Kitu gani kilikushangaza mara baada ya kuingia kwenye ndoa?

[emoji16][emoji16]
 
Kumbe ndo uwenda ukawa mwanzo wa kukosana na ndugu, jamaa na hata wazazi hasa mama yako mzazi ksa mkeo.
 
Nilikuwa siwaamini wale wanaosema kuwa 'wanawake warembo sana huwa hawawekwi ndani' mpaka pale yaliponikuta.
Nilichoka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…