ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
kama una imudu basi pongezi
sipendi ndomu ila sasa inabidi maana ni wachache sana wanamudu hii na pia
watu sio waaminifu ni vyema kutumia protection
yangu hio hua ckosei hata nukta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama una imudu basi pongezi
sipendi ndomu ila sasa inabidi maana ni wachache sana wanamudu hii na pia
watu sio waaminifu ni vyema kutumia protection
Where have you been jamani? Yote hayo uliyataka ww, ulikuwa wapi hadi mimi nichelewe kulala
yangu hio hua ckosei hata nukta
Nlikuwa kwen maombi ya vita, hukuweza kikesha nami japo usiku mmoja?
kama una imudu basi pongezi
sipendi ndomu ila sasa inabidi maana ni wachache sana wanamudu hii na pia
watu sio waaminifu ni vyema kutumia protection
mood yaake ipo chini sana may be kwa mpenziwe
jaribu kuzungumza na mwenzio
lakini wakati unafanya hayo unaweza ukaanza kufanya trial and error
kama mnaishi pamoja
wakati akiwa anarudi kutoka kazini faa vizuri nguo nzuri nyepesi na za kutega
kwa mfano kama mpo wawili tu
unaweza ukafunga kamtandio kepesi tu na kablauzi kaki mikono wazi kanachovutia
vaaa shorts na nukia pale anaporudi,usioneshe kukereka akiwepo
andaa vyema chakula
kama haupo busy akikisha mara kwa mara wewenndo unamuandalia chakula (kwa wale wenye hausg
hata kama una unapokwenda nywele,na mavzi kaikisha vinakua visafi
weekend kama hivi tengeneza chumbankiwe romantic
jamani tena
kama mnaishi wawili nadhani ni rahisi sana kuitatua hiyo kero
cha mwisho mi naona zungumza na mwenzio,mpe muda wa kupumzika na USIWE UNATEGEA sio yeye tu ndo aanze kukuvua nguo kila siku
sio yeye ndo ajihangaishe mwenyewe mpaka jamaa asimame
mwanamke kuwa mbunifu msimamishe jamaa wewe hapo
wanaume ukereka pale anapotumia nguvu nyingi kuridhika wakati wewe unamshangaa tu
KUWA MALLAYA KITANDANI
wanaume wachache....upo?
bac me cpend mwanamke anae Jifanya anajua mambo alf akifka bed anakua zero hajui lolote mweupe pee!
Sema haki ya eli!
hapo alipojifanya anajua ni wapi??? katika maongezi au ???
la msingi asiwe rigid kuelekezwa
hivi unajua kuna ile mnakutana wote wawazi na mnaelezana mambo kwa kweli hapo ndo mta enjoy
Ni lazima ku define aina ya Mapenzi uliyonayo. Kama hampo loyal ni bora mvae hayo mapira...azawaiz nyama ni tam zaidi..
sa nn kujifanya master kumbe ata mgambo hujawah pita
Muda wote umeshika simu
Hakyaatoto nakwambia...kama umekubali sasa hivi naja na ni nyama tu baaas!