Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

Me Sipendi Tabia Za Wasichana Kuzinguazingua Kutoa Mzigo Wakati Mmeenda Mahali Mkiwa Mmepangilia Kuwa Mnakwenda Ku..... Halafu Mnafika Pale Dem Anaaza Kuzingua At Mpaka U2mie Mabavu Ndo Unapata Msuba

Msiba tena...???
 
Ukiniuliza swali hili najihisi kama huna uhakika kama nakupenda. Siraha ya kumpigia mwanaume ni kumuonyesha unampenda maana hiyo unakuwa umempa mtihani wa yeye kurudisha upendo.

yaah sure!
 
Hakuna kitu nafurahia kukuta mwanamke amevaa chupi nyeupe na hakuna kitu nachukia kama kukuta mwanamke kavaa chupi nyeusi.

hahahahah mwanamke mweupeeee kama wazungu
coloured chupi zinapendeza sio kama mimi wa kilungule

by the way kama unapenda chupi za aina fulani NENDA UMNUNULIE
 
M hua namaindi sana pale nishapiga deki yakutosha bahari alaf dem ananambia ye hua hatumi salamu" hanyonyagi dah inakera sana kimbele mbele chng napokichukiaga

mwanamke asiefanya blowjob
mmh aisee hiyo ni pie
 
Si tunajiridhisha hata kama anakupenda akirudiarudia kusema inaleta raha zaidi

sasa my dear ndo maana ya huu uzi kuangalia kipi kinawakera wenzetu
kwa kura za hapa HILO SWALI HALIPENDWI SHOST
unaonekana hujiamini,wala humuamini mwenzako na pia uko insecure
kuna jamaaa kasema hapo juu mpende tu umpe mtiani yeye wa kurudisha huu upendo kumuuliza hilo swali tena wakati huo anaweza akakudanganya vilevile
 
Hakuna kitu kinanikera ninapokuwa kwenye majambozi kama pale ninapotaka mambo halafu mwenzangu ananiambia acha nipumzike kwanza au anaanza kuniambia shida zake yaani huwa inanikata stimu sana

ndoa yenu mnaipelekea kimazoea

you need to talk
 
hahahahah mwanamke mweupeeee kama wazungu
coloured chupi zinapendeza sio kama mimi wa kilungule

by the way kama unapenda chupi za aina fulani NENDA UMNUNULIE

Hata uwe mweusi bado chupi nyeupe ina mvuto siyo nyeusi. Kununua siyo tatizo ila utashi wa kufanya hivyo.
 
Kuhudumia kihisia ni wajibu wa kwanza, lakini hivyo vingine ni option kulingana mnavyoishi.

nakwambiaje
kama mwanaume hajiongezi hata kukuletea chupi au lolote lile
HIVI ATALEAJE FAMILIA?????

mwanamke ana siku nyinhi sana katika mwaka ambazo hafanyi kazi ikowemo kubeba mimba na period so hata kama anafanya kazi lazima ahudumiwe
na sio mpaka umuombe
 
Hata uwe mweusi bado chupi nyeupe ina mvuto siyo nyeusi. Kununua siyo tatizo ila utashi wa kufanya hivyo.

weeeee
ukiwa mweupe zile chupi kama mikanda mikanda i apita kwenye miguu uumavaa kama boots ZIKIWA NYEUS ZINAPENDEZA

by the way kila mtu ana ladha yake
so ni vyema either kuongea na mwenza wako au kumnunulia unachopenda avae
simple....
 
Back
Top Bottom