka,huku tukishughulikia kuweka mfumo imara?
 
Back
Top Bottom