KITIMOTO nyama tamu ambayo ni zawadi kutoka kwa MUNGU

KITIMOTO nyama tamu ambayo ni zawadi kutoka kwa MUNGU

Halafu nakumbuka kitambo hicho ule wimbo zilipendwa ulivyotoka tu, wadogo zangu wawili tukipika kitimoto wakawa wanauremix " hakuna nyama kama kitimoto, aaa, aaa ×2,,, kwa utamuuu, kwa utamuuu yeye,,,yeyeye ...iyeeeee hakuna nyama kama kitimoto ooooo,,,, kwa kunona, kwa kunonaaa ye ye yeeeeee, iyeeeeeee, hakuna nyama kama kitimotoo .......ooooooo
 
b06d2dde4380959c028cfdfdbde32c8f.jpg


Unaongelea hii!!

[HASHTAG]#God[/HASHTAG]! heal Lissu the Hero#

Wapendwa tunatiana hamu asubuhi yote hiii!!!
 
nilipokutana na hubby akajiaminisha atanilisha niwe nakula !alishindwa jaman ananleataga hom amemix na mbuzi mie nikichek tu najuaga hapa usalama hakuna!sili !marafiki zangu waliwah nifungua mdomo kwa ngv hahahaha nililiaaaaa since then hawaniiti kwenye mikusanyiko yao !kwanza ilivyo tu nguruwe sura lake!plus manyoya yake na inavyolia uwiiiiii!

nashanmgaa wanangu wanapokonyana hiyo nyama wanakulaga had kilo kbs naumia moyoni nasema Mungu hawa watt umewafanyaje wale kitimoto jaman !arghhhhhhhhhhhhl
Hv kati ya hio nyama na pombe kipi haramu?
 
jaman ktk kitu amabvho hakitaingia mwilin mwangu ni hiki chakula !yaan nimeharibu asbh yangu !pyeee !yaan ni zaid ya kharamu !nguruwe ana magonjwa meng sana ! dah thts y sipendag deep kiss
Aisee pole sana baby wangu kumbe unakosa utamu hivyo ngoja jumapili ukija gheto nitakununulia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
nilipokutana na hubby akajiaminisha atanilisha niwe nakula !alishindwa jaman ananleataga hom amemix na mbuzi mie nikichek tu najuaga hapa usalama hakuna!sili !marafiki zangu waliwah nifungua mdomo kwa ngv hahahaha nililiaaaaa since then hawaniiti kwenye mikusanyiko yao !kwanza ilivyo tu nguruwe sura lake!plus manyoya yake na inavyolia uwiiiiii!

nashanmgaa wanangu wanapokonyana hiyo nyama wanakulaga had kilo kbs naumia moyoni nasema Mungu hawa watt umewafanyaje wale kitimoto jaman !arghhhhhhhhhhhhl
Pole sana mpenz lakin jumapil ndo siku lasm ya kuanza kula mbuz katolik kwahiyo jiandae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom