neggirl
JF-Expert Member
- Jul 30, 2009
- 4,849
- 2,132
nafahamu vizuri ndo maana nikasema
changanya zote
ndom,withdraw na kalenda
najua ovarian cycle and how inavyokua kipindi cha ovulation hamu inakua juu kutokana na muda ulenyai linakua limeiva linasubiri fertilization katika oviduct
hapo hormones zinakuwa busy nyingine kutengeneza kuta za uzazi,nyingine maziwa na mazingira ya kumpojea mtoto
so hamu inakua iko juu kutokana na hilo swala zima la high level of ostrogen na hormones zingine za kike
sasa my dear hapo njia tatu tu ndo nzuri
tjose two natural methods
1,kalenda
2.COITUS
na hiyo ndomu baasi
japo zina percentage za accuracy zake my dear
sio 100%
Thax dada. Pamoja sn