Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

akibisha mtu hodi, au kama dar sehemu zenye majotroo ooo.. Umeme ukatike.. Hahaaaa
 
Ngoja nimsemee wife... (Wakati namuoa) Kama ilivyo ada ya wanaume, kila ukiamka asubuhi mnara unasoma full!! Naamkia kumwandaa na akiwa on basi najikuta nnahisi mkojo kwa mbali naamua kwenda kuclear bladder ili game inoge!! Alikuwa anachukia kweli na kuwa off kabisa hadi nikashangaa!! Nilipoona vile kwa mara mbili nikaona naharibu!! Nikiamka naanzia bafuni then morning glory...

Baadae akaja kuniambia alikuwa hapendi hiyo tabia!!

Hahaaaa

Poleee. Sasa wewe ulikuwa ukienda ukirudi.. Kapoaaaa inabidi uanze upya lol. Na mood za kike, anaweza hata asipate tena hisia.

Hi nafananisha na case za mko on balaaa.. Halafu mnaanza kutafutana na ndom, mara haionekani.. Ni shidaaa tafrani
 
Last edited by a moderator:
ndio wa mwili mzima
ila usafi wa hilo eneo ni wa kuzingatia
kuna siku waliwekaga mada watu wanatumia asali sijui limao and the like

ki ukweli kule chini kuna bacteria ambao wanalinda kusishambuliwe sasa ukiwauwa kwa kutumia misabuni mikali,limao au asali ni tatizo utakuja kupata ma fungus maana vile vinavyolinda huko chini vimekufa
hapo ndipo unaanza kutoa harufu
but herw we go again huko chini lazima kusafishw vizuri haswa kipindi mtu anapomaliza period kunakuwa na majimaji
SASA NI NJIA IPI YA KUSAFISHA BILA KUHARIBU MAZINGIRA YA HUKO NA KUKUACHA UNANUKIA FRESH

pia vipi kuoga vizuri,na kufanya makeup hii haimvutii mwenza i mean kufanya ile light makeup sio ma crayz colour uko usoni mpaka taa ikizimwa unawakawaka kama taa za club
masai dada..
Kuhusu make up mm..
Nacomment kuhusu ishu kama deodorant au perfume. Inategemea na mpenzi ulienae anapenda nini.

As wapo wanaopenda harufu natural, natural kwa bibi na natural ktk mwili hasa wakati wa tukio as inaongeza hamasa
 
Last edited by a moderator:
masai dada..
Kuhusu make up mm..
Nacomment kuhusu ishu kama deodorant au perfume. Inategemea na mpenzi ulienae anapenda nini.

As wapo wanaopenda harufu natural, natural kwa bibi na natural ktk mwili hasa wakati wa tukio as inaongeza hamasa

yees inabidi kuzungumza kwa hali ya uwazi kila mtu aongeee anapenda uweje wakati wa faragha

unajua hata ndoa nyingi zinakua hatihati kwa sababu watu hawazungumzi kwa uwazi
 
Last edited by a moderator:
kuna mahali nilikuwa nasoma kipindi flani
watu walikuwa wanalalama why tukimaliza kumake love mpenzi wangu anaangalia upande wake hanikumbatii wala hana habari namimi
akajibiwa

mwanume akimaliza ile round anakua kachoka sanaa jambo hili linaweza mfanya hata akakoroma kabisa
ni vyema kufanya mapenzi wakati wote mkiwa mko fresh i mean hamjachoja sana kama una hamu na mpenzi wako kachoka ni vyema ukamuacha apumzike umuamshe baadae
hiyo itasaidia
kuliko kukereka pale atakapomaliza akwambie ngoja nipumzike ni bora mkawa wote na nguvu na mood

Hiyo inaeleweka tatizo wengine ni kila siku usingizi awe kachoka hajachoka ye usingizi tu akishamaliza yy imetoka
 
Hahaaaa

Poleee. Sasa wewe ulikuwa ukienda ukirudi.. Kapoaaaa inabidi uanze upya lol. Na mood za kike, anaweza hata asipate tena hisia.

Hi nafananisha na case za mko on balaaa.. Halafu mnaanza kutafutana na ndom, mara haionekani.. Ni shidaaa tafrani

Ha aha ahaaaa.... neggirl umenifurahisha na case ya kutafuta ndomu!! Thanks God nimeshaachana na hayo maisha kitambo.. Ila daah!! Ilikuwa inakata stimu kabisa
 
Last edited by a moderator:
yees inabidi kuzungumza kwa hali ya uwazi kila mtu aongeee anapenda uweje wakati wa faragha

unajua hata ndoa nyingi zinakua hatihati kwa sababu watu hawazungumzi kwa uwazi

Kabisaaa, mie mwanaume napenda niisikie ile harufu yake natural, ila awe msafi sio ndio kikwapa km kafuga panya
 
yees inabidi kuzungumza kwa hali ya uwazi kila mtu aongeee anapenda uweje wakati wa faragha

unajua hata ndoa nyingi zinakua hatihati kwa sababu watu hawazungumzi kwa uwazi

Hahaa

Halafu sijui watu wakoje.. Hawako free kuongea na wapenzi wao. But wengine utakuta anaenda kuhadithia hata marafiki au kuandika mtandaoni.. But hajaongea na mwenzi wake. Anakufa na kihoro chake.

Ubora wa mapenzi ni pamoja na uhuru wa kuongea kwa uwazi na mwenzi wako. Mara nyingi utasikia mtu anasema yani mimi tangu nimeolewa na hadi nina watoto kadhaa sijawahi kufika kileleni. Wakati.. Akiwa na mumewe anafeki kuwa anafika.
 
Ha aha ahaaaa.... neggirl umenifurahisha na case ya kutafuta ndomu!! Thanks God nimeshaachana na hayo maisha kitambo.. Ila daah!! Ilikuwa inakata stimu kabisa

Duuu hatariiiii....


Natamani nikuulize mmehamia pande zipi, but nadhani hapa sio mahali pake. Tusichakachue mada ya masai dada
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom