Usipotoshe hoja kuwa kuingiza ukabila!! Mali za nchi ni za wote na sio za kabila fulani wewe zuzu.Akili hizi na za yule Siasa Kali ndio wangeweza kuwapindua Wachagga pale Ufipa st?😄😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usipotoshe hoja kuwa kuingiza ukabila!! Mali za nchi ni za wote na sio za kabila fulani wewe zuzu.Akili hizi na za yule Siasa Kali ndio wangeweza kuwapindua Wachagga pale Ufipa st?😄😄
Wapi nimetaja kabila Wewe mbwiga?Usipotoshe hoja kuwa kuingiza ukabila!! Mali za nchi ni za wote na sio za kabila fulani wewe zuzu.
Huyu mbwa asichokonoe hasira zetu, atulie na upumbavu wakeUkienda pale Dar es Salaam kuna sehemu inaitwa Mlimani City, na wengine wakienda Dar es Salaam na kama hawajafika Mlimani City wanahisi hawajafika Dar es Salaam.
Wakati tunaijenga Mlimani City tuliambiwa tunakiuza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kumbe tulichukua eneo dogo na kumpa mwekezaji akajenga Mlimani City na leo wana Dar es Salaam na Watanzania wanajivunia Mlimani City.
Hizi habari za kuambiwa umeuza au haujauza haijaanza leo.
Safi sana, inamaanisha mambo tayari huko, lini wanaanza kazi.Ukienda pale Dar es Salaam kuna sehemu inaitwa Mlimani City, na wengine wakienda Dar es Salaam na kama hawajafika Mlimani City wanahisi hawajafika Dar es Salaam.
Wakati tunaijenga Mlimani City tuliambiwa tunakiuza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kumbe tulichukua eneo dogo na kumpa mwekezaji akajenga Mlimani City na leo wana Dar es Salaam na Watanzania wanajivunia Mlimani City.
Hizi habari za kuambiwa umeuza au haujauza haijaanza leo.
Ukienda pale Dar es Salaam kuna sehemu inaitwa Mlimani City, na wengine wakienda Dar es Salaam na kama hawajafika Mlimani City wanahisi hawajafika Dar es Salaam.
Wakati tunaijenga Mlimani City tuliambiwa tunakiuza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kumbe tulichukua eneo dogo na kumpa mwekezaji akajenga Mlimani City na leo wana Dar es Salaam na Watanzania wanajivunia Mlimani City.
Hizi habari za kuambiwa umeuza au haujauza haijaanza leo.
Mkataba WA Mlimani City unakikomo cha Miaka.. asitufanye Sisi Ni mazuzu[emoji3172]🦽Ukienda pale Dar es Salaam kuna sehemu inaitwa Mlimani City, na wengine wakienda Dar es Salaam na kama hawajafika Mlimani City wanahisi hawajafika Dar es Salaam.
Wakati tunaijenga Mlimani City tuliambiwa tunakiuza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kumbe tulichukua eneo dogo na kumpa mwekezaji akajenga Mlimani City na leo wana Dar es Salaam na Watanzania wanajivunia Mlimani City.
Hizi habari za kuambiwa umeuza au haujauza haijaanza leo.
Profesa WA makopo ya Vyoo Vya Shule za Primary za Kayumba labda..[emoji28][emoji28][emoji28]Kuna kipindi katika maisha huwa ni busara zaidi kwa mtu kukaa kimya na kuacha watu wawe na shaka juu ya aidha upo timamu ama kuna walakini katika uelewa wako (mpumbavu) kuliko kufungia kinywa chako na kuondoa shaka yeyote juu ya upumbavu wako.
Inasikitisha Profesa mzima anamithilisha bandari za nchi na square meter kadhaa za ardhi ya chuo.
Kwa mentality hii si ajabu hata tukisikia Mlima Kilimanjaro umeuzwa pia.
Inaelekea wewe zuzu hujui kitu gani unaandika? Hebu angalia hapo #30 uharo ulioandika!!Wapi nimetaja kabila Wewe mbwiga?
Kitila ni moja wa maprofesa wapumbavu kuwahi kutokea nchiniUkienda pale Dar es Salaam kuna sehemu inaitwa Mlimani City, na wengine wakienda Dar es Salaam na kama hawajafika Mlimani City wanahisi hawajafika Dar es Salaam.
Wakati tunaijenga Mlimani City tuliambiwa tunakiuza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kumbe tulichukua eneo dogo na kumpa mwekezaji akajenga Mlimani City na leo wana Dar es Salaam na Watanzania wanajivunia Mlimani City.
Hizi habari za kuambiwa umeuza au haujauza haijaanza leo.
Pia soma
- CAG: Mkataba wa Mlimani City Wizi mtupu; Prof Kitila: Mkataba wa Bandari unafanana Kila kitu na Mkataba wa Mlimani City
- Gawio la Mlimani City -UDSM la Sh milioni 44 lamshtua CAG
- Mkataba Mlimani City kufumuliwa baada ya CAG kushtukia upigaji wa kudumu miaka 50-85
- Serikali yabanwa madudu mkataba wa Mlimani City
So kama unafanana? Hawa watu hawa!!Ukienda pale Dar es Salaam kuna sehemu inaitwa Mlimani City, na wengine wakienda Dar es Salaam na kama hawajafika Mlimani City wanahisi hawajafika Dar es Salaam.
Wakati tunaijenga Mlimani City tuliambiwa tunakiuza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kumbe tulichukua eneo dogo na kumpa mwekezaji akajenga Mlimani City na leo wana Dar es Salaam na Watanzania wanajivunia Mlimani City.
Hizi habari za kuambiwa umeuza au haujauza haijaanza leo.
Pia soma
- CAG: Mkataba wa Mlimani City Wizi mtupu; Prof Kitila: Mkataba wa Bandari unafanana Kila kitu na Mkataba wa Mlimani City
- Gawio la Mlimani City -UDSM la Sh milioni 44 lamshtua CAG
- Mkataba Mlimani City kufumuliwa baada ya CAG kushtukia upigaji wa kudumu miaka 50-85
- Serikali yabanwa madudu mkataba wa Mlimani City
mlimani city ilikuwa na span ya 50 years. vipi kuhusu dp world? miaka mingapi?Ukienda pale Dar es Salaam kuna sehemu inaitwa Mlimani City, na wengine wakienda Dar es Salaam na kama hawajafika Mlimani City wanahisi hawajafika Dar es Salaam.
Wakati tunaijenga Mlimani City tuliambiwa tunakiuza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kumbe tulichukua eneo dogo na kumpa mwekezaji akajenga Mlimani City na leo wana Dar es Salaam na Watanzania wanajivunia Mlimani City.
Hizi habari za kuambiwa umeuza au haujauza haijaanza leo.
Pia soma
- CAG: Mkataba wa Mlimani City Wizi mtupu; Prof Kitila: Mkataba wa Bandari unafanana Kila kitu na Mkataba wa Mlimani City
- Gawio la Mlimani City -UDSM la Sh milioni 44 lamshtua CAG
- Mkataba Mlimani City kufumuliwa baada ya CAG kushtukia upigaji wa kudumu miaka 50-85
- Serikali yabanwa madudu mkataba wa Mlimani City
Basi kumbe ni kweli unafanana! Yawezekana mimi ndio nimemwelewa vizuri Prof.Ina maana msomi kitila hasomi taarifa za CAG pale kuna mkataba wa miaka 100 chuo kinapata 10% tu hakiruhusiwi kumfanyia ukaguzi mwekezaji uchwara cha kusikitisha zaidi mwekezaji ana maamuzi had ya kupangisha maeneo bila chuo kuwa na kauli itoshe kusema kitila na PHD yake alitakiwa kuwa shule akisaidia watoto wajikinge na mimba za mapema.