Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

Kunywa kahawa za hawa vijana wa mitaani na kunywa juisi ya miwa
Kahawa nilifikiri huwa wanaweka sukari,kuna siku nimekaa kijiwe chao wakaniagizia,aisee ni chungu sijui wanawezaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…