Zurie
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 2,012
- 5,571
Sio kila mwanamke ni mzinifuKwahy ndio ticket ya kwenda kumpelekea jamaa aliyekuchelewesha kurudi kwa mumeo aipige mpaka asubuhi.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kila mwanamke ni mzinifuKwahy ndio ticket ya kwenda kumpelekea jamaa aliyekuchelewesha kurudi kwa mumeo aipige mpaka asubuhi.?
Likinifungia linani hilo?? Huyu mpenzi wangu mtamu mtamu??Next time likikufungia njoo ulale kwangu
Njoo dm chapHebu mtu akuje anioe ili nije kuleta mrejesho
Na mbingun utakua wa mwsho ivo ivoNjoo dm chap
Wewe mvua ndo inakusumbua,nikutumie nauli ujeNa mbingun utakua wa mwsho ivo ivo
sasa mvua imekukosea nn nayoWewe mvua ndo inakusumbua,nikutumie nauli uje
Ndio point ya comment yakoSio kila mwanamke ni mzinifu
Mtamumtamu afu linakufungia nje?Likinifungia linani hilo?? Huyu mpenzi wangu mtamu mtamu??
[emoji16][emoji16]Unaukizwa swali
Why unalala wakati mimi nakusimulia story au nakuboa?
Au story anakuambia ubuyu wa mtu ambaye umesahau wakati alikusimulia juzi anaaza kumind as if ni kitu muhimu, na mwisho wa story unaukizwa umeelew mume wangu mbona huuzuniki hahahah, jamani story yote hii unashangaa,
Kusahau Sehemu alipoweka simu yake nankuniambia naomba unipigie natafuta simu ila, ila kukumbuka msg za simu alizoziona kwangu za miaka Kenda huko nyuma+ na majibu nilyojibu kuhusu hizo msg.
Pole wee...tena pole sana kwa kuokota yai viza.Tangu urafiki, uchumba hadi kwenye ndoa bado mchango wa mwanamke kwenye mahusiano unabaki kuwa K tu hana kingine
What do you bring to the table, na ndio maana wanawake wana haswa kuwa submissive sababu wengi wao michango yao ni Absolute zero. Simps dont understand this.Tangu urafiki, uchumba hadi kwenye ndoa bado mchango wa mwanamke kwenye mahusiano unabaki kuwa K tu hana kingine
Nakubaliana nawe, SIMPS ni sikio la kufaWhat do you bring to the table, na ndio maana wanawake wana haswa kuwa submissive sababu wengi wao michango yao ni Absolute zero. Simps dont understand this.