Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
babu anataka kubana..ana wivu sana kwa wajukuu zake
Wivu wa nn sasa wakati yeye kibogoyo, atulie tu asubiri kupewa lift
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
babu anataka kubana..ana wivu sana kwa wajukuu zake
alafu aatu naona hawajaongelea kelele
kuna watu wanapiga hadi mayoe wkati wa faragha kama nyumba ya kupanga inakua hatari
We huwa unafanya nini, hasa wakati mwenyewe anaingia pangoni mwako?
Kichwa cha juu na cha chini huwa havizeeki. Kama unabisha muulize Jacline Ntuyabaliwe aka KLynn
Afu nna roho mbaya. Nimekufanyia makusudi uchelewe kulala.... nimefanikiwa.
Nikikuambia unanipenda unabisha. sijui ukoje??
naruhusiwa kuagiza ya pili?..hii ishaanza kuisha
Babu mbona unatoka nje ya mada jamani?? Yaani wewe kuchepuka kuko damuni
hizo kelele ndo zenyewe sasa..wananikosha sanaalafu aatu naona hawajaongelea kelele
kuna watu wanapiga hadi mayoe wkati wa faragha kama nyumba ya kupanga inakua hatari
Hahahaaaa! Walaaa sio wewe ulofanya nichelewe kulala ni masai dada na mada yake murua, hebu rudi kwenye mada sasa tafadhali, toa experience yako
hizo kelele ndo zenyewe sasa..wananikosha sana
basi sawaKadri ya uwezo wako tafadhali
Mwanaume asiyechepuka ana matatizo.... akiendelea kukua anaweza kuwa hanisi.... (sijasema mimi)
umejiposti ileSema haki ya baba!
umejiposti ile
Sababu mbili kwanini mpaka sasa hujalala tafazali.....Ngoja kwanza nahiiii aseme
vibogoyo hatari sana kwenye kupiga deki..kaa mbali kabisaWivu wa nn sasa wakati yeye kibogoyo, atulie tu asubiri kupewa lift
vibogoyo hatari sana kwenye kupiga deki..kaa mbali kabisa
Sababu mbili kwanini mpaka sasa hujalala tafazali.....
vibogoyo hatari sana kwenye kupiga deki..kaa mbali kabisa
Na kupiga deki ndio mwisho wake