WrestlerRSF254
JF-Expert Member
- Jan 30, 2023
- 1,196
- 2,012
Watanzania wengi hamuwezi kufanya siasa za kidhahania zinazoangalia sera na hoja bila kuangalia watu?Watanganyika ni wajinga ndio maana miaka 62 ya uhuru bado hatuna katiba unaotokana mawazo na maono yetu wala tume huru ya uchaguzi
Mnataka Lissu afanye nini? Ni kweli Magufuli alitaka kumfuta sasa wewe unataka Lissu afanye nini? Lissu amesamehe miacheni Lissu aise
Ww kama inakuuma Lissu kimsamehe Pombe jitu tapeli na muongo, basi jiondoe uhai wako, watu kama Lissu ndio taifa linawahitaji sio wewe
go and read again, hujamwelewa lissu.Hapa tunaona upinzani ambao uko inconsistent na opportunist.
I am sorry.
Magufuli ndiye katuletea haya madudu ya kuwa na bunge la upande mmoja, la kununua wapinzani, la kukata majina ya watu machachari.
Yeye ndiye aliyefanya bunge dhaifu lisilo na upinzani liwepo na kupitisha IGA.
Sasa leo CHADEMA wanaenda Chato kujipendekeza nini?
Do they want to ride on the coattails of Magufuli's popularity and a simple narrative?
I am sorry, I never thought I would side with Dr. Mkumbo.
Mimi simkubali Samia, siikubali CCM.
Lakini kwenye kuanika unafiki huu, Dr. Mkumbo is right.
CHADEMA wamekosa msimamo.
Halafu, tuondokeni kwenye hizi siasa za kuangalia watu jamani, tujikite kwenye sera.
Kila siku the same bullshit ya kuangalia majina ya watu tu na kutafuta kiki mpaka lini?
CHADEMA hapa wanatafuta kiki ya Magufuli tu.
Kamanda mstaafu umevurugwa,Mwambieji Lissu aende Chato akamfufue. Ila ajuwe akimfufua siku ya pili anarudi Ubelgiji.
Magufuli alitaka kumfuta Lissu kabisa mara ya 2 baada ya uchaguzi wa 2020 ndipo TISS wakamtonya akakimbilia ubalozi wa Germany.
Kama leo anatoa kauli hizi kwa Samia basi naamini kwa 💯 % wale wanaosema Lissu ni mwezi mchanga. Akili siyo zake
Sijamuelewa wapi na unajuaje sijamuelewa?go and read again, hujamwelewa lissu.
Nchi imeuzwaje em mtusaidie na sisi tujue.KM CCM Kitila Yule DG wa TCCIA wote wana kitengo lakini wamejitoa akili kuuza nchi tofauti na kiapo chao aibu sanaa....kwa kiapo kile bora ukose cheo ubakie na heshima kulinda kiapo chako
Rais Samia alisema hakuna askari wa Kitanzania anayeweza kupiga risasi 33 alafu akamkosa mtu. Wewe mpambe wa genge la Msoga unaleta uongo wa KishogaMwambieji Lissu aende Chato akamfufue. Ila ajuwe akimfufua siku ya pili anarudi Ubelgiji.
Magufuli alitaka kumfuta Lissu kabisa mara ya 2 baada ya uchaguzi wa 2020 ndipo TISS wakamtonya akakimbilia ubalozi wa Germany.
Kama leo anatoa kauli hizi kwa Samia basi naamini kwa 💯 % wale wanaosema Lissu ni mwezi mchanga. Akili siyo zake
Well said 👍👍Alisema lakini "TUTAMKUMBUKA" Nani alijua TUTAMKUMBUKA kwa lipi? Aliongeza hakutuacha gizani "KWA MEMA NA SI MABAYA" alifahamu kitu ndani yake ndani ya chama chake na wanaomzunguka kuwa akiondoka watakuwa na kiu ya matendo yao nao watatugeuza asusa nasi TUTAMKUMBUKA!
Anatia hurumaHii nini unaropoka kama mtoto bhana
[emoji116]View attachment 2703156
Kalivyo kafupi hadi kakiongea ute mweupe unamtoka mdomoni kanatia kinyaa sana haka kajitu.Hii nini unaropoka kama mtoto bhana
👇View attachment 2703156
Ndio hapo sasa.Na inasemekana mgombea Ubunge wa Chadema kura zilitosha!
Hatuna upinzani wa maana lakini kwa hili nawaunga mkono. Kuna mazuri mengi ya Magufuli, si mbaya CDM wakayasema.Hapa tunaona upinzani ambao uko inconsistent na opportunist.
I am sorry.
Magufuli ndiye katuletea haya madudu ya kuwa na bunge la upande mmoja, la kununua wapinzani, la kukata majina ya watu machachari.
Yeye ndiye aliyefanya bunge dhaifu lisilo na upinzani liwepo na kupitisha IGA.
Sasa leo CHADEMA wanaenda Chato kujipendekeza nini?
Do they want to ride on the coattails of Magufuli's popularity and a simple narrative?
I am sorry, I never thought I would side with Dr. Mkumbo.
Mimi simkubali Samia, siikubali CCM.
Lakini kwenye kuanika unafiki huu, Dr. Mkumbo is right.
CHADEMA wamekosa msimamo.
Halafu, tuondokeni kwenye hizi siasa za kuangalia watu jamani, tujikite kwenye sera.
Kila siku the same bullshit ya kuangalia majina ya watu tu na kutafuta kiki mpaka lini?
CHADEMA hapa wanatafuta kiki ya Magufuli tu.
Nashangaa. Wanataka amlamu hata kwa jambo ambalo hastahisi. Tena Lissu ameonyesha ukomavu mkubwa. Anaonyesha kabisa kuwa anasifu panapostahili na kulaumu panapostahili. Kitila anasimamia wapi?Lissu Mtu wa Mungu hana kinyongo.
Lissu yuko wazi kuwa Magufuli alikuwa Mwovu sawa ila kwa hili la Bandari hahusikim
Nini ambacho hamwelewi?
Upinzani unataka kusafiria nyota ya Magufuli tu hapa.Hatuna upinzani wa maana lakini kwa hili nawaunga mkono. Kuna mazuri mengi ya Magufuli, si mbaya CDM wakayasema.
No! Lissu yupo sahihi kabisa. Kitila ndiye anaji-contradict for political and personal gain. Lissu amasema Magufuli pamoja na mabaya yake yote, hili la bandari asingeruhusu. Hili ni kweli kabisa. Hilo la Magufuli kuharibu uchaguzi lipo na Lissu anasema kila siku. Ila kuharibu uchaguzi hakuwezi kumfanya aseme uongo kuhusu hili la bandari. Badala yake Kitila ndiyo ameonyesha udhaifu wa kumsifu Magufuli alipokuwa hai na kwenda kinyume naye alipofariki.CHADEMA wanaji contradict.
For political expediency.
Kuna mwanasiasa anayesema mabaya ya Magufuli kama Lissu? Kusema ukweli kuhusu msimamo wa Magufuli kwenye bandari ndiyo kushindwa kufuata principle?Upinzani unataka kusafiria nyota ya Magufuli tu hapa.
Umeshindwa kufanya siasa za principle, unataka kufanya siasa za expediency.
Mbona Magufuli hata baada ya kufa bunge lake la kukata watu na kununua wapinzani, kuua upinzani bungeni ndilo lililopitisha IGA?No! Lissu yupo sahihi kabisa. Kitila ndiye anaji-contradict for political and personal gain. Lissu amasema Magufuli pamoja na mabaya yake yote, hili la bandari asingeruhusu. Hili ni kweli kabisa. Hilo la Magufuli kuharibu uchaguzi lipo na Lissu anasema kila siku. Ila kuharibu uchaguzi hakuwezi kumfanya aseme uongo kuhusu hili la bandari. Badala yake Kitila ndiyo ameonyesha udhaifu wa kumsifu Magufuli alipokuwa hai na kwenda kinyume naye alipofariki.
Kuna mstari wa moja kwa moja kati ya utawala wa Magufuli kuharibu chaguzi za bunge, kukata watu, kununua wapinzani, kutupa bunge dhaifu, na mkataba wa IGA kupita kirahisi bungeni.Kuna mwanasiasa anayesema mabaya ya Magufuli kama Lissu? Kusema ukweli kuhusu msimamo wa Magufuli kwenye bandari ndiyo kushindwa kufuata principle?