Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi sipendi mwanamke aniulize unanipenda? Huwa sijisikii vizuri kwani kama simpendi nisingekuwa naye.
Mmeazimia kufanya bila kinga.., mko kazini, eti swali linakuja, ukinipa mimba itakuwajeee??? shenzi kabisa
tabia ya kuniomba hella,au kunieleza matatizo yako muda huo sipendi.
bora u niambie kabla au baadae ya mtanange,me mwenyewe najua jinsi ya kujiongeza kukuhudumia ki mtindo,sio mpaka uniambie.
Lakini msubiri kwanza kuoa/kuolewa. Ngono kabla ya ndoa ni uchafu, Mungu hapendi..teh!
Mmeazimia kufanya bila kinga.., mko kazini, eti swali linakuja, ukinipa mimba itakuwajeee??? shenzi kabisa
hili swali wadada wanalipenda
Yaani unakuta jitu unaliambia niache nimechoka lenyewe lipo tu linaendelea
Yaani unakuta jitu unaliambia niache nimechoka lenyewe lipo tu linaendelea
sure nyinyi mnajua jinsi ya kutuhudumia sidhan kama ni buzsara kuomba ela
Kitu kikubwa kinachovutia katika mahaba ni USAFI...unapo ongelewa usafi watu wenye utimamu wa akili watakuwa wanaelewa nini kinazungumziwa......binafsi suala la usafi kwa mwanamke huwa nalipa kipaumbele sana.
..unatakiwa unapokuwa faragha na mwanamke milango yako yote ya fahamu inatakiwa ijue na itambue uwepo wa mwanamke mahali hapo...mwanamme anayezingatia ubora wa faragha na sio msukumo wa kichwa cha chini USAFI kwa mpenziwe ni suala muhmu kama katiba ya nchi....na hapo ndipo inapojitokeza utofauti kati ya MWANAMKE na MSICHANA.....
Mi sipendi mwanamke aniulize unanipenda? Huwa sijisikii vizuri kwani kama simpendi nisingekuwa naye.
Me Sipendi Tabia Za Wasichana Kuzinguazingua Kutoa Mzigo Wakati Mmeenda Mahali Mkiwa Mmepangilia Kuwa Mnakwenda Ku..... Halafu Mnafika Pale Dem Anaaza Kuzingua At Mpaka U2mie Mabavu Ndo Unapata Msuba
wao wanafikiri kila anaewagegeda anawapenda. kweli anategemea umwambie humpendi wakati upo kifuani?!
Yule jiwe ukimwambia anasema wee nae saa hizi tuna mambo mengi ya kufikiria style tuwaachie watoto wa sekondari..