Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

Mmeazimia kufanya bila kinga.., mko kazini, eti swali linakuja, ukinipa mimba itakuwajeee??? shenzi kabisa
 
tabia ya kuniomba hella,au kunieleza matatizo yako muda huo sipendi.
bora u niambie kabla au baadae ya mtanange,me mwenyewe najua jinsi ya kujiongeza kukuhudumia ki mtindo,sio mpaka uniambie.

sure nyinyi mnajua jinsi ya kutuhudumia sidhan kama ni buzsara kuomba ela
 
Mmeazimia kufanya bila kinga.., mko kazini, eti swali linakuja, ukinipa mimba itakuwajeee??? shenzi kabisa

Mkuu kwani huwa mnafanyana mkiwa kwenye kiza? taa lazma iwashwe
 
hili swali wadada wanalipenda

Ukiniuliza swali hili najihisi kama huna uhakika kama nakupenda. Siraha ya kumpigia mwanaume ni kumuonyesha unampenda maana hiyo unakuwa umempa mtihani wa yeye kurudisha upendo.
 
Yaani unakuta jitu unaliambia niache nimechoka lenyewe lipo tu linaendelea

Hii inatokea sana! kuna demu alishawah lalamika nitoke kwanza ndiyo naanza nikasikia hasira nikaenda bafu nikapiga zangu nyeto mwendo!
 
Yaani unakuta jitu unaliambia niache nimechoka lenyewe lipo tu linaendelea

Acha uvivu dada, wajibika. Hata hivyo huwa ni vigumu kujua lini mmechoka maana migegedo kwenu huwa ni kulalamika. Wakati mwingine ni vigumu kutofautisha kuchoka kweli au utamu ndo umekolea.
 
Kitu kikubwa kinachovutia katika mahaba ni USAFI...unapo ongelewa usafi watu wenye utimamu wa akili watakuwa wanaelewa nini kinazungumziwa......binafsi suala la usafi kwa mwanamke huwa nalipa kipaumbele sana.

..unatakiwa unapokuwa faragha na mwanamke milango yako yote ya fahamu inatakiwa ijue na itambue uwepo wa mwanamke mahali hapo...mwanamme anayezingatia ubora wa faragha na sio msukumo wa kichwa cha chini USAFI kwa mpenziwe ni suala muhmu kama katiba ya nchi....na hapo ndipo inapojitokeza utofauti kati ya MWANAMKE na MSICHANA.....

Hakuna kitu nafurahia kukuta mwanamke amevaa chupi nyeupe na hakuna kitu nachukia kama kukuta mwanamke kavaa chupi nyeusi.
 
Me Sipendi Tabia Za Wasichana Kuzinguazingua Kutoa Mzigo Wakati Mmeenda Mahali Mkiwa Mmepangilia Kuwa Mnakwenda Ku..... Halafu Mnafika Pale Dem Anaaza Kuzingua At Mpaka U2mie Mabavu Ndo Unapata Msuba
 
Mi sipendi mwanamke aniulize unanipenda? Huwa sijisikii vizuri kwani kama simpendi nisingekuwa naye.

wao wanafikiri kila anaewagegeda anawapenda. kweli anategemea umwambie humpendi wakati upo kifuani?!
 
Me Sipendi Tabia Za Wasichana Kuzinguazingua Kutoa Mzigo Wakati Mmeenda Mahali Mkiwa Mmepangilia Kuwa Mnakwenda Ku..... Halafu Mnafika Pale Dem Anaaza Kuzingua At Mpaka U2mie Mabavu Ndo Unapata Msuba

hili neno kwetu linamaana ingine,bangi.
 
unajkuta unataka maliza game....unaskia "baby kazime Taa" kudadeQ
 
Yule jiwe ukimwambia anasema wee nae saa hizi tuna mambo mengi ya kufikiria style tuwaachie watoto wa sekondari..

HAhaha imenibidi nicheke pole mama jitahidi kuzoea hiyo style Sasa
 
M hua namaindi sana pale nishapiga deki yakutosha bahari alaf dem ananambia ye hua hatumi salamu" hanyonyagi dah inakera sana kimbele mbele chng napokichukiaga
 
Nyingine napomwambia geuka tupige dogstyle ananambia vp unataka kunif.. nini" hua inanikeraa
 
Hakuna kitu kinanikera ninapokuwa kwenye majambozi kama pale ninapotaka mambo halafu mwenzangu ananiambia acha nipumzike kwanza au anaanza kuniambia shida zake yaani huwa inanikata stimu sana
 
Back
Top Bottom