WrestlerRSF254
JF-Expert Member
- Jan 30, 2023
- 1,196
- 2,012
Watanganyika ni wajinga ndio maana miaka 62 ya uhuru bado hatuna katiba unaotokana mawazo na maono yetu wala tume huru ya uchaguzi
Mnataka Lissu afanye nini? Ni kweli Magufuli alitaka kumfuta sasa wewe unataka Lissu afanye nini? Lissu amesamehe miacheni Lissu aise
Ww kama inakuuma Lissu kimsamehe Pombe jitu tapeli na muongo, basi jiondoe uhai wako, watu kama Lissu ndio taifa linawahitaji sio wewe
Mnataka Lissu afanye nini? Ni kweli Magufuli alitaka kumfuta sasa wewe unataka Lissu afanye nini? Lissu amesamehe miacheni Lissu aise
Ww kama inakuuma Lissu kimsamehe Pombe jitu tapeli na muongo, basi jiondoe uhai wako, watu kama Lissu ndio taifa linawahitaji sio wewe