Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Hahaha akija unitetee. Wk end isijekua chungu,naweza nyimwa.
Akikunyima ntakupa mimi, bure bileshi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha akija unitetee. Wk end isijekua chungu,naweza nyimwa.
Na ww usingiz umekata kama wangu au ulikua hujalala kabisa... kumekucha
Akikunyima ntakupa mimi, bure bileshi.
Afwazali uko tayari kuwa kidum sio
Silalagi kabisa 😱😱😱
Tangu lini kidumu kikamilikiwa. Kidumu kinabaki kuwa kidumu kamwe hakimilikiwi. Kazi yake ni kuziba ufa tu na si kujenga
Tangu lini kidumu kikamilikiwa. Kidumu kinabaki kuwa kidumu kamwe hakimilikiwi. Kazi yake ni kuziba ufa tu na si kujenga
Hivi inawezekana KIDUMU cha PWAGU kikawa ndio DUMU la PWAGUZI at the same time?
Si utoe experience yako na wewe sio kusoma ya wenzako tu
Mmm sidhani
Mzima sana. Ukinikosa hapa si unanitafuta PM? Au hunipendi kama zamani? Hebu niwozap kwanza nimeumisi mwandiko wako.
We huwa unafanya nini, hasa wakati mwenyewe anaingia pangoni mwako?
hizo kelele ndo zenyewe sasa..wananikosha sana
masai dada Ngoma ilipigwa bila kuonwa Picchu ilisogezwa utadhani mko swimming kumbe no room
nimekumisi sana babu tatizo kila nnapochungulia haupo. hatimae nimekubamba hapa. mzima weye
1.Kubonyabonya na kutachitachi ilo li-iphone.
2.Kudiskashishana Kuhusu Diamond,Ali Kiba,Zari,Wema,Jokate,Huddah.
Juzi ndo nikaletewa adi Shilole.
Sasa cjui mimi nimekua Babu Tale ama Mkubwa Fella.
3.Kuulizwa chumba/gesti nimelipia shilingi ngapi??
4.Kuzima Taa.
5.Kukatazwa kushika baadhi ya sehemu muhimu ambazo Playmaker ndo amekamata midfield anapiga through balls kufungua defence afu jitu linakwambia "noo dnt touch me there"
ulipenda au ilikukera
Sipendi harufu mbaya mdomoni.
Utamvua nguo zote.. kuna nguo moja ya mwisho kumvua ndo ugomvi!! Mpaka umvue utumie nguvu za kutosha..