MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,074
yap yap !kanirudisha nyuma miaka 10
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile bar ilikuwaga machafu chafu, but nowadays duuhyap yap !kanirudisha nyuma miaka 10
Tatizo tuu ukila hawa wa polini unaweza hamia polini kwa kuwatafuta,Sasa kama hawa wanaofugwa ni watamu hivyo hao wa polin sindo balaa kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa huko ni mazingira tuu ndo mazuri
Ndugu yangu hiyo ni kama madawa ya kulevya kuacha ngumu labda makonda aingilie kati[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Mungu wa Yakobo/ wa israel n.kNi Mungu yupi umemrejea hapa?
Kama ni mungu wa n.k uko sahihiMungu wa Yakobo/ wa israel n.k
deep kiss na nguruwe wapi na wapi mama?jaman ktk kitu amabvho hakitaingia mwilin mwangu ni hiki chakula !yaan nimeharibu asbh yangu !pyeee !yaan ni zaid ya kharamu !nguruwe ana magonjwa meng sana ! dah thts y sipendag deep kiss
Kumbe hata mimi nitakuwa nakujuaMigombani survey?
Tutakuwa tunajuana asee...sema hizi ID + Avatar fekero[emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole mkuu huu ndo msosi wanguWe jamaa wewe umenifanya udenda unitoke so kwa msosi huo hiiii.......nimekusomaaaaaa......
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee mimi hapo ndo maskan yangu kwa kila ijumaa lazima nitimbe hapoIle bar ilikuwaga machafu chafu, but nowadays duuh
Kitimoto chao na kachumbari weka mbali na chekechea!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahhaha umetisha mwana et waweza hamia polinTatizo tuu ukila hawa wa polini unaweza hamia polini kwa kuwatafuta,
Wakati mwingine nikizimisi za polini nam_huyu wa kufugwa hafu namtafuta muwindaji anampiga risas hafu namchinjia hukohuko nakuja na nyama kutoka porini[emoji23] [emoji23] [emoji23] kinachofuat khaa nakula huku naamini ni nguluwe pori[emoji38] [emoji38] [emoji38]
Nguruwe noma! Jiulze kwanini kilo ya nyama ya ng'ombe 6000 halafu chairfire 12000, jaribu uvumbue ni i kinaipa bei, ni utamu tuu sio kingnejaman ktk kitu amabvho hakitaingia mwilin mwangu ni hiki chakula !yaan nimeharibu asbh yangu !pyeee !yaan ni zaid ya kharamu !nguruwe ana magonjwa meng sana ! dah thts y sipendag deep kiss