Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
- Thread starter
- #121
Acha zako kiongoz fuata mambo yakoUjue mi nilianza kukupenda kabla ya huyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha zako kiongoz fuata mambo yakoUjue mi nilianza kukupenda kabla ya huyo
We utaijuaje ntu wa Bara huko Kolomije?jaman ktk kitu amabvho hakitaingia mwilin mwangu ni hiki chakula !yaan nimeharibu asbh yangu !pyeee !yaan ni zaid ya kharamu !nguruwe ana magonjwa meng sana ! dah thts y sipendag deep kiss
Tena hii kitu kwa peps ndo huwa mahala pake sasaMleta mada umeamsha hisia zangu. Ngoja niwahi Kilimanjaro Villa nikapate kitimoto nusu, ndizi mbili na Pepsi bariiiiiiiidi
Naendaga pale asee,ila huku Mbezi Kimara kwa Msuguli hapa kwa Tarimo ni mwisho wa habari.Huyo anaitwa Mkuu wa Meza.Kila Jumapili unikosi pale Migombani Bar Survey nikimtafuna taaartibu na Coca ya Baridi.
Mbona wote hao tunagonga nao mdudu kila jumos?jaman mnaboa mjue !humu si kuna waislam na wasabato? mshindwe
mmmh! Ukakasi[emoji23] [emoji23]yeah nimekumbuka !na kweli !nakupenda pia
Uchokonozi wa amani yetu tuliyoijenga kwa miongo ya kutosha...vita vya kiimani kama ilivyo central Africa na huko middle east ilichochewa na mizaha midogodogo kama hii...tuitumie hii mitandao ya kijamii kuibua changamoto za kimaendeleo na sio kuibua migogoro isiyo na tija....
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena ukitaka u-enjoy fuga njaa kwa masaa kadhaa, ule ukiwa na njaa. [emoji39] [emoji39]
Mgogoro upi ambao nimeuibua hapa mkuuUchokonozi wa amani yetu tuliyoijenga kwa miongo ya kutosha...vita vya kiimani kama ilivyo central Africa na huko middle east ilichochewa na mizaha midogodogo kama hii...tuitumie hii mitandao ya kijamii kuibua changamoto za kimaendeleo na sio kuibua migogoro isiyo na tija....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe maana kidogo tu nianze kuandaa tarakaahhaha huyo ni jirani tu mume wangu wee
Huyu jamaa ni mtu wa ajabu sana au yeye ndo anataka kuleta migogoroAcha kupanic ndugu,migogoro gani ambayo imeibuliwa na ishu ya kula mkuu wa meza?Sepa zako Alahhh