Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

Kitu gani kinakukera unapotaka kuingia faragha na mpenzi wako?

Tangu lini kidumu kikamilikiwa. Kidumu kinabaki kuwa kidumu kamwe hakimilikiwi. Kazi yake ni kuziba ufa tu na si kujenga
 
Tangu lini kidumu kikamilikiwa. Kidumu kinabaki kuwa kidumu kamwe hakimilikiwi. Kazi yake ni kuziba ufa tu na si kujenga

Hivi inawezekana KIDUMU cha PWAGU kikawa ndio DUMU la PWAGUZI at the same time?
 
1.Kubonyabonya na kutachitachi ilo li-iphone.
2.Kudiskashishana Kuhusu Diamond,Ali Kiba,Zari,Wema,Jokate,Huddah.
Juzi ndo nikaletewa adi Shilole.
Sasa cjui mimi nimekua Babu Tale ama Mkubwa Fella.
3.Kuulizwa chumba/gesti nimelipia shilingi ngapi??
4.Kuzima Taa.
5.Kukatazwa kushika baadhi ya sehemu muhimu ambazo Playmaker ndo amekamata midfield anapiga through balls kufungua defence afu jitu linakwambia "noo dnt touch me there"

kuongea habari yoyote wakati ule ni maraufuku

4.sipend taa izimwe/kama mpenzi wako anapenda taa izimwe ni bora mnunue zile taa za rangi zenye mwanga hafifu au muwashe mshumaaa
5.hiii inategemea umeashika wapi mtu kukukatalia mwili wake ki ukweli ina kuturn off lakini vipi kuhusu kushika sehemu ambozo ni kero mfano kuingiza kidole mlango wa pili???? inakua kero
so angalia na hili
 
Utamvua nguo zote.. kuna nguo moja ya mwisho kumvua ndo ugomvi!! Mpaka umvue utumie nguvu za kutosha..

Hahahhah, kama ulishanizingua utavua zooote but ya mwisho nikipenda nisipopenda navaa nasepa
 
Back
Top Bottom