Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

Sipendi kupewa sifa zilizopitiliza..! ati Khah.! Umejifunza wapi mapigo yote haya?
Kingine manzi akiwa sio msafi full manywele ukwapani au bad smell mwilini dah inakata stimu kinoma!
Sipendi avue nguo mwenyewe especially pichu.!
 
Kuna siku moja mchuchu mmoja wa Kizenji alinambia 'bebi naomba basi laki tano nikatengeneza nywele'

Nikamwambia 'kamwombe baba'ako'.....akanuna mpaka leo hajanitafuta tena.

Eti laki tano nimpe akatengeneze nywele....angejua nilivopinda mgongo kubeba boksi wala asingethubutu kuniletea huo upuuzi.
 
daaa!! kumbe anafaida nyingi huyu..yale maji ni dawa ya kisukari..hii fursa sio ya kuiacha aisee

Kudoooos Kaboom, Unatumia kinywaji gani tafadhali? Tumia naja kulipia, maana hili libabu jamani duuuh, hebu babu Asprin niambie wht do you want? Maana umeniandama hatari
 
Last edited by a moderator:
Kuna siku moja mchuchu mmoja wa Kizenji alinambia 'bebi naomba basi laki tano nikatengeneza nywele'

Nikamwambia 'kamwombe baba'ako'.....akanuna mpaka leo hajanitafuta tena.

Eti laki tano nimpe akatengeneze nywele....angejua nilivopinda mgongo kubeba boksi wala asingethubutu kuniletea huo upuuzi.
labda alikuwa anataka akatengeze juu na chini..
 
Sijakugawa asee, hebu usome huu utukufu hapa chini.....

Nimeahidiwa meli ujue....

Weee acha kutembelea nyota yangu, hiyo meli nimeahidiwa mimi sio wewe! Ila usijali tutakupa lifti
 
haha!! babu ashakula mpunga tayari..we subiri uje kuchukuliwa msobemsobe

Yaani hapa babu sina kabisaaaaa!a ngachoka mie, alafu babu Asprin unajua haujatoa experience yako hapa kuhusu mada?
 
Last edited by a moderator:
Sipendi kupewa sifa zilizopitiliza..! ati Khah.! Umejifunza wapi mapigo yote haya?
Kingine manzi akiwa sio msafi full manywele ukwapani au bad smell mwilini dah inakata stimu kinoma!
Sipendi avue nguo mwenyewe especially pichu.!

gatchuuu

mara nyingine unakuta ninkweli umempa dozi ya karne inabidi akupe sifa
 
Kufoooo Kaboom, Unatumia kinywaji gani tafadhali? Tumia naja kulipia, maana hili libabu jamani duuuh, hebu babu Asprin niambie wht do you want? Maana umeniandama hatari
natumia walevi kumvilai..nishaagiza tayari..nakusubiri..ukiwa tayari sema nikupe GPS
 
Kufoooo Kaboom, Unatumia kinywaji gani tafadhali? Tumia naja kulipia, maana hili libabu jamani duuuh, hebu babu Asprin niambie wht do you want? Maana umeniandama hatari
Twende PM fasta.

Usiponikubalia ntakuandama mpaka kaburini
 
Kuna siku moja mchuchu mmoja wa Kizenji alinambia 'bebi naomba basi laki tano nikatengeneza nywele'

Nikamwambia 'kamwombe baba'ako'.....akanuna mpaka leo hajanitafuta tena.

Eti laki tano nimpe akatengeneze nywele....angejua nilivopinda mgongo kubeba boksi wala asingethubutu kuniletea huo upuuzi.

alikuambia/alikuomba mkiwa faragha????
 
Back
Top Bottom