Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

Wewe coca wewe khaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nishajifunza sana tuu
Hayo mengine yako sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ungepakuliwa nyokoo wee!! Unataka sana mtelezoo eeeh?
 
Wizo kumbe hogo la Kantre kuna muda linalala DORO?? [emoji33][emoji33][emoji33]

Akii bora extro wangu muda wote chuma ni ya moto.... [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji3059][emoji3059] chuma ya doshi Extrovert
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wizooo mie sitakii, nachekaa had mbavu zinaumaaa
Woiiiiiih.
 
Wizo unazingua bana.!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Em edit hapo ulipotaja jina la K atakuja kukuchamba mi sikutetei unamjua lakini!!!

Ww endelea kuenjoy hogo la cazee kwa raha zako, vipi ndoa yenu lini?? [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
we ni udugu wangu my wangu hadi kifo kitutenganisheee, ntakualika uje kanisa la ST PETERS uone tunavyobarikiwa na KADINALI PENGO [emoji3059][emoji3059]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiii, woiiiiiih
 
Oyooooooo.!! Wizo ake nakupetraaaje sasa!! Utanouga na shela lako jeupeeeee..!! Huku pembeni ext na suit yake pambe kabisaaaa.!!

Nyie mie sitaki hiyo siku mbona mtaiteka Dar nzima itazizima.!! Harusi moja tyuu ya wizo bichwa na cazeee ext [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] MC nipoooo winza winza kuchachua sherehee.
 
Habari za muda huu wanajamii,

Wahenga wanasema usilolijua ni usiku wa giza, kila mmoja wetu anapotarajia kupata jambo jipya au kuingia kwenye maisha mapya hujawa na shauku na mshawasha.

Ndoa ni taasisi ambayo kabla hujaingia unakuwa na matarajio makubwa yaliyojaa furaha kutokana na jinsi unavyompenda mwenza wako lakini wakati mwingine mambo huwa tofauti na vile ulivyofikiria yanaweza kuwa hasi au chanya.

Je ulipatwa na mshangao gani mkubwa baada ya kuingia kwenye ndoa?

Unaweza uka share na kuwa funzo kwa wengine ambao ni watarajiwa.
Mtu kutaka apewe kila siku usiku na asubuhi ukipumzika basi una MP
 
Kwamba comments almost zote humu ni za watu walioingia kwenye ndoa aaaah kuweni serious bhana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ungepakuliwa nyokoo wee!! Unataka sana mtelezoo eeeh?
Wee umeona mi rahisi hivo ...
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Usinichukulie easy alaaaah kuwa na adabu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ faka
 
Back
Top Bottom