Haaaaa lol
Mie kuna kitu nataka kusema ila naonaje aibu lol... Maana nikiwaza hiyo scenario nayotaka kuisema nacheka mwenyewe
Cc masai dada
Haaaaa lol
Mie kuna kitu nataka kusema ila naonaje aibu lol... Maana nikiwaza hiyo scenario nayotaka kuisema nacheka mwenyewe
Cc masai dada
nimekubamba..ulinambia we mtt lol
bora ningebomoa yaani ni nnaingia ka Tsunami, mbele kwa mbeelehahahahahah mkuu nimecheka
haha unabomoa bomoa tu
embu hata ujioneee aibu mwenyewe
mpaka kuitaja umeshindwa umebaki kuiwwkea a.k.a maana ni aibu tupu
HUO SIO UJANJA mmejaa hapo muhimbili na vibobo pembeni njia zimeziba mkiwa wazeee
hivi kweli ashki ndo zinakufanya uchezee kinyesi??
kama uwezi kuridhika na hiyo ya kawaida hata hiyo nyingine uwezi na utaishia pabaya
simu ni janga
ukicheza unakuwa mtumwa
chakula utaunguza na hata faragha perfomance inashuka
ipi sasa?..ya leo auHahahaaaa! Kuna mtu alihack ac yangu ndio akaposti hiyo
Yote ya nini hayo Dada angu .
....we si umeuliza yanayotu turn off na mie si nmekwambia yangu...this is a free country...
Kuhusu suala la muhimbili...it looks like you know nothing coz duniani hakuna kisichokua na madhara...what about tezi dume
bora ningebomoa yaani ni nnaingia ka Tsunami, mbele kwa mbeele
ipi sasa?..ya leo au
Kitu kikubwa kinachovutia katika mahaba ni USAFI...unapo ongelewa usafi watu wenye utimamu wa akili watakuwa wanaelewa nini kinazungumziwa......binafsi suala la usafi kwa mwanamke huwa nalipa kipaumbele sana...unatakiwa unapokuwa faragha na mwanamke milango yako yote ya fahamu inatakiwa ijue na itambue uwepo wa mwanamke mahali hapo...mwanamme anayezingatia ubora wa faragha na sio msukumo wa kichwa cha chini USAFI kwa mpenziwe ni suala muhmu kama katiba ya nchi....na hapo ndipo inapojitokeza utofauti kati ya MWANAMKE na MSICHANA.....
usafi wa eneo la tukio muhimu
vipi kuhusu hiyo tofauti?
Utamvua nguo zote.. kuna nguo moja ya mwisho kumvua ndo ugomvi!! Mpaka umvue utumie nguvu za kutosha..
hizi za leo ndo za ukweli..we aliyekwambia peponi wanaruhusu kuchat nani..bora kasimu kalivunjwa..alikuweza kweli lolHii ya leo