Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

Nataka kukuvua kale ka G nini sijui....:mimba:

Uwiiiii!!! Now i get it, babu we utakula kwa majicho tu ila utamu woooote atapata........, we bakia hivyohivyo na mawivu yako
 
Kuna siku moja mchuchu mmoja wa Kizenji alinambia 'bebi naomba basi laki tano nikatengeneza nywele'

Nikamwambia 'kamwombe baba'ako'.....akanuna mpaka leo hajanitafuta tena.

Eti laki tano nimpe akatengeneze nywele....angejua nilivopinda mgongo kubeba boksi wala asingethubutu kuniletea huo upuuzi.

Afu cha ajabu ungepewa mzigo kimbinde sana!
Kuna mzenji alitoa mambo bila kuchojoa chochote mwilini ikiwa faragha japo ilikata stimu lkn kwa kuwa kuna gharama zilikuwa zimetangulia ikibidi fidia iende namna ile.
 
Twende PM fasta.

Usiponikubalia ntakuandama mpaka kaburini

Tooobaaaaaaa!! Akuuu usinibemende mtoto wa mwenzio!! Nije nipate hasara mtu mwenyewe hata uji unakunywa kwa shida!
 
Tooobaaaaaaa!! Akuuu usinibemende mtoto wa mwenzio!! Nije nipate hasara mtu mwenyewe hata uji unakunywa kwa shida!
Mi situmii uji... Nna uhusiano wa karibu na supu ya Pweza
 
Back
Top Bottom