Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

Kitu gani cha kawaida hujawahi kufanya?

😃😃😃sijawahi kushiriki huo mchakato kabisa


kwanza nilivyo mvivu wa kupanga foleni daah😃😃

enzi zakununua luku madirishani nilikuwa napata shida sana...ukienda pale kinondoni kwa mwanamboka unakutana na bonge la foleni watu wameenda kununua umeme haswaa ikiwa end of the month ndio kizaa zaa..😃😃 nilikuwaga Napata shida sana
Hilo la umeme nimepanda sana daladala kwenda kununua buguruni au tazara. Kukwepa tu kukaa foleni huku nilipo.
 
Hilo la umeme nimepanda sana daladala kwenda kununua buguruni au tazara. Kukwepa tu kukaa foleni huku nilipo.
😃😃 ilikuwa inakera sana. .. hatuna budi kuiheshimu tech.. imagine foleni ya kununua,luku tu nilikuwa naona ni kama vile najitwisha mzigo. .. so vipi kuhusu kukaa foleni ya upigaji kura
 
Sijawahi kuvaa[emoji116]
368ca242bfb027f6bb87650d3e5ff4ff1b287efd.jpg
 
Sijawahi kusex na mwanaume na haitakuja kutokea,[emoji777]

Sijawahi kwenda kiwanja chochote cha mpira kushangilia japo rafiki zangu wengi ni wana michezo, [emoji2359]

Sijawahi kuomba mtu nisiyemjua pesa,[emoji724]

Sijawahi kukataliwa nikitongoza, [emoji23]
Hata kwenda viwanja uchwara?
 
😂😂😂 Wewe ni kama mimi vyote hapo sijawahi fanya..!
Haha "eti ulibeba Dunia kichwani"
Kucha bandia ama chochote cha bandia mwilini kwangu, kubandika makope and the like

Kuvaa wigi, nilishawahi once sikurudia maana niliona kama nimebeba dunia kichwani

Kubeba ndoo kubwa ya maji, ni kitu cha kawaida kwa wanawake wengi ila me siwezi...naiona nzito

Kuepua sufuria jikoni bila mshikio ama cha kushikia
 
Kutumia Halotel+TTCL+Airtel
Kulewa (japo huwa nakunywa castle lite 3 tu)
Kuvaa visuruali kinakamata miguuni Kama za dada zetu
Kunyoa kiduku
Kuendesha Pikipiki (Sitaki hata kujua)
Kupiga Kura
Unieleze Jambo (useme iwe Siri) afu nimwambie mwingine!!!
 
Back
Top Bottom