Smart911
Platinum Member
- Jan 3, 2014
- 135,167
- 160,806
husikilizi wala huoni chochote
Kuona naona vyote, ila sisikilizi chochote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
husikilizi wala huoni chochote
sijui hata walilala sangapi
Ngoja nimsemee wife... (Wakati namuoa) Kama ilivyo ada ya wanaume, kila ukiamka asubuhi mnara unasoma full!! Naamkia kumwandaa na akiwa on basi najikuta nnahisi mkojo kwa mbali naamua kwenda kuclear bladder ili game inoge!! Alikuwa anachukia kweli na kuwa off kabisa hadi nikashangaa!! Nilipoona vile kwa mara mbili nikaona naharibu!! Nikiamka naanzia bafuni then morning glory...
Baadae akaja kuniambia alikuwa hapendi hiyo tabia!!
masai dada wewe jamani!! Yaani utukesheshe watoto wa wenzio alafu uturuke!sijui hata walilala sangapi
masai dada..ndio wa mwili mzima
ila usafi wa hilo eneo ni wa kuzingatia
kuna siku waliwekaga mada watu wanatumia asali sijui limao and the like
ki ukweli kule chini kuna bacteria ambao wanalinda kusishambuliwe sasa ukiwauwa kwa kutumia misabuni mikali,limao au asali ni tatizo utakuja kupata ma fungus maana vile vinavyolinda huko chini vimekufa
hapo ndipo unaanza kutoa harufu
but herw we go again huko chini lazima kusafishw vizuri haswa kipindi mtu anapomaliza period kunakuwa na majimaji
SASA NI NJIA IPI YA KUSAFISHA BILA KUHARIBU MAZINGIRA YA HUKO NA KUKUACHA UNANUKIA FRESH
pia vipi kuoga vizuri,na kufanya makeup hii haimvutii mwenza i mean kufanya ile light makeup sio ma crayz colour uko usoni mpaka taa ikizimwa unawakawaka kama taa za club
yaani. nawaundia tume......wakale malimao.......
masai dada..
Kuhusu make up mm..
Nacomment kuhusu ishu kama deodorant au perfume. Inategemea na mpenzi ulienae anapenda nini.
As wapo wanaopenda harufu natural, natural kwa bibi na natural ktk mwili hasa wakati wa tukio as inaongeza hamasa
kuna mahali nilikuwa nasoma kipindi flani
watu walikuwa wanalalama why tukimaliza kumake love mpenzi wangu anaangalia upande wake hanikumbatii wala hana habari namimi
akajibiwa
mwanume akimaliza ile round anakua kachoka sanaa jambo hili linaweza mfanya hata akakoroma kabisa
ni vyema kufanya mapenzi wakati wote mkiwa mko fresh i mean hamjachoja sana kama una hamu na mpenzi wako kachoka ni vyema ukamuacha apumzike umuamshe baadae
hiyo itasaidia
kuliko kukereka pale atakapomaliza akwambie ngoja nipumzike ni bora mkawa wote na nguvu na mood
masai dada wewe jamani!! Yaani utukesheshe watoto wa wenzio alafu uturuke!
mi nilipitiwa na usingiz nimekuja kushtuka saa 12 asubuhi
Hahaaaa
Poleee. Sasa wewe ulikuwa ukienda ukirudi.. Kapoaaaa inabidi uanze upya lol. Na mood za kike, anaweza hata asipate tena hisia.
Hi nafananisha na case za mko on balaaa.. Halafu mnaanza kutafutana na ndom, mara haionekani.. Ni shidaaa tafrani
yees inabidi kuzungumza kwa hali ya uwazi kila mtu aongeee anapenda uweje wakati wa faragha
unajua hata ndoa nyingi zinakua hatihati kwa sababu watu hawazungumzi kwa uwazi
yees inabidi kuzungumza kwa hali ya uwazi kila mtu aongeee anapenda uweje wakati wa faragha
unajua hata ndoa nyingi zinakua hatihati kwa sababu watu hawazungumzi kwa uwazi
Ha aha ahaaaa.... neggirl umenifurahisha na case ya kutafuta ndomu!! Thanks God nimeshaachana na hayo maisha kitambo.. Ila daah!! Ilikuwa inakata stimu kabisa