Siyo kweli hizo mambo ni kujaza mawazo kichwani tu hazina utamu wala niniSawa kitimoto tam lkn ukwel wa dhati utokao mvunguni mwa moyo Wng kwangu kitam kuliko vyote ni kyuma hakika bwn apewe CFA[emoji120][emoji120][emoji120]
Mgen siku hiz uko wapi mtumish wa bwanaUmeonja hii [emoji117]utaona hii [emoji117] sio tamu [emoji4]
Miyeyusho wale hawako serious, napenda sana mazingira yao so huwa nachukua kuku kienyeji hapo africasana Sinza then naenda pale nanunua kinywaji nashushia na kakuku kangu
Mkuu tutakuwa tunakutana hapo migombani pengine tu hatujuani ki ukweli kitimoto ya migombani haijawahi kumuacha mtu salama ni tamu balaa,B Bar Sinza kwa Remmy wamechoka siku hiziHuyo anaitwa Mkuu wa Meza.Kila Jumapili unikosi pale Migombani Bar Survey nikimtafuna taaartibu na Coca ya Baridi.
Ni kweli mkuu siyo nyanya tu hata mboga za majani nazo zina madhara kila kitu kina madhara ukikizidisha
Sasa nenda kaonje na ya pale Sinza kumekucha Kilimanjaro Villa utahamia hapo maisha..Mkuu tutakuwa tunakutana hapo migombani pengine tu hatujuani ki ukweli kitimoto ya migombani haijawahi kumuacha mtu salama ni tamu balaa,B Bar Sinza kwa Remmy wamechoka siku hizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo nimekula hamna kitu si hiyo ya kuchoma kabla hawajapakarabati ndiyo ilikuwa balaa lakini sa hivi ya kawaida sanaSasa nenda kaonje na ya pale Sinza kumekucha Kilimanjaro Villa utahamia hapo maisha..
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji87] [emoji87] [emoji125]Niko kwenye mpango wa kwenda kupiga kilo 1 sasa hivi.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hapo nimekula hamna kitu si hiyo ya kuchoma kabla hawajapakarabati ndiyo ilikuwa balaa lakini sa hivi ya kawaida sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko kwa Mtogole Mtumishi! Kabla sijafika Maskani lazima nipite pale kigogo sambusa nipate dose ya Yule mdudu, licha ya kuwa tumeingiliwa na na ndugu zetu imeanza kuwa adimu [emoji15] hawatupi kitu [emoji4]
Hata pilau ukula sana unapata beriberi [emoji4]Ukiachana na kuwa haramu pia kisayansi ina tu ina atharai ktk mwili sasa we shabikia tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tofautisha ladha na utamu bro [emoji4]akili zako pia zinafanana na huyo mnyama...
hivi ktk hii dunia utamu zaidi kwako ni nguruwe..??.