KITIMOTO nyama tamu ambayo ni zawadi kutoka kwa MUNGU

KITIMOTO nyama tamu ambayo ni zawadi kutoka kwa MUNGU

Nguruwe noma! Jiulze kwanini kilo ya nyama ya ng'ombe 6000 halafu chairfire 12000, jaribu uvumbue ni i kinaipa bei, ni utamu tuu sio kingne

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app


duh hapana yale malayer ya mafuta yake uwiiiii
 
b06d2dde4380959c028cfdfdbde32c8f.jpg


Unaongelea hii!!

[HASHTAG]#God[/HASHTAG]! heal Lissu the Hero#

Niko kwenye mpango wa kwenda kupiga kilo 1 sasa hivi.
 
jaman mnaboa mjue !humu si kuna waislam na wasabato? mshindwe
kwani wamelishwa??[emoji2] [emoji2]

alafu kabla hujafungua uzi unakiona kichwa cha habari ni kuamua tu kutokufungua uzi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

/Akifa shekhe kazi ya Mungu/
/Akifa mlevi sababu ya Pombe/
 
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa katika bwana

Husika na kichwa cha habar hapo juu

Mungu aliiumba dunia hapo zaman za kale, aliumba wanyama wakali kama simba na wajanja kama sungura, lakin hakuishia tu kuumba wanyama wakali na wajanja wajanja bali alienda mbali sana na kuumba wanyama wa kufuga kama mbuz na kondoo ambao ni kitoweo kizur sana

Lakin muumba alikuwa na wazo la kumuumba mwanadamu hivyo haikuwa rahisi sana kumuumba mwanadamu pasipo zawad safi ya nyama tamu na kitoweo safi kama mbuz katoliki yaan kitimoto, ni kweli mungu alifanikisha hilo akaweza kumpa zawad mwanadamu ya kitimoto ambayo ndo nyama tamu kushinda zote ulimwenguni


Kuna wengine hudai nyama ya kitimoto ni haramu, hakika hawa wasemavyo hivyo hawajui walisemalo maana kama wangekua wanajua wakisemacho wasinge sema hivyo.

Vitu vyote haramu Mungu hakuviumba

Kwahiyo nawambia ambao huwa wanasema nguruwe ni haramu wajue kabisa kwamba vitu vyote haramu mungu hakuviumba kwahiyo wapambane tu na hali zao

Mungu aliwaumbia wanaume wanawake kwa sababu ni halali, mashoga si halali kwa sababu si kusudio la Mungu

Mungu aliwaumbia wanawake wanaume kwa sababu ni hahali kwao, endapo isingikuwa halali muumba asingemufinyanga adam kwa ajili ya eva na eva kwa ajili ya adam

Ni hayo tu lakin kaen mkijua VITU VYOTE HARAMU HAVIKUUMBWA NA BADO HAVIJAUMBWA maana Mungu si mjinga wa kuumba vitu afu viwe haramu

Zaman nilijulikana kama NANYUPU

LONDON BABY

Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha Mkuu hutupi kitu kwa huyo mnyama [emoji117]
4f46047daa9f9a226a5be5d1d60f693e.jpg
[emoji117]
19f6c4148f9b988f9414fe25821e9864.jpg
[emoji117]
a763d7d59980a2eda1f5d5a999112986.jpg
[emoji117]
11a2e76474638d9080634dbc505ab6d1.jpg
[emoji117]
f3ba03be300083c6b8f5f30f607ba871.jpg
[emoji117]
192d365548746fb9327e3f96d7f30c1e.jpg
[emoji117]
c63b691d2180664b5b214bd108290da7.jpg
[emoji117]
1643acfa8daec451f1fb208bb3837d69.jpg
[emoji117]
49f2f4d7a7d805f6e7516c17e1ed3078.jpg
[emoji117]
bceaa08b747d1b8e80a6100df4960fc9.jpg
[emoji118] [emoji117] pilau lake....ukishushia na
11812d7140bb39487f60785d38392af2.jpg
[emoji118] [emoji117] kanatokea jasho [emoji39] au [emoji117]
0a711bf05d2b7a8ff7520275d45e44f3.jpg
...[emoji39] [emoji39] alihamdulilahi [emoji106]
 
Sawa kitimoto tam lkn ukwel wa dhati utokao mvunguni mwa moyo Wng kwangu kitam kuliko vyote ni kyuma hakika bwn apewe CFA[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Sawa kitimoto tam lkn ukwel wa dhati utokao mvunguni mwa moyo Wng kwangu kitam kuliko vyote ni kyuma hakika bwn apewe CFA[emoji120][emoji120][emoji120]
Umeonja hii [emoji117]
23a0099a9e3c1ce905bb8f0da80924f3.jpg
utaona hii [emoji117]
07727f04e55932e71f28a80549fb709f.jpg
sio tamu [emoji4]
 
kwani wamelishwa??[emoji2] [emoji2]

alafu kabla hujafungua uzi unakiona kichwa cha habari ni kuamua tu kutokufungua uzi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

/Akifa shekhe kazi ya Mungu/
/Akifa mlevi sababu ya Pombe/
Ahahahahaha akifa shekh mipango ya mungu

Akifa mlev sababu ya ulevii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom