Jinsia yako plse.Kwenda kwa mpalange A. K. A njia ya tope hapana aisee..
Ile ni stimulant mkuu.. Ina wenyewe..Kahawa nilifikiri huwa wanaweka sukari,kuna siku nimekaa kijiwe chao wakaniagizia,aisee ni chungu sijui wanawezaje
DhambiKwanini?
Sio leo bado tunaupambania ugali ila mungu akijali2030 ntaoaOa ili usifanye dhambi,au hauna mpango;wa kuoa pia?
Ndio ndioKivipi yani weekend hutoki kwenda mahali?
Hujakosea Mkuu.We utakua mtu wa Dodoma jangwani
NdioUmeokoka?
Watu wanakunywa ile inaitwa kifutio, waijua?
AsanteHongera kwa kujiepusha na pombe!