Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

Mi nachukia simu yaani ikibidi wote mzime simu muda huo.
Na kujifanya wanalala eti anapumzika saa nzima hadi stimu inaisha lol.
Kuna mtu wangu asiione hii

kwa kura za hapa imeonekana simu inakera watu wengi

mmmhhh baada ya round moja mtu anataka mpumzike lisaaa????kweli hii kero
 
Inakua 10 min ila utashangaa mtu anakoroma unamsaidiaje.

kuna mahali nilikuwa nasoma kipindi flani
watu walikuwa wanalalama why tukimaliza kumake love mpenzi wangu anaangalia upande wake hanikumbatii wala hana habari namimi
akajibiwa

mwanume akimaliza ile round anakua kachoka sanaa jambo hili linaweza mfanya hata akakoroma kabisa
ni vyema kufanya mapenzi wakati wote mkiwa mko fresh i mean hamjachoja sana kama una hamu na mpenzi wako kachoka ni vyema ukamuacha apumzike umuamshe baadae
hiyo itasaidia
kuliko kukereka pale atakapomaliza akwambie ngoja nipumzike ni bora mkawa wote na nguvu na mood
 
simu ni tatizo hapa pande zote mbili zikubaliane
kutoa mlio simu na kuweka mbali
maana kuzima ni ngumu coz wengine huwa wanafanya kazi na simu so ni vyema kutoa mlio kuweka pembeni wakati wa mapuzmiko uanaangalia kama kuna msg au sim ya mtu
au laah unaangalia mkimaliza kabisa

sasa simu ikilia ukisema iache tu mwanamke mwingine anaona labda mchepuko anakulazimisha upokee!!! asikie ni nani.....mi naipiga silent halafu naiweka mbaliiii!!!!
 
ngoja nikupe kisa kimoja japo kwa ufupi
wakati nasoma chuo kuna kaka mmoja ki ukweli alikua ni mgentle na alikua kapanga mtaani lakini cha ajabu alikuwa single na alikua adumu na demu
hata mimi nilishawahi uliza huyu mbona malaya malaya inakuaje
wakati kila mtu anauliza hivyo kumbe nawengine wanajipeleka na nini na kujaribu

sasa siku moja wakati tunajadili huyu kaka kuna dada mmoja akasema jamani nyie acheni tu muoneni hivyo hivyo
tukauliza kwani vipi akaanza kusema huyu kaka ametembe na flani na fkani na wote wamemuacha na sio yeye anawaacha
tukauliza why??

akasema bwana huyu jamaa akikaribia kukojoa
anaanza
nakuja(kwa sauti ndogo
nakujaaaa(inaongezeka kidogo)
nakujaaaaaa(inazidi kuongezeka
.
.
.
,
nakujaaaaaaaaaaaaaaaaaa(hapo kamaliza ni paaa linatikisika)
hiyo ikawa kero kwa huyo demu namba one
namba two alijilengesha na alikua anajua hii stor akasema ebwaanaa nitavumilia lakini kablda hawajafanya lolote akamwambia bwana kuna stor nimeisikia kwamba ukikaribia kuwatoa jamaa unapiga sana kelele
jamaa akasema hapana ilitokea tu SIPIGI
wakaingia kunako kitanda
jamaa akaanza(wakati anakaribia)
sipigi(kwa sauti ndogo
sipigiiiii(kwa sauti ndoko tena
sipigiiiiiii(sauti ikawa kubwa
sipigiiiiiiiiiiii(sauti ikaongezeka
.
.
.
.SIPIGIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII(akawa amemaliza
wakasikia mlangomu unagongwa maana keleele iliyotoka walijua kuna anaechinjwa ndani

Inawezekana hiyo Ndio ulikuwa style yake ya kuwapata....
 
sasa simu ikilia ukisema iache tu mwanamke mwingine anaona labda mchepuko anakulazimisha upokee!!! asikie ni nani.....mi naipiga silent halafu naiweka mbaliiii!!!!

mpenzi wakonatakua anafaidi
 
Back
Top Bottom