Hahahaha jaman πππyeye ndo alipaswa kutukanwa sasa vip awe na mambo za kikeKuna mmoja alisema hivi hivi .
Nilipo mfata PM sasa
πππππ
Kumbe ni njemba ilianza kunitukana aiseeeee nikajutra
Ndugu yangu tema mate chini.....mimi nina rafiki alikaa na mwanamke uchumba sugu miaka kumi lakini ndoa yao imedumu miezi miwili........kulala na kuamka na mwenzio sio jambo dogo.......ndio maana mkaambiwa kwa shida na raha....,Sizani kama kuna kipya..
Kama mtu ume kaa nae zaidi ya miaka mitatu katika uchumba...
Mi nilienda moja kwa moja....Hahahaha jaman πππyeye ndo alipaswa kutukanwa sasa vip awe na mambo za kike
πππbila shaka mtumishi wa Mungu wewe, yaani ulishindwa kurudishaMi nilienda moja kwa moja....
Na sms tamu tamu.
Nashangaa jamaa kapaniki. .πππππππππ
Na humu anatumia jina la kike kabisa na alisema anataka mtu kule kwenye love connect sijuiπππ
Nikakubali tuu kusema faza nisamehe mimi ππππ
Mkuu bado sijaona kipya..Ndugu yangu tema mate chini.....mimi nina rafiki alikaa na mwanamke uchumba sugu miaka kumi lakini ndoa yao imedumu miezi miwili........kulala na kuamka na mwenzio sio jambo dogo.......ndio maana mkaambiwa kwa shida na raha....,
Yeye si mtoto wa kiume anajifanya jike......Mi nilienda moja kwa moja....
Na sms tamu tamu.
Nashangaa jamaa kapaniki. .πππππππππ
Na humu anatumia jina la kike kabisa na alisema anataka mtu kule kwenye love connect sijuiπππ
Nikakubali tuu kusema faza nisamehe mimi ππππ
Hapana alikuwa ni mtata sana...πππbila shaka mtumishi wa Mungu wewe,,yan ulishindwa kurudsha
πππππππππππππKwamba mwanaume anaweza kufunga mlango wa nyumba tunayoishi pamoja nisiingie eti sababu nimechelewa kurudi. Na kwamba anategemea akinifungia hivyo niende kulala kwa wazazi wanguπππππ.
π€£π€£π€£huo uzembe sasa bwan,, ulishindwa kupata ata moja la uhakikaHapana alikua ni mtata sana...
Kuna watu ukirudisha tu jua umenunua mazima..
Kwa yale matusi hata wewe nguvu ya kurudisha usingekuwa nayo
πππππππ
Mkuu ni mtu mzima maana alikua anatoa maneno machafu mno..Yeye si mtoto wa kiume anajifanya jike......
Ungetakiwa umchumu.....mmwaaaaahhhh!!!!
Wewe hujakutana na watu watata humu...π€£π€£π€£huo uzembe sasa bwan,, ulishindwa kupata ata moja la uhakika
Hivi wewe si nmekuita uje PMebu mtu akuje anioe ili nije kuleta mrejesho
Kwani wanawake watu wazima hawapaswi kupewa mabusu bhana.......Mkuu ni mtu mzima maana alikua anatoa maneno machafu mno..
Hii ni nukuu tuu ππππ
""Mi ni sawa na baba, chunga kauli zako kijana """
Hana maajabu mengineTangu urafiki, uchumba hadi kwenye ndoa bado mchango wa mwanamke kwenye mahusiano unabaki kuwa K tu hana kingine
nimepotea tatizoHivi wewe si nmekuita uje PM
Huku unafanya nn?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kijana tumia basi lugha laini bhana....namna hiyo utamrusha ndegeHivi wewe si nmekuita uje PM
Huku unafanya nn?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
π€£π€£π€£ Nasubir nisjekua najiona m'babe kumbe nadeal na wagonjwaWewe ujakutana na watu watata humu...
Kuna uzi flani yupo kule anakiwasha moto..
Taku tag ms ujionee mambo ππππππ