Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijapata ruhusa ya masai dada.
Mmeshaziba pua.... manake ya kwangu inahusiana na ushuzi...:becky::becky::becky::becky::becky:naomba utoe babu mi nafunga macho
Nataka kukuvua kale ka G nini sijui....:mimba:
Mmeshaziba pua.... manake ya kwangu inahusiana na ushuzi...:becky::becky::becky::becky::becky:
Sidanganyiiiikiiii
Na bado sijafikia nusu ya wivu....Uwiiiii!!! Now i get it, babu we utakula kwa majicho tu ila utamu woooote atapata........, we bakia hivyohivyo na mawivu yako
babu haujatulia....
Kuna siku moja mchuchu mmoja wa Kizenji alinambia 'bebi naomba basi laki tano nikatengeneza nywele'
Nikamwambia 'kamwombe baba'ako'.....akanuna mpaka leo hajanitafuta tena.
Eti laki tano nimpe akatengeneze nywele....angejua nilivopinda mgongo kubeba boksi wala asingethubutu kuniletea huo upuuzi.
ameniahidi kinywaji..napoza koo hapo
natumia walevi kumvilai..nishaagiza tayari..nakusubiri..ukiwa tayari sema nikupe GPS
Wote walionidanganya niliwazawadia mimba....Khaaaa ushadanganywa weeee leo ndio unastuka!! Tooo late
Twende PM fasta.
Usiponikubalia ntakuandama mpaka kaburini
Umeona sasa???Mweeee ndio kinywaji gani hicho? Worry out
Mi situmii uji... Nna uhusiano wa karibu na supu ya PwezaTooobaaaaaaa!! Akuuu usinibemende mtoto wa mwenzio!! Nije nipate hasara mtu mwenyewe hata uji unakunywa kwa shida!
Hilo suala linahitaji utulivu kabisa....