MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,074
Sasa pale wana kitimoto matata sana siku hizi... Usipime
aiseee haya hongera
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa pale wana kitimoto matata sana siku hizi... Usipime
![]()
Unaongelea hii!!
[HASHTAG]#God[/HASHTAG]! heal Lissu the Hero#
Ohooooo!!![emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Binamu yangu ni wa dini isiyokula kitu moto, tukiwa viwanja ananiambia tule kwanza mambo ya dini baadae
Hv kati ya hio nyama na pombe kipi haramu?nilipokutana na hubby akajiaminisha atanilisha niwe nakula !alishindwa jaman ananleataga hom amemix na mbuzi mie nikichek tu najuaga hapa usalama hakuna!sili !marafiki zangu waliwah nifungua mdomo kwa ngv hahahaha nililiaaaaa since then hawaniiti kwenye mikusanyiko yao !kwanza ilivyo tu nguruwe sura lake!plus manyoya yake na inavyolia uwiiiiii!
nashanmgaa wanangu wanapokonyana hiyo nyama wanakulaga had kilo kbs naumia moyoni nasema Mungu hawa watt umewafanyaje wale kitimoto jaman !arghhhhhhhhhhhhl
Safi sana jembe killo upo mkuu siku nyingi hatuonan kunanhabari yako bwana nanyupu
Hata mie alinifundisha kula nyama anatokea mosh mungu amubaliki sana huko ulaya anakosoma maana alienda shuleNmekaa Moshi miaka minne.. Nimetumia sana hiyo kitu asee.. Saiv nmeimiss kweli daaah .
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee pole sana baby wangu kumbe unakosa utamu hivyo ngoja jumapili ukija gheto nitakununuliajaman ktk kitu amabvho hakitaingia mwilin mwangu ni hiki chakula !yaan nimeharibu asbh yangu !pyeee !yaan ni zaid ya kharamu !nguruwe ana magonjwa meng sana ! dah thts y sipendag deep kiss
DR MWAKABENJA hiyo ndo kitu roho huwa inapenda![]()
Unaongelea hii!!
[HASHTAG]#God[/HASHTAG]! heal Lissu the Hero#
Aisee yaan upo kama nikimaliza week mbili sijala mdudu huwa nahis kufa kufaHuyo anaitwa Mkuu wa Meza.Kila Jumapili unikosi pale Migombani Bar Survey nikimtafuna taaartibu na Coca ya Baridi.
Waisilamu na wasabato? Waisilam wamehalarishiwa wale ili wasife, hao wasabato acha wapambane na hali zaojaman mnaboa mjue !humu si kuna waislam na wasabato? mshindwe
AiseeWakafie mbeleee na dini zao zilizoletwa Africa na Ngalawa na Mashua[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
Sent from my IPhone 8+ using Jamii Forums mobile app
Hakuna wa kufanya upuuz kama huo kwenye nchi huru kama TANGANYIKAAcha kutaja location hadharani zisijelipuliwa na wasopenda Utamu.
Pole sana mpenz lakin jumapil ndo siku lasm ya kuanza kula mbuz katolik kwahiyo jiandaenilipokutana na hubby akajiaminisha atanilisha niwe nakula !alishindwa jaman ananleataga hom amemix na mbuzi mie nikichek tu najuaga hapa usalama hakuna!sili !marafiki zangu waliwah nifungua mdomo kwa ngv hahahaha nililiaaaaa since then hawaniiti kwenye mikusanyiko yao !kwanza ilivyo tu nguruwe sura lake!plus manyoya yake na inavyolia uwiiiiii!
nashanmgaa wanangu wanapokonyana hiyo nyama wanakulaga had kilo kbs naumia moyoni nasema Mungu hawa watt umewafanyaje wale kitimoto jaman !arghhhhhhhhhhhhl
One thing is missing KILIMANJARO premium lager
Vitu venye majina meng dunian ni pesa, nguruwe na poch manyoyaAcha tu Iitwe majina mengi,bado sijaona nyama tamu kama kipig