Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

Good....!!!

Ila umesahau: 3. Umelala doro kwakuwa jamaa hayupo. Amen

Yupo sana na sasa hivi nipo kifuani kwake naenjoy mie mtoto wa watu

Cc:..........(siri yangu nisimuite bure nikamtanii ofuuu)😀
 
1.Kubonyabonya na kutachitachi ilo li-iphone.
2.Kudiskashishana Kuhusu Diamond,Ali Kiba,Zari,Wema,Jokate,Huddah.
Juzi ndo nikaletewa adi Shilole.
Sasa cjui mimi nimekua Babu Tale ama Mkubwa Fella.
3.Kuulizwa chumba/gesti nimelipia shilingi ngapi??
4.Kuzima Taa.
5.Kukatazwa kushika baadhi ya sehemu muhimu ambazo Playmaker ndo amekamata midfield anapiga through balls kufungua defence afu jitu linakwambia "noo dnt touch me there"
 
nimekumisi sana babu tatizo kila nnapochungulia haupo. hatimae nimekubamba hapa. mzima weye

Mzima sana. Ukinikosa hapa si unanitafuta PM? Au hunipendi kama zamani? Hebu niwozap kwanza nimeumisi mwandiko wako.
 
Mzima sana. Ukinikosa hapa si unanitafuta PM? Au hunipendi kama zamani? Hebu niwozap kwanza nimeumisi mwandiko wako.

Mmm sasa huko unitakii mema wozap tena. Ila siku hizi sina wozap nimeitoa
 
Kheeee.... na wewe umeanza lini kuwa mwoga?? Nani anakutisha??

If you can't take the heat, get out of the kitchen

Kwakweli kwa hilo am out of your kitchen. Mi ntakua nakuchungulia humuhumu tu. Btn naogopa wake zako
 
Kwakweli kwa hilo am out of your kitchen. Mi ntakua nakuchungulia humuhumu tu. Btn naogopa wake zako

Hahahahahaha sikujua nimeoa mabondia.... hakyamama nna bahati mbaya mimi.... khaa!!
 
Back
Top Bottom