Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

Ndo kero zenyewe sasa 😀

Cc masai dada

Hahahaaaaa! Kweli bae nina usingizi kweli leo, jana mechelewa kulala alafu leo nikadamka mapemaaaa, so now naona kope zinaanza ushirikiano
 
Last edited by a moderator:
Nakareka kama hajafanya usafi wa kina wa papuchi.

kweli binadamu tumetofaitiana wakati wewe hi ikiwa kero kwako kuna binadamu huko kaweka uzi anataka mke wake arundike hata wa mwezi mzima asisafishe
 
Unaenda alafu mzee ndo asimami kabisaa.hamsha wapii.basi beby nilalie juu wapii
 
Mi kuna style siipendi na jamaa anaipenda hatari.. Mi nikigeuka huku ananirudisha Kule Kule basi nanunaga
 
nlishaachaga mtu alipokea cm mechi eti huyu jamaa namdai subir uuuwi alilia hadi basi but ckujali usitishe mechi upokee cm aisee
 
habari za kunieleza juu ya mayai ya kuku Leo nimekusanya mengi Mara wale mafundi nimewalipa huwa inanikera sana...
 
!
!
nikijibu moja kwa moja kichwa cha habari ni kwamba nakereka sana nikikumbuka ukweli kwamba keshambwato na watu kadhaa kabla
 
Back
Top Bottom