kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Hapa anazungumziwa Lowasa mkuu,Mwingine aliyekuwa hathubutu kumtaja kwa jina ni Tundu Lissu;
Natumaini kabla hajakata roho alipata nafasi ya kutubu uovu aliofanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa anazungumziwa Lowasa mkuu,Mwingine aliyekuwa hathubutu kumtaja kwa jina ni Tundu Lissu;
Natumaini kabla hajakata roho alipata nafasi ya kutubu uovu aliofanya
Hata Sasa mnaweza kumtoa mkitaka.Ila Mbowe na genge lake walichemsha sana kumpokea huyo mzee na kumpa nafasi ya kugombea urais. Ni kama waliwapa ccm escape route rahisi ya agenda ya ufisadi. Ni kitendo kile kimepoteza haiba ya cdm juu ya mapambani yao ya ufisadi. Kama tungekuwa na tabia ya uwajibikaji, Mbowe hakupaswa kuendelea tena kuwa mwenyekiti wa cdm kwa blunder ile.
Kumbuka Lowassa akiwa CCM pale Dodoma 2015 alishawishi kambi yake yote imuunge mkono Magufuli badala ya Membe baada ya mpasuko na kuimba tuna imani na Lowassa na jina lake kukatwa. Na hapo JPM akapata kura nyingi za Mkutano Mkuu kupitia Kura za Lowassa na kisha kupata ushindi wa kugombea urais kupitia CCM. Historia inasema hivyo inaweza ikawa sababu ya JPM kumuheshimu Lowassa.Ni nadra sana kumsikia akimzungumzia Lowassa vibaya. Kuna watu ambao inaonekana Magufuli alikuwa anawaheshimu. Na mmoja wapo alikuwa ni Lowassa.
Sifahamu kwa nini. Najiuliza sana kwa jinsi ambavyo Magufuli alikuwa na dharau kwa watu ambao aliona either hawana elimu au uwezo flani kisiasa, au aliona kuwa walikuwa wanafik na walioharibu chama. Nini kilimfanya amheshimu Lowassa?
Anzisha chama chako mkuu achana na Saccos ya Mbowe!
Wabunge wengi angewapata bila hata Lowassa, na bado haiba ya chama ingebaki.Hata Sasa mnaweza kumtoa mkitaka.
Anyway huenda alifanya hayo akiamini ujio wake ungeinufaisha Cdm, na kweli alivuna wabunge wengi.
Mwingine aliyekuwa hathubutu kumtaja kwa jina ni Tundu Lissu;
Natumaini kabla hajakata roho alipata nafasi ya kutubu uovu aliofanya
Kwa mgombea yupi huyo wa Urais?Wabunge wengi angewapata bila hata Lowassa, na bado haiba ya chama ingebaki.
Kwa mgombea yupi huyo wa Urais ?
Kwa maneno yake alisema ALIMSAIDIA kwenda kusoma NG'AMBO pale ambapo wako WALIOMBANIA.....Ni nadra sana kumsikia akimzungumzia Lowassa vibaya. Kuna watu ambao inaonekana Magufuli alikuwa anawaheshimu. Na mmoja wapo alikuwa ni Lowassa.
Sifahamu kwa nini. Najiuliza sana kwa jinsi ambavyo Magufuli alikuwa na dharau kwa watu ambao aliona either hawana elimu au uwezo flani kisiasa, au aliona kuwa walikuwa wanafik na walioharibu chama. Nini kilimfanya amheshimu Lowassa?
Unadhani Lowasa hakuwa na mchango kwenu hata kupata kura 6m+.Kama ni rahisi kupata kura 6m+ ukiwa na miezi miwili kwenye chama, Lowassa angeenda TLP au NCCR kisha apate kura zile. Msitake kumpa Lowassa sifa asiyostahili hata kidogo.
👍Anzisha chama chako mkuu achana na Saccos ya Mbowe!
Unadhani Lowasa hakuwa na mchango kwenu hata kupata kura 6m+.
Huyo Slaa mwaka 2010 alifika hata 4m ?...yaani Yale mafuriko ya Lowasa leo hii huyakumbuki ?
Kama mlifahamu ujio wake haukuwa mzuri kwenu kwa wakati huo (sababu ya ajenda ya kupinga ufisadi ) na bado Cdm ikampitisha agombee urais, ilionyesha Cdm haikuwa inajua inachokitaka.Mafuriko yalikuwepo bila hata Lowassa. Kwani kigezo cha kupata kura 2010 ndio kipimo cha kura 2015? Alikuwa na mchango gani wakati alikuwa akipanda jukwaani anasema kipaombele ni elimu elimu elimu, wala hawezi kuongea tena. Kama yeye ndio sababu ya kupata kura 6m+ akiwa ma miezi miwili, je alileta viti vingapi akiwa na zaidi ya mwaka ndani ya cdm. Msidhani hatujui nguvu kubwa ya cdm ilitokana na nini. Magufuli aligoma cdm kundelea kufanya siasa nchini sio kwa sababu ya uwepo wa Lowassa, bali ni kuepuka ukweli ambao ccm wasingeuweza na hawatakaa wauweze.
Cdm bila hata umoja wa ukawa, au ujio wa Lowassa ingepata kura nyingi na viti vingi vya ubunge + udiwani pia. Lowassa hakuwa chochote wala lolote. Lowassa namfananisha na mchezaji aliyeingia uwanjani dakika ya tisini na kukuta timu inaoongoza bao tatu, kisha yeye akafunga goli la nne kwa mbwembwe mtake ionekane bila yeye timu isingeshinda.
King maker ni yule mnyamwezi wa tabora aliyenunua tigo,lowasa hakua na pesa 1995 Wala 2015,Ila hao wenye asili ya Asia ndiyo wakimtumiaking maker, Lowasa yule mzee hata nyerere aliona nguvu yake ndio maana siku mzee mamvi aliporudi chamani kamati kuu yote ya ccm walienda kumpokea pale lumumba
Mchaga anafanya biashara pale,akasaidiana na marehemu mpemba,bilioni 12 waziache kivipi yaani!!!Kama mlifahamu ujio wake haukuwa mzuri kwenu kwa wakati huo (sababu ya ajenda ya kupinga ufisadi ) na bado Cdm ikampitisha agombee urais, ilionyesha Cdm haikuwa inajua inachokitaka.
Mkuu tindMafuriko yalikuwepo bila hata Lowassa. Kwani kigezo cha kupata kura 2010 ndio kipimo cha kura 2015? Alikuwa na mchango gani wakati alikuwa akipanda jukwaani anasema kipaombele ni elimu elimu elimu, wala hawezi kuongea tena. Kama yeye ndio sababu ya kupata kura 6m+ akiwa ma miezi miwili, je alileta viti vingapi akiwa na zaidi ya mwaka ndani ya cdm. Msidhani hatujui nguvu kubwa ya cdm ilitokana na nini. Magufuli aligoma cdm kundelea kufanya siasa nchini sio kwa sababu ya uwepo wa Lowassa, bali ni kuepuka ukweli ambao ccm wasingeuweza na hawatakaa wauweze.
Cdm bila hata umoja wa ukawa, au ujio wa Lowassa ingepata kura nyingi na viti vingi vya ubunge + udiwani pia. Lowassa hakuwa chochote wala lolote. Lowassa namfananisha na mchezaji aliyeingia uwanjani dakika ya tisini na kukuta timu inaoongoza bao tatu, kisha yeye akafunga goli la nne kwa mbwembwe mtake ionekane bila yeye timu isingeshinda.
Afadhali wewe umesema ukweli, tukisema sisi mnatuporomoshea matusi. Hiyo kitu ilinifanya niachane kabisa na chadema maana ilikuwa ni unafiki wa hali ya juu.Ila Mbowe na genge lake walichemsha sana kumpokea huyo mzee na kumpa nafasi ya kugombea urais. Ni kama waliwapa ccm escape route rahisi ya agenda ya ufisadi. Ni kitendo kile kimepoteza haiba ya cdm juu ya mapambani yao ya ufisadi. Kama tungekuwa na tabia ya uwajibikaji, Mbowe hakupaswa kuendelea tena kuwa mwenyekiti wa cdm kwa blunder ile.
Lowasa alikuwa tishio kwa namna alivyokuwa na nguvu za ushawishi haswa kwa makundi yanayopiga kura sana...wanawake na vijana...udhoofu wa afya wa Lowasa nyakati zile wenda ndizo zinazokufanya umuone kama mtu asiyekuwa tishio kwa utawala ule. Lakini aliyeshinda alitambua nguvu za bwana huyu akijua fika kabisa yawezekana leo Lowasa hatumii nguvu zake za kisiasa kuniwekea ugumu katika uongozi wangu kwa sababu ya mdololo wa afya yake, lakini JPM aliona mbali kwamba magonjwa yanatibiwa na anaweza akapona na kutumia ushawishi kuniwekea mazingira magumu kuongoza, hivyo nimdhibiti mapema tena akiwa bado katika hali ya ugonjwa. Akafanya hivyo AKADHIBITIWA!Lowassa hakuwa mtu wa harakati wala tishio la kumng'oa katika utawala wake. Kwa ufupi hakuwa na athari.
Chama chochote kisichoweza kutumia fursa, nafasi na ushawishi ama kuingia katika makubaliano na kundi flani au mtu flani mwenye ushawishi kwa namna ya kutaka kujiongezea ushindi, na kung'ang'ania sera zake zile zile ni chama Mfu!...na kamwe hakitaweza kushika dola!Hata Sasa mnaweza kumtoa mkitaka.
Anyway huenda alifanya hayo akiamini ujio wake ungeinufaisha Cdm, na kweli alivuna wabunge wengi.