Kitu gani kinazorotesha kasi ya maendeleo yako?

Kitu gani kinazorotesha kasi ya maendeleo yako?

Mimi ndugu nadhani washajua udhaifu wangu nikiwa na pesa sijui kumnyima ndugu hata kama shida ni ya uongo
Siku ukikosa na connection zikipotea. Huwezi amini hakuna atakaekusaidia katika hao hao unawasaidia sasa hv.

Inabidi tu uwakazie sura tu. Jifunze kusema "HAPANA", "SINA" macho makavu tu bila kutoa maelezo kwanini huna.
 
bado sija settle vizuri kiuchumi,bado sijapata mwanamke nimtakae awe mke.
Mkuu kama una kakipato kakula wewe na yeye kanatosha.

Mwanamke "unayemtaka" ni intuition/fantasy and infatuation

Hayupo huyo uliye nae mwangalie vema
 
Kwa upande wangu ni kushindwa kupanga mipango ya kila siku..
Hiyo simple tu

Chukua notebook

Andika mipango ya siku na stick to them.

Usinunue chochote nje ya ulichopanga.

Andika saivi kesho jioni njoo hapa uniambie ulipokwama

Unless its urgent. Usitoke nje ya bajeti/mipango utakayoiandika leo.
 
Back
Top Bottom