Mleta mada kaanza na maandaziMmeelewa topic, tajeni vitu ambavyo ni vya ovyo, sio vitu vya maana kama hivyo
Hahaa π bc twendeni na misosi tuMleta mada kaanza na maandazi
Sasa maandazi ni kitu cha hovyo?
Kwahyo ant.....πππππMimi napenda Sana maandazi ya Moto
Yaani hata baby wangu akiniuliza unataka nini swetie huwa natamani anikaangie maandazi ya Nazi ya Moto sema ndo hivo ni kauzu balaa .labda anichemshie mawe .
Yaani hata mtu akiniambia miss njoo home napika maandazi naweza kumfata.hii kitu inaweza nifanya niliwe kimasikhara jameni.
Hahaa π bc twendeni na misosi tu
πWewe upo sawa, bhangi ni kitu cha ovyoTwende na kila kitu tu
Binafsi nimetaja bangi....kwani bangi ni kitu cha ajabu?
Hahaa π ili aje aleKwahyo ant.....πππππ
Oky sema leo kuna maandazi moto hapa mpaka nashindwa kuongea vizri..
Ila ni ya nazi ubaya wake sizani ka utayapenda
Aseee! π€£π€£πWewe upo sawa, bhangi ni kitu cha ovyo
Mmmh kwani anayapenda yeye au πππππππHahaa π ili aje ale
Huo sio ujinga bali ni defence mechanism.Kujisahau kuwa huyu ni adui yangu na kumchekea ...hivi huu siyo ujinga
Ewaaa safi sana....Mpigieni makofiNyonyo zilizosimama
Kuna muda najisikia vibaya Sana....najiona mpuuzi etiHuo sio ujinga bali ni defence mechanism.