Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

Naona kivuruge amekuja
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wewe coca wewe khaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nishajifunza sana tuu
Hayo mengine yako sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ungepakuliwa nyokoo wee!! Unataka sana mtelezoo eeeh?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] We shika adabu yako nimeolewa na bonge la bwana kutoka JF
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] em Sema kweli? Ni wa JF?
 
Wizo kumbe hogo la Kantre kuna muda linalala DORO?? [emoji33][emoji33][emoji33]

Akii bora extro wangu muda wote chuma ni ya moto.... [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji3059][emoji3059] chuma ya doshi Extrovert
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wizooo mie sitakii, nachekaa had mbavu zinaumaaa
Woiiiiiih.
 
Wizo unazingua bana.!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Em edit hapo ulipotaja jina la K atakuja kukuchamba mi sikutetei unamjua lakini!!!

Ww endelea kuenjoy hogo la cazee kwa raha zako, vipi ndoa yenu lini?? [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
we ni udugu wangu my wangu hadi kifo kitutenganisheee, ntakualika uje kanisa la ST PETERS uone tunavyobarikiwa na KADINALI PENGO [emoji3059][emoji3059]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiii, woiiiiiih
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] MC nipoooo winza winza kuchachua sherehee.
 
Mtu kutaka apewe kila siku usiku na asubuhi ukipumzika basi una MP
 
Kwamba comments almost zote humu ni za watu walioingia kwenye ndoa aaaah kuweni serious bhana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ungepakuliwa nyokoo wee!! Unataka sana mtelezoo eeeh?
Wee umeona mi rahisi hivo ...
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Usinichukulie easy alaaaah kuwa na adabu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ faka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…