Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Ningekua nime verify accnt..ningejibu ndio au hapanaInaoneka Uko maeneo ya resort kimara
Hahahaaaaaa ,,,,,,,,,,,,Dah nmesoma hii thread huku natafuna kitu taratibu, navuta image ya kitimoto, kumbe nakula udongo..... 🙁
hahaha karibu huku kipo cha kutoshaDah nmesoma hii thread huku natafuna kitu taratibu, navuta image ya kitimoto, kumbe nakula udongo..... 🙁
Hv wasiokula kitimoto wanajielewa kweli?
Pole mkuu[emoji23] [emoji23]Dah nmesoma hii thread huku natafuna kitu taratibu, navuta image ya kitimoto, kumbe nakula udongo..... 🙁
Walaih laazimu
Kama ivoo[emoji39] [emoji39] [emoji39]
kitoko,pama au don nyati!!Kuna hizi pombe mpya kwenye vichupa vya plastiki ni mbaya kuliko gongo
Ukinywa vichupa viwili tuu hujui unaongea nini
...itaendelea...