Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Sio huyo, wewe hapo ndio majanga
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi unanionea bure. Nakupigia chapuo badala unishukuru unalaumu kijanjajanja.Sio huyo, wewe hapo ndio majanga
Tulikuwa kwenye bajaji
ukija utakionaMweeee ndio kinywaji gani hicho? Worry out
Na bado sijafikia nusu ya wivu....
Afu cha ajabu ungepewa mzigo kimbinde sana!
Kuna mzenji alitoa mambo bila kuchojoa chochote mwilini ikiwa faragha japo ilikata stimu lkn kwa kuwa kuna gharama zilikuwa zimetangulia ikibidi fidia iende namna ile.
ameniahidi kinywaji..napoza koo hapo
Hapo red tumia kiswahili basi. Mi sijui kigogo.
We huwa unafanya nini, hasa wakati mwenyewe anaingia pangoni mwako?alafu aatu naona hawajaongelea kelele
kuna watu wanapiga hadi mayoe wkati wa faragha kama nyumba ya kupanga inakua hatari
Wote walionidanganya niliwazawadia mimba....
Hahahaaaa!! Khaaah yaani umezeeka ila kusoma bado unaweza
Umeona sasa???
afu usinipe lift ya meli uone kama haitazama:A S 100:
Huo uwezo uutoe wapi? Usitake nitoe siri zako hspa babu!
Mi situmii uji... Nna uhusiano wa karibu na supu ya Pweza
Khaaaaaah!! Hapo hata supu ya pweza inadunda babu
Mi unanionea bure. Nakupigia chapuo badala unishukuru unalaumu kijanjajanja.
Ntahamishia nguvu kwa Honey Faith afu uniilaumu bure
naruhusiwa kuagiza ya pili?..hii ishaanza kuishaWe pooza tu koo taratiiibu achana na hiki kizee
ukija utakiona