Kitila Mkumbo: Mkataba wa Bandari unafanana kila kitu na mkataba wa ujenzi wa Mlimani City

Kitila Mkumbo: Mkataba wa Bandari unafanana kila kitu na mkataba wa ujenzi wa Mlimani City

Ukienda pale Dar es Salaam kuna sehemu inaitwa Mlimani City, na wengine wakienda Dar es Salaam na kama hawajafika Mlimani City wanahisi hawajafika Dar es Salaam.

Wakati tunaijenga Mlimani City tuliambiwa tunakiuza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kumbe tulichukua eneo dogo na kumpa mwekezaji akajenga Mlimani City na leo wana Dar es Salaam na Watanzania wanajivunia Mlimani City.

Hizi habari za kuambiwa umeuza au haujauza haijaanza leo.


Huyu mbwa asichokonoe hasira zetu, atulie na upumbavu wake
 
Ukienda pale Dar es Salaam kuna sehemu inaitwa Mlimani City, na wengine wakienda Dar es Salaam na kama hawajafika Mlimani City wanahisi hawajafika Dar es Salaam.

Wakati tunaijenga Mlimani City tuliambiwa tunakiuza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kumbe tulichukua eneo dogo na kumpa mwekezaji akajenga Mlimani City na leo wana Dar es Salaam na Watanzania wanajivunia Mlimani City.

Hizi habari za kuambiwa umeuza au haujauza haijaanza leo.


Safi sana, inamaanisha mambo tayari huko, lini wanaanza kazi.

Tunataka kusherehekea rasmi.
 
Ukienda pale Dar es Salaam kuna sehemu inaitwa Mlimani City, na wengine wakienda Dar es Salaam na kama hawajafika Mlimani City wanahisi hawajafika Dar es Salaam.

Wakati tunaijenga Mlimani City tuliambiwa tunakiuza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kumbe tulichukua eneo dogo na kumpa mwekezaji akajenga Mlimani City na leo wana Dar es Salaam na Watanzania wanajivunia Mlimani City.

Hizi habari za kuambiwa umeuza au haujauza haijaanza leo.


Ripoti ya CAG: Mkataba wa Mlimani City na Chuo Kikuu cha UDSM ni wizi mtupu.​

 
Ukienda pale Dar es Salaam kuna sehemu inaitwa Mlimani City, na wengine wakienda Dar es Salaam na kama hawajafika Mlimani City wanahisi hawajafika Dar es Salaam.

Wakati tunaijenga Mlimani City tuliambiwa tunakiuza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kumbe tulichukua eneo dogo na kumpa mwekezaji akajenga Mlimani City na leo wana Dar es Salaam na Watanzania wanajivunia Mlimani City.

Hizi habari za kuambiwa umeuza au haujauza haijaanza leo.


Mkataba WA Mlimani City unakikomo cha Miaka.. asitufanye Sisi Ni mazuzu[emoji3172]‍🦽
 
Kuna kipindi katika maisha huwa ni busara zaidi kwa mtu kukaa kimya na kuacha watu wawe na shaka juu ya aidha upo timamu ama kuna walakini katika uelewa wako (mpumbavu) kuliko kufungia kinywa chako na kuondoa shaka yeyote juu ya upumbavu wako.

Inasikitisha Profesa mzima anamithilisha bandari za nchi na square meter kadhaa za ardhi ya chuo.

Kwa mentality hii si ajabu hata tukisikia Mlima Kilimanjaro umeuzwa pia.
Profesa WA makopo ya Vyoo Vya Shule za Primary za Kayumba labda..[emoji28][emoji28][emoji28]
 
"Alievujisha huu Mkataba wa Bandari ametuvua Nguo, tumeweka Ujinga wetu wote hadharani" Kabudi Clubhouse
IMG-20230720-WA0068.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
🤝
 

Attachments

  • 843DC4D3-0973-4707-99BF-3B8A563CF104.jpeg
    843DC4D3-0973-4707-99BF-3B8A563CF104.jpeg
    83.5 KB · Views: 3
Ukienda pale Dar es Salaam kuna sehemu inaitwa Mlimani City, na wengine wakienda Dar es Salaam na kama hawajafika Mlimani City wanahisi hawajafika Dar es Salaam.

Wakati tunaijenga Mlimani City tuliambiwa tunakiuza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kumbe tulichukua eneo dogo na kumpa mwekezaji akajenga Mlimani City na leo wana Dar es Salaam na Watanzania wanajivunia Mlimani City.

Hizi habari za kuambiwa umeuza au haujauza haijaanza leo.


Pia soma

Kitila ni moja wa maprofesa wapumbavu kuwahi kutokea nchini
 
Ukienda pale Dar es Salaam kuna sehemu inaitwa Mlimani City, na wengine wakienda Dar es Salaam na kama hawajafika Mlimani City wanahisi hawajafika Dar es Salaam.

Wakati tunaijenga Mlimani City tuliambiwa tunakiuza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kumbe tulichukua eneo dogo na kumpa mwekezaji akajenga Mlimani City na leo wana Dar es Salaam na Watanzania wanajivunia Mlimani City.

Hizi habari za kuambiwa umeuza au haujauza haijaanza leo.


Pia soma

So kama unafanana? Hawa watu hawa!!
 
Pumbaavu kabisaa huyu Ng'ombe!! (Intang'ana!)

A piece of shit!....

Mwanataaluma/mwanaharakati yeyote yule....akisha-kuingia kwenye siasa tu!...

Habari yake imeisha! Kwishaa!, Kwishaa habari yake....

Na kashahongwa na uwaziri wa uwekezaji....tulitegemea aongee nini!?

Ni mara mia angekaa kimya...afiche upumbavu! Wake!....

Inasikitisha saana...hii ndio aina ya wasomi maprofesa tulionao kweli!?......So sad!!😢
 
nadhani Kitila yuko upande wa wazalendo wanaopinga uwekezaji huu usiofaa. kwa vile amepewa ofisi na serikali, na hataki kuiacha, ameamua kufikisha ujumbe in indirect way.

kwamba DPW watatupiga kama tunavyopigwa mkataba wa mlimani city.


JESUS IS LORD
 
Ukienda pale Dar es Salaam kuna sehemu inaitwa Mlimani City, na wengine wakienda Dar es Salaam na kama hawajafika Mlimani City wanahisi hawajafika Dar es Salaam.

Wakati tunaijenga Mlimani City tuliambiwa tunakiuza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kumbe tulichukua eneo dogo na kumpa mwekezaji akajenga Mlimani City na leo wana Dar es Salaam na Watanzania wanajivunia Mlimani City.

Hizi habari za kuambiwa umeuza au haujauza haijaanza leo.


Pia soma

mlimani city ilikuwa na span ya 50 years. vipi kuhusu dp world? miaka mingapi?
 
Ina maana msomi kitila hasomi taarifa za CAG pale kuna mkataba wa miaka 100 chuo kinapata 10% tu hakiruhusiwi kumfanyia ukaguzi mwekezaji uchwara cha kusikitisha zaidi mwekezaji ana maamuzi had ya kupangisha maeneo bila chuo kuwa na kauli itoshe kusema kitila na PHD yake alitakiwa kuwa shule akisaidia watoto wajikinge na mimba za mapema.
Basi kumbe ni kweli unafanana! Yawezekana mimi ndio nimemwelewa vizuri Prof.
 
Back
Top Bottom