Kitu gani kilikuwa kinamfanya Magufuli amheshimu Edward Lowassa?

Kitu gani kilikuwa kinamfanya Magufuli amheshimu Edward Lowassa?

Alikuwa anajua kuwa bila Lowasa, yeye E3 asingekuwa Rais.

Ufahamu kuwa utawala ulimwandaa Membe kuwa Rais. Wakakata majina ya wote ambao wangesababisha ushindani kwa Membe. Wakamwekea membe washindani dhaifu, wale ambao waliamini wajumbe wa mkutano mkuu, hawawezi kuwachagua. Mmoja wa hao dhaifu kabisa alikuwa ni Magufuli. Mwenye nguvu kubwa aliyekatwa alikuwa ni Lowasa.

Waliotaka kumpa kura Lowasa, wakazira kupiga kura, wakatoka nje ya ukumbi. Baadaye wakaambiwa kuwa wenzao waliobaki ndani ya ukumbi wameanza kugawiwa karatasi za kupigia kura. Wakajadili, na haraka wakakubaliana kuwa kura zao wampe yule asiyetakiwa kabisa ili kumkomoa Jakaya. Na mtu huyo alikuwa ni Magufuli. Wakafanya hivyo.

Kwa ufupi, kura alizozipata Magufuli ndani ya CCM zilikuwa za Lowasa, na Magufuli alilijua hilo.
 
Mkuu tind

Ifike mahali tutambue chama chochote cha siasa lengo lake ni kupata uungwaji mkono wa wananchi kupitia sanduku la kura ili kuunda serikali.

Si lengo la chama cha siasa duniani kote, kuwa chama kinachoshabikiwa tu kila uchaguzi unapofika na mwisho wa siku kushindwa kuunda serikali ama kupata wawakilishi kwa idadi kubwa ili kuunda serikali mbadala katika chombo cha wananchi.

Maamuzi ya CHADEMA mwaka 2015 yalikuwa maamuzi sahihi kwa wakati sahihi. Lowasa alikuwa ni USHINDI kwa CHADEMA kama mazingira yangekuwa katika uwanja ulio sawa.

Alikuwa na watu, ushawishi na zaidi ya yote alikuwa na uchumi uliokiwezesha chama hicho cha upinzani katika harakati zake za kushika dola. Kwamba Mbowe na "genge" lake walifanya makosa kutumia turufu ya Lowasa kukibomoa chama na kupoteza maono ya chama katika kile walichokisimamia?...je zilikuwa hesabu za kisiasa sahihi?...kwangu jibu ni ndio.

• Si jambo la ajabu vyama vya siasa au wanasiasa waliohasimiana kuunga na kuunganisha nguvu kushinda ama kuongeza ushawishi wao katika medania za kisiasa. Raila na Uhuru ni mfano mzuri.

• Ni ushabiki tu na upenzi ndio unaotusukuma kusema kwamba bila Lowasa CHADEMA ingepata viti vingi tu na kura zaidi ya walizopata katika uchaguzi ule.

Lowasa alikuwa ni "kura" na kama CHADEMA wangekuwa na msimamo kama wako juu ya Lowasa 2015 chama hicho kisingekuwa na wabunge wala kura walizopata mwaka ule mbali na uwanja wa mchezo kulalia upande mmoja.

Lazima tukubali, hesabu za kisiasa ni muhimu sana kuangaziwa katika vyama vyetu vya siasa. Kufikilia chama kuendelea kutokuwa na mnyumbuliko wa kisera, kiuongozi na kutumia fursa na mazingira mazuri yanapojitokeza yanayoweza kukuhuisha chama, ni vuashiria vibaya vya chama kwenda kuwa "chama cha upinzani kinachounga mkono serikali na chama tawala"
Jaribu kulinganisha uchaguzi wa serikali ya mitaa mwaka 2009 na ule wa 2014 utajua ukweli wa kulinganisha mwaka 2010 na mwaka 2015
 
2015 aliyechaguliwa na wananchi ni lowassa . aliyetangazwa kuwa rais ni magufuli . na hilo alikuwa akilitambua .
Hii chadme ya kwenye majiji tu ndio iishinde ccm 2015..?
Mkwe wake lowasa wa TRA asingesota jela kama Magufuli alimuogopa
na kutoka aliporudi CCM.
Lowasa ushawahi kumuona anamuongelea vibaya Magufuli???
Aliwaambia acheni siasa za harakati wanaufipa hamkusikia sasa join the chain mnaaibika.
 
Ni nadra sana kumsikia akimzungumzia Lowassa vibaya. Kuna watu ambao inaonekana Magufuli alikuwa anawaheshimu. Na mmoja wapo alikuwa ni Lowassa.

Sifahamu kwa nini. Najiuliza sana kwa jinsi ambavyo Magufuli alikuwa na dharau kwa watu ambao aliona either hawana elimu au uwezo flani kisiasa, au aliona kuwa walikuwa wanafik na walioharibu chama. Nini kilimfanya amheshimu Lowassa?
Alimdharau kwa kujiona yeye ni strong enough kuliko Lowassa, akidhiirisha kwa kupiga push ups
 
Ni nadra sana kumsikia akimzungumzia Lowassa vibaya. Kuna watu ambao inaonekana Magufuli alikuwa anawaheshimu. Na mmoja wapo alikuwa ni Lowassa.

Sifahamu kwa nini. Najiuliza sana kwa jinsi ambavyo Magufuli alikuwa na dharau kwa watu ambao aliona either hawana elimu au uwezo flani kisiasa, au aliona kuwa walikuwa wanafik na walioharibu chama. Nini kilimfanya amheshimu Lowassa?
Ni kwa vile aliujua ukweli kuwa Kwa kura halali Lowasa alishinda na ndiye alistahili kuwa Rais,yeye alikuwa Rais wa mchongo tu
 
Ni nadra sana kumsikia akimzungumzia Lowassa vibaya. Kuna watu ambao inaonekana Magufuli alikuwa anawaheshimu. Na mmoja wapo alikuwa ni Lowassa.

Sifahamu kwa nini. Najiuliza sana kwa jinsi ambavyo Magufuli alikuwa na dharau kwa watu ambao aliona either hawana elimu au uwezo flani kisiasa, au aliona kuwa walikuwa wanafik na walioharibu chama. Nini kilimfanya amheshimu Lowassa?
Siku wakiweka wazi kura halali zilizopigwa utajua kwann Magufuri alikuwa anamheshimu El
 
Dr. Slaa ndio aliyekuwa sahihi, Lowassa alikuja na utapeli kuwa alikuwa aje na wabunge 50 toka ccm kitu ambacho si kweli. Ifahamike cdm ndio chama kilichofanya kazi ya kisiasa kuanzia 2010 baada ya uchaguzi mpaka 2015. Ndio chama kilichofanya mikutano mingi nchini kuliko chama chochote cha siasa ikiwemo ccm. Ndio kilichotoa elimu ya uraia kuliko chama chochote cha siasa. Hayo yote yalifanyika Lowassa akiwa ccm. Kama ni rahisi kupata kura 6m+ ukiwa na miezi miwili kwenye chama, Lowassa angeenda TLP au NCCR kisha apate kura zile. Msitake kumpa Lowassa sifa asiyostahili hata kidogo.
Ile nguvu ya lowassa huwezi jidanganya kuwa hukuiona. Utakuwa unaficha kichwa chini ukidhani huonekani. Lowassa ndiye aliyebeba CDM mwaka 2015. Hilo la wabunge inawezekana walikubaliana but baadaye jamaa wakageuka na hilo huwezi laumu mtu. Dr. Slaa si alikuwa CDM sasa hivi yupo wapi?

CDM wenyewe wenye chama wanakubali nguvu ya Lowassa. Wewe kalindililye unajidai huoni. 😁
 
Alimdharau kwa kujiona yeye ni strong enough kuliko Lowassa, akidhiirisha kwa kupiga push ups
Then push ups hazikuonesha yupo strong kuliko ambaye hakupiga. Maana aliyepiga amefariki ambaye hakupiga yupo hai.
 
Hivi kwa nn watu wanasahau sana?
Tumesahau...
1.Friends of Lowasa
2. M4U
3.ULIPO TUPO
Ule mkutano Shehe Amri Abeid still unasemaj hakua na nguvu??

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Ni nadra sana kumsikia akimzungumzia Lowassa vibaya. Kuna watu ambao inaonekana Magufuli alikuwa anawaheshimu. Na mmoja wapo alikuwa ni Lowassa.

Sifahamu kwa nini. Najiuliza sana kwa jinsi ambavyo Magufuli alikuwa na dharau kwa watu ambao aliona either hawana elimu au uwezo flani kisiasa, au aliona kuwa walikuwa wanafik na walioharibu chama. Nini kilimfanya amheshimu Lowassa?
Kwasababu kwenye uchaguzi wa 2015 Lowassa alimshinda Magu mbali tu
 
King maker ni yule mnyamwezi wa tabora aliyenunua tigo,lowasa hakua na pesa 1995 Wala 2015,Ila hao wenye asili ya Asia ndiyo wakimtumia
kaka ile ni combination ya huyo mmaasai na muasia na apo kila mtu ana jukumu lake ndio maana, baada ya muasia kuwauzia kijani tv na radio yake akamrudisha mmasai kundini bila tabu mpaka wale waliokua wanamtukana mmasai wakawa wanajichekesha tu akiwemo mwendazake
 
Afadhali wewe umesema ukweli, tukisema sisi mnatuporomoshea matusi. Hiyo kitu ilinifanya niachane kabisa na chadema maana ilikuwa ni unafiki wa hali ya juu.
wewe haukua CDM na haujui sayansi ya siasa inavyofanya kazi. in politics there no permanent enemy or friend but always a permanent interests
 
Kama mlifahamu ujio wake haukuwa mzuri kwenu kwa wakati huo (sababu ya ajenda ya kupinga ufisadi ) na bado Cdm ikampitisha agombee urais, ilionyesha Cdm haikuwa inajua inachokitaka.

Hakuna taasisi isiyofanya makosa, kama ipo nitajie moja leo hii.
 
Mkuu tind

Ifike mahali tutambue chama chochote cha siasa lengo lake ni kupata uungwaji mkono wa wananchi kupitia sanduku la kura ili kuunda serikali.

Si lengo la chama cha siasa duniani kote, kuwa chama kinachoshabikiwa tu kila uchaguzi unapofika na mwisho wa siku kushindwa kuunda serikali ama kupata wawakilishi kwa idadi kubwa ili kuunda serikali mbadala katika chombo cha wananchi.

Maamuzi ya CHADEMA mwaka 2015 yalikuwa maamuzi sahihi kwa wakati sahihi. Lowasa alikuwa ni USHINDI kwa CHADEMA kama mazingira yangekuwa katika uwanja ulio sawa.

Alikuwa na watu, ushawishi na zaidi ya yote alikuwa na uchumi uliokiwezesha chama hicho cha upinzani katika harakati zake za kushika dola. Kwamba Mbowe na "genge" lake walifanya makosa kutumia turufu ya Lowasa kukibomoa chama na kupoteza maono ya chama katika kile walichokisimamia?...je zilikuwa hesabu za kisiasa sahihi?...kwangu jibu ni ndio.

• Si jambo la ajabu vyama vya siasa au wanasiasa waliohasimiana kuunga na kuunganisha nguvu kushinda ama kuongeza ushawishi wao katika medania za kisiasa. Raila na Uhuru ni mfano mzuri.

• Ni ushabiki tu na upenzi ndio unaotusukuma kusema kwamba bila Lowasa CHADEMA ingepata viti vingi tu na kura zaidi ya walizopata katika uchaguzi ule.

Lowasa alikuwa ni "kura" na kama CHADEMA wangekuwa na msimamo kama wako juu ya Lowasa 2015 chama hicho kisingekuwa na wabunge wala kura walizopata mwaka ule mbali na uwanja wa mchezo kulalia upande mmoja.

Lazima tukubali, hesabu za kisiasa ni muhimu sana kuangaziwa katika vyama vyetu vya siasa. Kufikilia chama kuendelea kutokuwa na mnyumbuliko wa kisera, kiuongozi na kutumia fursa na mazingira mazuri yanapojitokeza yanayoweza kukuhuisha chama, ni vuashiria vibaya vya chama kwenda kuwa "chama cha upinzani kinachounga mkono serikali na chama tawala"

Mkuu sipingi unachoamini, mimi nasimamia kwenye uhalisia na sio hicho usemacho. Kabla ya uchaguzi cdm ilikuwa na uungwaji mkono mkubwa, hata kwenye kujiandikisha watu walikuwa na hamasa kubwa sana wakiamini Lowassa ndio angekuwa mgombea wa ccm. Hapo ndio jina kitambulisho cha kura kilipewa jina kichinjio kwa ajili ya kumchinja Lowassa. Nakuhakikishia cdm ingepata kura nyingi kama Slaa ndio angekuwa mgombea. Na kikubwa haiba ya cdm ingebaki hata kama isingeshinda kiti cha urais. Kama Lowassa alishindwa kuwaleta hao wabunge wa ccm 50+ aliosema atakuja nao, unapata wapi nguvu ya kusema alileta viti vingi akiwa na miezi miwili chamani? Pesa alizotoa zilikuwa ni za nafasi yake ya kugombea urais na sio kwenye kampeni za wagombea wengine wa chama.

Acheni upotoshaji usio na tija yoyote. Weka idadi ya viti alivyoleta akiwa na zaidi ya mwaka chamani ili tujue nguvu yake.
 
Kweli lowasa alitukamata Sana Mwaka ule!!!Jamaa mtulivu hana majigambo LAKINI aliwapigisha kwata wapinzani Wake!!kama ndugu yangu Suleiman kova asingewatia wale vijana Wake wahesabu Kura kizuizini leo tungezungumza mengine aiseh!!!bora wangeweka kambi kule kenya kabisa!!!
 
Back
Top Bottom