Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
1:Namalizia red lebel yangu
2:Hujui leo tumeanza weekends
Good....!!!
Ila umesahau: 3. Umelala doro kwakuwa jamaa hayupo. Amen
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1:Namalizia red lebel yangu
2:Hujui leo tumeanza weekends
masai dada Ngoma ilipigwa bila kuonwa Picchu ilisogezwa utadhani mko swimming kumbe no roommkuu hapoo ikawaje mbona sipati picha
Good....!!!
Ila umesahau: 3. Umelala doro kwakuwa jamaa hayupo. Amen
Sijui na wewe umenimisi kama mimi??Uzi mtamu huu
Yupo sana na sasa hivi nipo kifuani kwake naenjoy mie mtoto wa watu
Cc:..........(siri yangu nisimuite bure nikamtanii ofuuu)😀
Jifariji na huo mto.
Mto unafaidi mpaka nauonea wivu hakyamama.....Hebu nahiii mwambie hicho kizee kituache tulale ebooo!!!
Sijui na wewe umenimisi kama mimi??
nimekumisi sana babu tatizo kila nnapochungulia haupo. hatimae nimekubamba hapa. mzima weye
Mzima sana. Ukinikosa hapa si unanitafuta PM? Au hunipendi kama zamani? Hebu niwozap kwanza nimeumisi mwandiko wako.
Mmm sasa huko unitakii mema wozap tena. Ila siku hizi sina wozap nimeitoa
Kheeee.... na wewe umeanza lini kuwa mwoga?? Nani anakutisha??
If you can't take the heat, get out of the kitchen
Kwakweli kwa hilo am out of your kitchen. Mi ntakua nakuchungulia humuhumu tu. Btn naogopa wake zako
Ewaaaaaa...... sasa umeanza kuwa mwanamke. Usichana ulikuwa unakusumbua.
Hahaha akija unitetee. Wk end isijekua chungu,naweza nyimwa.