Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Sasa kichwa cha habari kinasema 'kupenda kitu cha ovyo'!Mimi napenda Sana maandazi ya Moto,
Yaani hata baby wangu akiniuliza unataka nini swetie huwa natamani anikaangie maandazi ya Nazi ya Moto sema ndo hivo ni kauzu balaa labda anichemshie mawe.
Yaani hata mtu akiniambia miss njoo home napika maandazi naweza kumfata.hii kitu inaweza nifanya niliwe kimasikhara jameni.
Masterbation(punyeto).Mimi napenda Sana maandazi ya Moto,
Yaani hata baby wangu akiniuliza unataka nini swetie huwa natamani anikaangie maandazi ya Nazi ya Moto sema ndo hivo ni kauzu balaa labda anichemshie mawe.
Yaani hata mtu akiniambia miss njoo home napika maandazi naweza kumfata.hii kitu inaweza nifanya niliwe kimasikhara jameni.
Hiki kitu kweli ni cha ajabu. Na jana nimeshangaa sana ,nikiwa kariakoo napata breakfast mgahawa mmoja karibu nca China plaza nikaona mzee mmoja anakunywa chai na Chips. 😂😂.Napenda kiporo cha chipsi ninywe na chai asubuhi, nakawaida nazinununua usiku nazilaza kwenye fridge asubuhi napasha nakula😅😅😅
😂😂😂 Likizo imeishaaa, nimerudi na moto wa gesi hadi muite maji mmaa...Weeeh nani tena alikutag huku 😂😂😂😂😂😂😂
Bichwa si tulikubaliana kwa sasa upo likizo... Upo kutubu 😂😂😂
😅😅😅😅Hiki kitu kweli ni cha ajabu. Na jana nimeshangaa sana ,nikiwa kariakoo napata breakfast mgahawa mmoja karibu nca China plaza nikaona mzee mmoja anakunywa chai na Chips. 😂😂.
Nikashangaa sana
Anhaa 🤣Unaiacha kidogo inayeyuka halafu unaichukucha inatengeneza kitu ka uji mzito hivi ndio unauvuta huo. Sasa unavyoyeyukia mdomoni ndio starehe yenyewe ya hovyo hiyo
We sema hii kitu ilishafanya uliwe. Tena mara nyingi tuu. Teh teh teh tehMimi napenda Sana maandazi ya Moto,
Yaani hata baby wangu akiniuliza unataka nini swetie huwa natamani anikaangie maandazi ya Nazi ya Moto sema ndo hivo ni kauzu balaa labda anichemshie mawe.
Yaani hata mtu akiniambia miss njoo home napika maandazi naweza kumfata.hii kitu inaweza nifanya niliwe kimasikhara jameni.
Dah. Na zenyewe kumbe za ovyoNyonyo zilizosimama
Wapo Chuga sehemu gani,?Kuna ndugu yangu mmoja anapenda harufu ya undongo ulioliwanishwa au kunyeshewa na mvua.
Mwingine anapenda harufu ya bangi ikiwa inavutwa,alafu huyu wa bangi ni mwanamke.
Mwingine anapenda harufu ya petrol.
HahahahaMimi napenda Sana maandazi ya Moto,
Yaani hata baby wangu akiniuliza unataka nini swetie huwa natamani anikaangie maandazi ya Nazi ya Moto sema ndo hivo ni kauzu balaa labda anichemshie mawe.
Yaani hata mtu akiniambia miss njoo home napika maandazi naweza kumfata.hii kitu inaweza nifanya niliwe kimasikhara jameni.
Mirinda ni kitu cha hovyo...?Mirinda ya moto neno
.. solution...
M+i-i+a+rinda+ya moto=
Hahahaha jingar ww
Umeona eeh ..Mmeelewa topic, tajeni vitu ambavyo ni vya ovyo, sio vitu vya maana kama hivyo
Ugali +dagaa+ mlenda ni vitu vya hovyo...?Ugali + Dagaa + Mlenda
Hii combination jamani
Njoo nikupikieMimi napenda Sana maandazi ya Moto,
Yaani hata baby wangu akiniuliza unataka nini swetie huwa natamani anikaangie maandazi ya Nazi ya Moto sema ndo hivo ni kauzu balaa labda anichemshie mawe.
Yaani hata mtu akiniambia miss njoo home napika maandazi naweza kumfata.hii kitu inaweza nifanya niliwe kimasikhara jameni.
Ashua za ngukuMimi napenda Sana maandazi ya Moto,
Yaani hata baby wangu akiniuliza unataka nini swetie huwa natamani anikaangie maandazi ya Nazi ya Moto sema ndo hivo ni kauzu balaa labda anichemshie mawe.
Yaani hata mtu akiniambia miss njoo home napika maandazi naweza kumfata.hii kitu inaweza nifanya niliwe kimasikhara jameni.