EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
- #41
Ujenzi gani?? Hayo si ndio maendeleo au mimi ndio sijaelewaUjenzi,
Napenda Sana kuuenga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujenzi gani?? Hayo si ndio maendeleo au mimi ndio sijaelewaUjenzi,
Napenda Sana kuuenga
Namba 4 apo imekua tatizo kwanguHabari za asubuhi watu wa Mungu nyie siyo watu wangu 😎 😎
Leo nimewaza sana kwamba kuna vitu fulani au tabia fulan tunazo maishani zinatufanya tutumie hela rafu na kujikuta mwaka unaisha maisha yako yapo kama ya mwaka uliopita. Kuna baadhi ya mambo yanapelekea tunatumia fedha kidogo tunazopata kuyafanya na kujikuta hatusogei kabisa kimaisha.
Sitoi lecture namna ya kutumia pesa zako. Kwa mimi ntataja baadhi ya vitu vinavyomaliza pesa zangu.
1.0 Gari
Haka kagari yaani kanakula sana sehemu kubwa ya fedha zangu ambazo kananisaidia kuzipata yaani tunaenda paso kwa paso
mafuta, service, urembo( Kila kinachopendezesha gari nikikiona lazima nikitafute kwa garama yoyote, Sport Rims, Profile tyres, Android radio NK.
2.0 Gambe
Yaani nikipata pesa ambayo haikuwa kwenye official mishe zangu lazima niitie kiberiti naweza kupata 70k mchana ikifika usiku nina 10.
3.0 Wanawake
Kuna kipindi nilikuwa na mahusiano na wanawake wa4 aisee, yaani ni kama wana majini siku nikipata hela tu ndio siku hiyo nakumbukwa na kila mmoja, nikipigwa mizinga ya 20k tu kwa kila mmoja 80k ishadondoka nkaachana na watatu amebaki mmoja tu mtarajiwa tu😎
Ukipata demu mpya lazima utumie zaidi ya ulichopanga yaani kukutana na demu mara moja tu ni matumizi hayapungui 70+
(sipeleki demu kwangu so lodge inahusika + vinywaji+chakula na posho+ usafiri). Siku hizi hawanipi shida sana kwa kuwa naweza kuchepuka mara moja tu ndani wiki6 mi saivi sio mtumwa saaaana wa sex haya nimemwachia Zero IQ.
4. Bando
Haka kaeneo nako kanachangia sana maana siwezi kutokuwepo hewani maana net pia kwa sehemu flani inaendesha maisha yangu nje ya ajira.
Kuna mengine mengi ila kwa leo haya yanatosha kuyafanya maisha yangu kutosogea kwa kasi ninayoipanga.
Hebu tutajie nini kinarozotesha kasi ya maendeleo yako?
Ujenzi unanirudisha nyuma kibiashara,Ujenzi gani?? Hayo si ndio maendeleo au mimi ndio sijaelewa
Lipe moja uzito likiisha unaanza lingine. Nina moja Kibamba nimelipangisha litajijenga lenyeweUjenz unanirudisha nyuma kibiashara,
Unashusha Sana mtaji wangu.
Nna mapagale mengi mno hayajaisha na nikishajenga Ni mzito Sana kuuza.
Vyote Ni muhimu,Lipe moja uzito likiisha unaanza lingine. Nina moja kibamba nimelipangisha litajijenga lenyewe
Basi pambana navyo vyote kwa pamoja kama huwezi kuanza na mojaVyote Ni muhimu,
Hapo ndo Kuna Changamoto.
Na kuuza pagale Ni sawa na Kutoa sadaka,
Watu wakishaona ili Ni pagale, anataka akulalie Bei.
Unakuja kuonani upuuz niuze nusu au robo ya gharama nilotumia, BORA TU KIKAE.
Garama za six cylinder kutoka Kwa Komba hadi Kivukoni sio mchezo mkuu, nataka kutafuka ka-I10
View attachment 1897861
Pole sana mkuu kwanini upange karibu na mjini kama unaweza kukaa nje kidogo kwa gharama ya chini?1. Ndugu na mashemeji,
yani kabla mwisho wa mwezi haujafika tayari wameshakulilia shida na nini cha kufanya kutokana na matatizo yaliyopo.
2. Kodi ya nyumba kwa maeneo ya karibu na town ipo juu.
3. Ada za chuo kuwalipia ndugu na kujilipia mimi.
4. Wanawake, kuna huyu mmoja anajifanya high class yani hela lazma ikutoke tu, halafu kumuacha nimejaribu mara kadhaa imeshindikana.
5. Shamba, vile lipo mbali na sina uzoefu basi kila mara kwa pale kijijini wanataka ulisafishe kusiwe pori, serikali ya kijiji wanaweza kulichukua likiwa halihudumiwi.
Habari za asubuhi watu wa Mungu nyie siyo watu wangu 😎 😎
Leo nimewaza sana kwamba kuna vitu fulani au tabia fulan tunazo maishani zinatufanya tutumie hela rafu na kujikuta mwaka unaisha maisha yako yapo kama ya mwaka uliopita. Kuna baadhi ya mambo yanapelekea tunatumia fedha kidogo tunazopata kuyafanya na kujikuta hatusogei kabisa kimaisha.
Sitoi lecture namna ya kutumia pesa zako. Kwa mimi ntataja baadhi ya vitu vinavyomaliza pesa zangu.
1.0 Gari
Haka kagari yaani kanakula sana sehemu kubwa ya fedha zangu ambazo kananisaidia kuzipata yaani tunaenda paso kwa paso
mafuta, service, urembo( Kila kinachopendezesha gari nikikiona lazima nikitafute kwa garama yoyote, Sport Rims, Profile tyres, Android radio NK.
2.0 Gambe
Yaani nikipata pesa ambayo haikuwa kwenye official mishe zangu lazima niitie kiberiti naweza kupata 70k mchana ikifika usiku nina 10.
3.0 Wanawake
Kuna kipindi nilikuwa na mahusiano na wanawake wa4 aisee, yaani ni kama wana majini siku nikipata hela tu ndio siku hiyo nakumbukwa na kila mmoja, nikipigwa mizinga ya 20k tu kwa kila mmoja 80k ishadondoka nkaachana na watatu amebaki mmoja tu mtarajiwa tu😎
Ukipata demu mpya lazima utumie zaidi ya ulichopanga yaani kukutana na demu mara moja tu ni matumizi hayapungui 70+
(sipeleki demu kwangu so lodge inahusika + vinywaji+chakula na posho+ usafiri). Siku hizi hawanipi shida sana kwa kuwa naweza kuchepuka mara moja tu ndani wiki6 mi saivi sio mtumwa saaaana wa sex haya nimemwachia Zero IQ.
4. Bando
Haka kaeneo nako kanachangia sana maana siwezi kutokuwepo hewani maana net pia kwa sehemu flani inaendesha maisha yangu nje ya ajira.
Kuna mengine mengi ila kwa leo haya yanatosha kuyafanya maisha yangu kutosogea kwa kasi ninayoipanga.
Hebu tutajie nini kinarozotesha kasi ya maendele
Basi hamia kwa Mumeo.Hapa kila mtu ana gari na anakunywa pombe, mimi kinachonimaliza ni kukaa kwa shemeji daah yaani kunanirudisha nyuma sana.
Mambo ya grande mark 2 hayo.Garama za six cylinder kutoka Kwa Komba hadi Kivukoni sio mchezo mkuu, nataka kutafuka ka-I10
View attachment 1897861
Toyota iQ.Gari gani hii
Toyota iQ.
Mimi nimeshakuwa rahibu wa bando pia, yaani siwezi kuvumilia hata siku moja bila bando.....dahhh pesa inateketea hadi najihurumiaKatika hayo mambo nina full control na yote isipokuwa bundle tu[emoji23] siwezi kaa bila internet hata nusu saa! Nitakufa [emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli aiseeMawazo na mipango,vinapishana na Utakelezaji!
Dogo sie wengine tuna 40+ subiri na wewe ukifikisha umri utapata wala usione wanakuringishiaHapa kila mtu ana gari na anakunywa pombe, mimi kinachonimaliza ni kukaa kwa shemeji daah yaani kunanirudisha nyuma sana.