KITIMOTO nyama tamu ambayo ni zawadi kutoka kwa MUNGU

KITIMOTO nyama tamu ambayo ni zawadi kutoka kwa MUNGU

jaman mnaboa mjue !humu si kuna waislam na wasabato? mshindwe
upload_2017-9-11_10-6-59.jpeg


Pambaneni na hali zenu...uzi unajionesha kwenye heading, mmeufungulia nini kama kweli hamshiriki?
 
mimi wala hata sili...ila nakuonea huruma nyumba yako yote wanakula wewe tu.


nashindwa kuelewa kusema ukweli hawa watt wamefundishwa na nn !wanaweza kaa wakamwambia baba tunataka kitimoto!jaman wanakula kilo nzima !moto unachefuka najifungia room! mie ni mpenzi wa mbuzi jaman !yaan ukianimbia hta saa 12 jion nije town tule mbuzi kwakweli huwa natoka baruuuu hahaha
 
nilipokutana na hubby akajiaminisha atanilisha niwe nakula !alishindwa jaman ananleataga hom amemix na mbuzi mie nikichek tu najuaga hapa usalama hakuna!sili !marafiki zangu waliwah nifungua mdomo kwa ngv hahahaha nililiaaaaa since then hawaniiti kwenye mikusanyiko yao !kwanza ilivyo tu nguruwe sura lake!plus manyoya yake na inavyolia uwiiiiii!

nashanmgaa wanangu wanapokonyana hiyo nyama wanakulaga had kilo kbs naumia moyoni nasema Mungu hawa watt umewafanyaje wale kitimoto jaman !arghhhhhhhhhhhhl
Mdudu wa zip unamla hadi unalia, unashindwaje kula hiyo nyama? Kuna kiumbe kibaya zaidi ya hicho cha zip?
 
Kitimoto ni nyama ya taifa.
Acha kuidharirisha hii nyama na vitu vya kijinga

Yaani ufananishe kitimoto na taifa??
Hii ni nyama ta ki mabara sio kitaifa[emoji38] [emoji38]



Kipindi cha miaka ya nyuma kidogo enzi za ujana wangu ilinifanya nitende dhambi.


Nilimfumania mpenzi wangu msituni.

Alifanikiwa kunikimbia na huyo njemba, nikasema sitokaa niwe nae tena na wazazi wake na wangu ntawambia

Alichokifanya aliniomba nionane nae sokoni, si unajua enzi hizo masoko ni jioni. Nijasema ndio naenda kumwambia dhamira yangu

Bahati mbaya nikakuta ana kifurushi furani hivi cha majani ya mgomba akanikabidhi,

Mungu wangu!!!! Kitimoto haloooo habari iliyonilta ikaisha hapo hapo

Cha kushangaza ndio mke wangu mpaka leo, ametumia muda wake mwingi kujifunza pishi la kiumbe hiki kwa ajiri yangu.
 
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa katika bwana

Husika na kichwa cha habar hapo juu

Mungu aliiumba dunia hapo zaman za kale, aliumba wanyama wakali kama simba na wajanja kama sungura, lakin hakuishia tu kuumba wanyama wakali na wajanja wajanja bali alienda mbali sana na kuumba wanyama wa kufuga kama mbuz na kondoo ambao ni kitoweo kizur sana

Lakin muumba alikuwa na wazo la kumuumba mwanadamu hivyo haikuwa rahisi sana kumuumba mwanadamu pasipo zawad safi ya nyama tamu na kitoweo safi kama mbuz katoliki yaan kitimoto, ni kweli mungu alifanikisha hilo akaweza kumpa zawad mwanadamu ya kitimoto ambayo ndo nyama tamu kushinda zote ulimwenguni


Kuna wengine hudai nyama ya kitimoto ni haramu, hakika hawa wasemavyo hivyo hawajui walisemalo maana kama wangekua wanajua wakisemacho wasinge sema hivyo.

Vitu vyote haramu Mungu hakuviumba

Kwahiyo nawambia ambao huwa wanasema nguruwe ni haramu wajue kabisa kwamba vitu vyote haramu mungu hakuviumba kwahiyo wapambane tu na hali zao

Mungu aliwaumbia wanaume wanawake kwa sababu ni halali, mashoga si halali kwa sababu si kusudio la Mungu

Mungu aliwaumbia wanawake wanaume kwa sababu ni hahali kwao, endapo isingikuwa halali muumba asingemufinyanga adam kwa ajili ya eva na eva kwa ajili ya adam

Ni hayo tu lakin kaen mkijua VITU VYOTE HARAMU HAVIKUUMBWA NA BADO HAVIJAUMBWA maana Mungu si mjinga wa kuumba vitu afu viwe haramu

Zaman nilijulikana kama NANYUPU

LONDON BABY

Sent using Jamii Forums mobile app

Labda tu nikuweke sawa.

Eva ndiye alieumbwa kwa ajili ya Adamu..na SIO Adam kwaajili ya eva.

Mwanamke Ndiye kaumbwa kwaajili ya Mwanaume na sio Mwanaume kwaajili ya Mwanamke.

It is not two way. It is a straight one way. Thats it.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa katika bwana

Husika na kichwa cha habar hapo juu

Mungu aliiumba dunia hapo zaman za kale, aliumba wanyama wakali kama simba na wajanja kama sungura, lakin hakuishia tu kuumba wanyama wakali na wajanja wajanja bali alienda mbali sana na kuumba wanyama wa kufuga kama mbuz na kondoo ambao ni kitoweo kizur sana

Lakin muumba alikuwa na wazo la kumuumba mwanadamu hivyo haikuwa rahisi sana kumuumba mwanadamu pasipo zawad safi ya nyama tamu na kitoweo safi kama mbuz katoliki yaan kitimoto, ni kweli mungu alifanikisha hilo akaweza kumpa zawad mwanadamu ya kitimoto ambayo ndo nyama tamu kushinda zote ulimwenguni


Kuna wengine hudai nyama ya kitimoto ni haramu, hakika hawa wasemavyo hivyo hawajui walisemalo maana kama wangekua wanajua wakisemacho wasinge sema hivyo.

Vitu vyote haramu Mungu hakuviumba

Kwahiyo nawambia ambao huwa wanasema nguruwe ni haramu wajue kabisa kwamba vitu vyote haramu mungu hakuviumba kwahiyo wapambane tu na hali zao

Mungu aliwaumbia wanaume wanawake kwa sababu ni halali, mashoga si halali kwa sababu si kusudio la Mungu

Mungu aliwaumbia wanawake wanaume kwa sababu ni hahali kwao, endapo isingikuwa halali muumba asingemufinyanga adam kwa ajili ya eva na eva kwa ajili ya adam

Ni hayo tu lakin kaen mkijua VITU VYOTE HARAMU HAVIKUUMBWA NA BADO HAVIJAUMBWA maana Mungu si mjinga wa kuumba vitu afu viwe haramu

Zaman nilijulikana kama NANYUPU

LONDON BABY

Sent using Jamii Forums mobile app
ok
 
Back
Top Bottom