Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

bac me cpend mwanamke anae Jifanya anajua mambo alf akifka bed anakua zero hajui lolote mweupe pee!
 
kama una imudu basi pongezi

sipendi ndomu ila sasa inabidi maana ni wachache sana wanamudu hii na pia

watu sio waaminifu ni vyema kutumia protection


Ni lazima ku define aina ya Mapenzi uliyonayo. Kama hampo loyal ni bora mvae hayo mapira...azawaiz nyama ni tam zaidi..
 
mood yaake ipo chini sana may be kwa mpenziwe

jaribu kuzungumza na mwenzio
lakini wakati unafanya hayo unaweza ukaanza kufanya trial and error
kama mnaishi pamoja
wakati akiwa anarudi kutoka kazini faa vizuri nguo nzuri nyepesi na za kutega
kwa mfano kama mpo wawili tu
unaweza ukafunga kamtandio kepesi tu na kablauzi kaki mikono wazi kanachovutia
vaaa shorts na nukia pale anaporudi,usioneshe kukereka akiwepo
andaa vyema chakula
kama haupo busy akikisha mara kwa mara wewenndo unamuandalia chakula (kwa wale wenye hausg
hata kama una unapokwenda nywele,na mavzi kaikisha vinakua visafi
weekend kama hivi tengeneza chumbankiwe romantic
jamani tena
kama mnaishi wawili nadhani ni rahisi sana kuitatua hiyo kero

cha mwisho mi naona zungumza na mwenzio,mpe muda wa kupumzika na USIWE UNATEGEA sio yeye tu ndo aanze kukuvua nguo kila siku
sio yeye ndo ajihangaishe mwenyewe mpaka jamaa asimame
mwanamke kuwa mbunifu msimamishe jamaa wewe hapo

wanaume ukereka pale anapotumia nguvu nyingi kuridhika wakati wewe unamshangaa tu
KUWA MALLAYA KITANDANI
wanaume wachache....upo?

Nimekupenda bila chenchi,
 
bac me cpend mwanamke anae Jifanya anajua mambo alf akifka bed anakua zero hajui lolote mweupe pee!

hapo alipojifanya anajua ni wapi??? katika maongezi au ???

la msingi asiwe rigid kuelekezwa
hivi unajua kuna ile mnakutana wote wawazi na mnaelezana mambo kwa kweli hapo ndo mta enjoy
 
hapo alipojifanya anajua ni wapi??? katika maongezi au ???

la msingi asiwe rigid kuelekezwa
hivi unajua kuna ile mnakutana wote wawazi na mnaelezana mambo kwa kweli hapo ndo mta enjoy

sa nn kujifanya master kumbe ata mgambo hujawah pita
 
Ni lazima ku define aina ya Mapenzi uliyonayo. Kama hampo loyal ni bora mvae hayo mapira...azawaiz nyama ni tam zaidi..

sure!
mi napenda kupima alafu ndo tuendelee ki ukweli maana ndomu pia nimkudanganyana tu
tena kama mnalala pamoja hadi asubuhi unakuta mnapiga cha kwanza fresh na ndom,cha pili cha tatu plain
mkizoeana ndo kabisa
so sometimes ni bora kichwa cha juu kifanye kazi kwanza
pima kabla ujaonja chochote na ni vyema kuwa waaminifu
 
sa nn kujifanya master kumbe ata mgambo hujawah pita

ndo maana nikakwambia si ajabua najua kweli lakini anavyovijua au vilivyokua vinamfurahisha ex wake kakwo ni karaha ndo maana nikasema ni vyema
mkaelekeza na kuzungumza
kila mtu ana sehemu yake anayopata hamasa ukiishika
wengine unyayoni wengine kwenye nywele
wengi wanapenda mauno wengine wanapenda stahili hatarishi
so ni vyema kuzungumza kadri mnavyozid kuwa pamoja
 
Back
Top Bottom