19 records studio
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 421
- 1,085
Mimi napenda kula hii nyama nikiwa uchi au na khanga moja. [emoji4] [emoji39] [emoji39]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heee,mbona hatari ,ukiwa sehemu ya wazi inakuwaje mkuu?Mimi napenda kula hii nyama nikiwa uchi au na khanga moja. [emoji4] [emoji39] [emoji39]
Mimi nafanyaga iv yaan nakunywa chai asubuh alafu mchana siri nasubili had saa moja nusu naenda zangu kuagiza mdudu na ndiz na peps bariiiidiiiii, alooooo ngoja niishie hapoTena ukitaka u-enjoy fuga njaa kwa masaa kadhaa, ule ukiwa na njaa. [emoji39] [emoji39]
Mhh hivi kweli utamu wa kitimoto ndo ulete vita jamani. Nakushauri onja kitimoto ndugu uendelee kufurahia uumbaji wa Muumba.Uchokonozi wa amani yetu tuliyoijenga kwa miongo ya kutosha...vita vya kiimani kama ilivyo central Africa na huko middle east ilichochewa na mizaha midogodogo kama hii...tuitumie hii mitandao ya kijamii kuibua changamoto za kimaendeleo na sio kuibua migogoro isiyo na tija....
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu ungechagiza na ki picha japo kimoja cha rosti moja matata na ndizi juuAman ya bwana iwe nanyi wapendwa katika bwana
Husika na kichwa cha habar hapo juu
Mungu aliiumba dunia hapo zaman za kale, aliumba wanyama wakali kama simba na wajanja kama sungura, lakin hakuishia tu kuumba wanyama wakali na wajanja wajanja bali alienda mbali sana na kuumba wanyama wa kufuga kama mbuz na kondoo ambao ni kitoweo kizur sana
Lakin muumba alikuwa na wazo la kumuumba mwanadamu hivyo haikuwa rahisi sana kumuumba mwanadamu pasipo zawad safi ya nyama tamu na kitoweo safi kama mbuz katoliki yaan kitimoto, ni kweli mungu alifanikisha hilo akaweza kumpa zawad mwanadamu ya kitimoto ambayo ndo nyama tamu kushinda zote ulimwenguni
Kuna wengine hudai nyama ya kitimoto ni haramu, hakika hawa wasemavyo hivyo hawajui walisemalo maana kama wangekua wanajua wakisemacho wasinge sema hivyo.
Vitu vyote haramu Mungu hakuviumba
Kwahiyo nawambia ambao huwa wanasema nguruwe ni haramu wajue kabisa kwamba vitu vyote haramu mungu hakuviumba kwahiyo wapambane tu na hali zao
Mungu aliwaumbia wanaume wanawake kwa sababu ni halali, mashoga si halali kwa sababu si kusudio la Mungu
Mungu aliwaumbia wanawake wanaume kwa sababu ni hahali kwao, endapo isingikuwa halali muumba asingemufinyanga adam kwa ajili ya eva na eva kwa ajili ya adam
Ni hayo tu lakin kaen mkijua VITU VYOTE HARAMU HAVIKUUMBWA NA BADO HAVIJAUMBWA maana Mungu si mjinga wa kuumba vitu afu viwe haramu
Zaman nilijulikana kama NANYUPU
LONDON BABY
Sent using Jamii Forums mobile app
Mii sinywi chai asubuhi, nasubiria hadi saa saba nane hivi... Ahhh jamani acgeni kitimoto iliwe na wachache tuu, coz wanaoiita haramu wakianza kuila kutakuwa na upungufu mkubwa, na bidhaa yenyewe ilivo adimu....Mimi nafanyaga iv yaan nakunywa chai asubuh alafu mchana siri nasubili had saa moja nusu naenda zangu kuagiza mdudu na ndiz na peps bariiiidiiiii, alooooo ngoja niishie hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
kitu rosti mkuu hapo upate na ndizi au ugali lazima ujing'ate then unashushia na bia bariiiiidi![]()
Unaongelea hii!!
[HASHTAG]#God[/HASHTAG]! heal Lissu the Hero#
Beira kwanza nikupongeze kwa kubadili id kama moyo wako ulivyotamani[emoji122] [emoji122]
Acha kuletea nyegezMimi napenda kula hii nyama nikiwa uchi au na khanga moja. [emoji4] [emoji39] [emoji39]
we jamaa una akili sana manake waislam tunafakamia wote pombe bar na wananunua malaya kama kawaida sasa kipi haram kitimoto au pombeHv kati ya hio nyama na pombe kipi haramu?
[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] hikitu hiii Mhhh, yaan natamanigi nile hadi mifupa pale caribian
Hahaha,hii biblia toka Ndanda mission1Timotheo 4:1-5 inasema "Akusombile Nnungu cha kumemena, pasopa wena"
Hata nguruwe tunakula bana mbona mwezi wa Ramadhan huwa inashuka bei? Misri ndo inaongoza Africa kwa kufuga nguruwe.we jamaa una akili sana manake waislam tunafakamia wote pombe bar na wananunua malaya kama kawaida sasa kipi haram kitimoto au pombe
Hahahaaa ukizidiwa nishtue pm nakupa kwa dola $300.Acha kuletea nyegez
DJ sepetu
Eeee baba.
H'jamaniii!Hahahaaa ukizidiwa nishtue pm nakupa kwa dola $300.